R_bass
Member
- Oct 13, 2018
- 17
- 20
Mpaka nika Download VPN lakini wapi?
Kumbe ni wao bhana [emoji3]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kumbe ni wao bhana [emoji3]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata ukiwasha VPN wap kitu kinagona kuingia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1531]
Leo inaonekana tatizo ni kubwa maana imepotea muda mrefu zaidi
Usijali.Sema baada ya muda mfupi nitakwea private jet yangu niingie hapo New York fasta then nitarudiSawa, msalimie Bro wangu mmoja hapo
Kosa kubwa sana kummilikisha mtu mmoja mitandao yote 3
Matokeo take ndio haya ni sawa na ttcl iimeze tigo na voda
Or kama serikali ilivyomeza mifuko yote ya hifadhi ya jamiii
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mimi nime-restart zaidi ya mara 10 daadeq...Dah bora umeleta huu uzi Yan ndo nawasha simu niingie wasap naona haisomi kidogo nizime simu nikasema ngoja kidogo Nicheki jf kama inafanya kazi ndo nakutana na hii uzi
SawaUsijali.Sema baada ya muda mfupi nitakwea private jet yangu niingie hapo New York fasta then nitarudi
Nimebadilisha na sim card nikanunua na kifurushi
Kumbe ni wenyewe huko
Kaazi kweli kweli
Mpaka nika Download VPN lakini wapi?
Kumbe ni wao bhana [emoji3]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
We babu achana na mambo ya wasap na. Fesibuku, wapigie hadithi wajukuu kabla hawajalala, eboooooMimi nime-restart zaidi ya mara 10 daadeq...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yani me nkajua GB whatsapp yangu ishaliwa kichwaa
Naona whatsapp na insta mpaka sasa imewekwa loki...
AhsantePole ungechet na apps zingne kam zinafanya kazi