Whats wrong with Kanye?


aisee relax,siko kny mudi ya kubishana leo,so take a chill pill.
 
Yaani uulizwe maswali kutokana na ulichokisema halafu unasema haupo kwenye mood ya kubishana ? Anayebishana hapa nani ?

Chill pills aint even working no more for me
Bj suits me way up ..are u up for that ?

gay weirdo.............
 
si ameshakuwa discharged au bado
nasikia ilikuwa exhaustion
 
Tupia madini mkuu wengine tunataka kujau zaidi,unitag mkuu najua unajua mengi zaidi kuhusu huu wanaouita ufreemasons na illuminati
 
Mkuu, kwahiyo tusiamini CNN/FOX/ETC VS WEWE(tukuamini wewe)??????? U'r kidding, wewe unatolea wapi taarifa kama hutaki kuamini media?????
 
Mkuu tusiamini "international media vs tukuamini mtanzania usiye na media hata moja???????
 
Mimi ni fan mkubwa wa Kanye, he's my fav rapper na nimekuwa nikimfuatilia toka mwanzo na kwenda kwenye concert zake.

Kanye ni outspoken, eccentric and erratic siku zote. Hajaanza jana wala juzi kuwa hivi alivyo sasa japo sasa inaonekana kazidi ni sababu media zina pay zaidi attention kwake na familia yake na zinapenda rants zake ili wauze.

Ukifuatilia story yake utagundua yeye kulipuka kaanza toka mtoto na huwa hacompromise kwa chochote kile asichokubaliana nacho. Alishawatukana capital records walipogoma kumsign wakati Bado ni underground producer na mambo mengine kibao.

Aidha inadaiwa jamaa ana mental issues kweli, Rhymefest partner wa kitambo wa Kanye waliyekua pamoja na aliyeandika nae nyimbo nyingi za zamani ikiwamo Jesus walks alisema zamani sana kwamba kanye ana mental issues ambazo inabidi azichukulie seriously. Sahizi nadhnai he had too much in his plate music, fashion, viatu, family, exhaustion ikampeleka to his breaking point.

Angekua ni msanii mwingine ningeshaa Zaidi ila toka kwa West sioni ajabu sana na I pray arudi na ngoma Kali kama alivyotuletea dark fantasy au 808s and heartbreak baada ya kupitia wakati mgumu. Hakuna cha Freemasons wala illuminati.
 
Why people don't want to discuss alichokuwa anakiongea. Yaani kuongea yake tu ameonekana kichaa. ??? Kuwachana watu ambao walikuwa karibu yake hapo mwanzo ndio ghafla awe kichaa ashuke tu jukwaani wamdake na pingu then direct mental institution??? Walimpima SAA ngapi?? Kuna kitu hakiko sawa.
Media zote hazitaki kuongelea alichokiongea siku Ile. Why???
Kama alikuwa kichaa siku nyingi why they always praised him and never called him kichaa!?? Mpk alipowachana Elites juzi??? Umizeni kichwa kidogo
 
Kanye tokea afiwe na mama yake alipata depression inayomsumbua hadi leo, inasemekana jamaa amekuwa na hasira iliyopitiliza na anaweza kukubadilikia muda wowote bila kujari wewe ni nani, ameshakwenda rehab mara kadhaa na councelling bila mafanikiko!
Na mbaya zaid anahusisha kifo cha mama take na kafara za illuminate ndio maana kinamsumbua sana kisaikolojia,
I sold the soul to the devil
 
Na mbaya zaid anahusisha kifo cha mama take na kafara za illuminate ndio maana kinamsumbua sana kisaikolojia,
I sold the soul to the devil

Huwezi ukamuuzia ibilisi nafsi na roho yako na ukabaki salama. Shetani hana undugu na binadamu. Lazma akugeuke tu at some point. The devil has turned against Kanye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…