What's your favorite movie line/quote?

What's your favorite movie line/quote?

Unaweza kufanya lolote utakalo ili kuupa moyo wako starehe .. lakini huwezi kufanya starehe utakavyo kuupa moyo wako unachokihitaji

By Vincent kigosi kwenye movie ya Oprah (2010) Game 1st Quality production

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Preparation will only take you so far. After that you gotta take a few leaps of faith. - Michael Scofield, Prison Break


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
remember,when you got nothing,...you got nothing to lose:-de caprio in titanic
 
Salaam wakuu,

Habari za furahi day?

Okay, mimi kama mpenzi wa movie hua napenda kuhakikisha hakuna kinachonipita hata sentensi moja na ndio maana hua napenda kuangalia movies zenye subs.

Huwa unakuta kwenye movie kuna punchline matata ambayo inakupa msisimko wa kutamani kujua actions zinazofata.

Personally ziko quotes nyingi tu, ila hii "l don't think you understand, these boys killed my dog" Nilijua kinachoenda kutokea itakua ni hatari... hebu tupia na zako
welcome to the prison land fish-fernando sucre akimkaribisha Michael Scofield.
 
“I learnt that I’ll never win. Not that way. That’s their game, their rules. I’m not going to fight them, I’m going to https://jamii.app/JFUserGuide them. That’s what I know, that’s what I am. And only by admitting what we are can we get what we want” – Lord Baelish
 
It isn't what you know,it is what you can prove ~D.Washington (Training day)


Screenshot_20200516-224927_Chrome~2.jpeg
 
i am betting the joker told you to kill me after we loaded the cash

on no no no, i killed the bus driver
 
Back
Top Bottom