WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

Travis 1

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
878
Reaction score
1,373
Au tatizo hili ninalo mimi tu?

---Update---
IMG_20211004_212304_997.jpg
IMG_20211004_212257_936.jpg
 
Kummilikisha mtu mmoja mitandao mitatu mistake

Mark ameifanya hii mitandao kuwa na sheria moja akizima anazima kote

Ni kama serikali ilivyoiminya mifuko ya hifadhi jamii ikaifanya kitukimoja mwishowe na sheria zimekuwa moja likitokea la kutokea ni kote kote

Hata twiter nayo ingeuzwa leo napo ingekuwa kilio,

Hata hapa tz some time tigo ikizingua airtel na voda utakuta zinapiga mzigo hii ndo faida ya makampuni kujitegemea pasipo kufungamana na kuwa kitu kimoja
 
Back
Top Bottom