WhatsApp imeanza kuweka mfumo wa Channels

WhatsApp imeanza kuweka mfumo wa Channels

Via Telegram unaweza fanya direct monetary transactions kwa kupita modded bots zilizokuwa developed through various API's

Via Telegram unaweza kutunza files za ukubwa mbalimbali kwa muda mrefu hili huwez fanya kwa whatsapp wala social media yoyote. 10gb +

Hauna haja ya kudownload media, media zipo live 24/7 kutokana na server zao kuwa kubwa Unawez access kila kitu in a matter of seconds.

Kupita Bots unaweza trade chap through Telegram..

Kupitia Telegram kila kitu unachotaka unapata (Like a Darkweb thing) kuna jinsi ya kudeal na BOTS wakuletee unachotaka.


Kupitia Telegram unaweza cheza games.. unaweza tengeneza Chat Bot lako na kuendesha mijadala.

Unaweza kuwa na Multiple accounts bila hata kuwa na number..

Aisee ni mambo mengi ila somo linatakiwa libase ktk matumizi ya BOTS ambayo kwa Whatsapp walifeli.. bot pekee lilikuwa la Michezo na limefeli
Kwa nini telegram ni underdog kwenye social media mbali na hayo uliyoyataja , ?? Najua jibu unalo , ulimwengu wa sasa unahtaji vtu simple , hayo mambo ya BOTS too complicated Kwa watu wenye mambo mengi, kitu kilichovutia watu na kuifanya iwe popular ni ule uwezo wa kuhold watu wengi per once , ndo maana umekuwa mtandao maarufu Kwa maswala ya group za malaya n.k .....!! Yes leta feature mpya but iwe simple and friendly , Tiktok sio wajinga ,
Nakuapia ndani ya miaka mitatu ijayo Telegram ataiuza Kwa META ,
 
Kwa nini telegram ni underdog kwenye social media mbali na hayo uliyoyataja , ?? Najua jibu unalo , ulimwengu wa sasa unahtaji vtu simple , hayo mambo ya BOTS too complicated Kwa watu wenye mambo mengi, kitu kilichovutia watu na kuifanya iwe popular ni ule uwezo wa kuhold watu wengi per once , ndo maana umekuwa mtandao maarufu Kwa maswala ya group za malaya n.k .....!! Yes leta feature mpya but iwe simple and friendly , Tiktok sio wajinga ,
Nakuapia ndani ya miaka mitatu ijayo Telegram ataiuza Kwa META ,
Ndio maana nikasema Telegram ni kama Email service platforms like Yahoo, Gmail, Outlook etc.. zipo complicated ila Unavoidable utazunguka wee ila utalazimika kuinstall service.

Telegram ipo hivyo. Ina tabia hiyo.

Na ndio Rival wa Whatsapp nashangaa unasema ni Underdog? Telegram haiwez kuuzwa kizembe hivyo. Ingeshauzwa siku nyingi.

Nakukumbusha Telegram sio ya vilaza. Ni watu intellectual asilimia kubwa wanatumia. na nikwbie tu Telegram haina mbambamba ktk matumizi hakuna hata siku moja iliwahi kuwa DOWN.. rejea funga funga ya Serikali kipindi cha uchaguzi TELEGRAM haikufungwa ilikuwa live 24/7. Rejea DDOS Attacks anazoface Meta hapo Whatsapp Telegram haijawah kupata hizo Attacks.

Telegram ana server kubwa mno.. ana security kubwa mno even customized Network protocols zake ukiset uingie kwa tunnel yako ipo very strong and secure..
Ni ka Darkweb flan hivi lowkey..
 
