WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

Kummilikisha mtu mmoja mitandao mitatu mistake

Mark ameifanya hii mitandao kuwa na sheria moja akizima anazima kote

Ni kama serikali ilivyoiminya mifuko ya hifadhi jamii ikaifanya kitukimoja mwishowe na sheria zimekuwa moja likitokea la kutokea ni kote kote

Hata twiter nayo ingeuzwa leo napo ingekuwa kilio,

Hata hapa tz some time tigo ikizingua airtel na voda utakuta zinapiga mzigo hii ndo faida ya makampuni kujitegemea pasipo kufungamana na kuwa kitu kimoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…