Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wehu we jamaaHiki kingereza ni cha kusoma au cha kujifunza? (ras Simba) nk
Kweliiii kbs hadi VPN Imedundaaaa[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji16]Mmmh, hata VPN imegonga mwamba
Nimefuta pilau nikijua storageNmerestart simu nikijua network imecheza lakin cha ajabu huku naingia vizuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimefuta pilau nikijua storage
Mbona unadandia gari kwa mbele?Acha wehu we jamaa
Mimi nimekopa bando nikijua nimeishiwa ila kwa hili lakwako naona wewe umepata hasara kubwa kuliko mimi 😀😀Nimefuta pilau nikijua storage
Yawezekana nna mafunzo ya kikomandoMbona unadandia gari kwa mbele?
Ooh nilijua nimeishiwa salio nimeweka naona tena mambo ni yale yale kumbe ni ttz lao
Oh sawaNimeshahangaika sana nikajua labda hichi kifurushi cha mkopo nilichoweka haki support. Naona watakua wako down.
Yes. Balaa tupu. Marc sijui kapatwa na nini?