124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
Lakinu kimsingi tunakubaliana kuwa dmx and kanye mibangi kwa sana ambayo ndio hard fact hayo mambo ya iluminati achana nayo!Kanye anataka kutoka huko Illuminati na wajua alisema Indirect kuwa alimtoa mama yake kafara for his success sasa hii kitu ilimla sana. That's why now he has seen the light anataka toka. But tatizo he knows too much kumuachia hivi hivi aropoke. Kama umemsikia kwenye Ile show anasema kuwa nachowaambia Ni ukweli people mnadanganywa na media zote. Anamnanga na mama Clinton pia ambaye kwenye kampeni ndio alikuwa Mtu wake ( she is Illuminati)
We hujiulizi kashuka tu kwenye show wamemata eti yuko insane wamempeleka rehab kwa lazima. Na huko watambrainwash akirudi atakuwa kama zombie just like walichomfanyia Britney Spears. Na hii ishu ya kufilisika wala hajafilisika. Kasema by telling u this truth naeka hatarini maisha yangu, mafanikio yangu.
DMX kamuelewa coz yalimtokea na ndipo akaokoka but most of the rappers Ni Illuminati that's why wako kimya hawamtetei msela