Yaan telegram imekuwa Mtandao wa Mashoga na Wauni
Your thoughts your words. Huko Kuna groups za career mbalimbali,mie vitabu vingi mno na lectures video na audio nimezipatia huko,yaani Kama wewe Ni wa kusaka maarifa Ni juu yako,Malaya Ni wewe tu, yaani hapa duniani kila mtu anapata aliwazalo. Your life is shaped from your thinking.
Nikikuambia Chacha ana dharau utaiona iyo dharau kwake pia nikimwambia mwingine kuwa chacha Hana dharau Basi hatuoina.
You believe then you see and you don't see then believe
 
Your thoughts your words. Huko Kuna groups za career mbalimbali,mie vitabu vingi mno na lectures video na audio nimezipatia huko,yaani Kama wewe Ni wa kusaka maarifa Ni juu yako,Malaya Ni wewe tu, yaani hapa duniani kila mtu anapata aliwazalo. Your life is shaped from your thinking.
Nikikuambia Chacha ana dharau utaiona iyo dharau kwake pia nikimwambia mwingine kuwa chacha Hana dharau Basi hatuoina.
You believe then you see and you don't see then believe
Watu wa hivyo kuwaelewesha ni ngumu sana.

Telegram kuna free Books na Free courses za Udemy

Kuna Tutorials kibao for free

Kuna Movies za kutosha.. ingawa wakikuotea wanakuchapa Ban (Copyright).

Ila mtu anafungua link ya grp la ngono then anakuja ku generalize Telegram ni mtandao wa kihuni.

Turejee JF miaka mitatu nyuma kulikuw na lile Jukwaa letu pendwa la Mambo ya kikubwa lipo hidden kule. Huwez generalize kwamba JF nzima ina hayo mambo. Unapata unachotaka.
 
Whatsapp aliwahinkuingia mjini ila kwa features hawafikii telegram. Na itamchukua muda kumfikia kwa sababu yote anayo yaanzisha ni kama anakopi tu. Emoj tu za telegram zinaipiga whatsapp mbali sasa sijagusa mambo mengine
Ndo basi uelewe kuwa with time whatsapp itakuwa na kila kitu cha telegram na bado ataendelea mzidi watu
 
Watu wa hivyo kuwaelewesha ni ngumu sana.

Telegram kuna free Books na Free courses za Udemy

Kuna Tutorials kibao for free

Kuna Movies za kutosha.. ingawa wakikuotea wanakuchapa Ban (Copyright).

Ila mtu anafungua link ya grp la ngono then anakuja ku generalize Telegram ni mtandao wa kihuni.

Turejee JF miaka mitatu nyuma kulikuw na lile Jukwaa letu pendwa la Mambo ya kikubwa lipo hidden kule. Huwez generalize kwamba JF nzima ina hayo mambo. Unapata unachotaka.
Universal is rich so you get what you need. Yaaani kila kitu kinakuja kwako ama kinaota kwenye maisha yako kulingana na your mental environmental.


Yaaani mind haina tofauti na udongo so ukiona mimea fulani inaota kwenye udongo wako elewa Ni zile soil chemicals, biologicals( uhai wa wadudu waliopo) na physical texture and colour and soil particles size composition ndio inayosapoti Aina ya mimea iyo kuota na ndio Mana magugu maji hayaoti jangwani na cactus haioti majini.
Akili kumkichwa jamani. Silaha Ni nzuri na Ni mbaya na pesa Ni mbaya na Ni nzuri,mke ama ndoa Ni nzuri ama mbaya,kila kitu kina Hasi na chanya ,Mungu na shetani,usiku na Giza,kiangazi na masika,mke na mme,uchoyo na ukarimu,uzuri na ubaya, it's up to your kuwa where do you allign your mental domains of magnet to attract what you desire,yaani you attract what you're not what you what you. If you want to paint like da Vinci first learn to think like him please. Hata haya niliyoandika wapo watakaon negative na ku critize and Wapo watakaona Positive wapo.
It isn't their fault or mistakes but because how they alligned their mental mindset to see or to that mind will show them what they want to see.
 
Jambo ambalo Telegram wamelifanya kwa miaka zaidi ya 7 sasa..

Ndio wanafanya leo? Haitakuwa nzuri kiviile whatsapp inapendeza ilivyo miaka mitatu nyuma.

Binafsi naona wanaweka vitu ambavyo ni vya kukopi ubunifu + Unnecessary.

Hao META walikuja na feature ya POKE ktk Fb na haikuzaa matunda..

Telegram watabaki kuwa juu ktk creativity.

Refer
Group capacity mwanzo Whatsapp ilikuw inalimit 250 tu ila sahiv wanafik 500+ wakat huo Telegram inapokea hata members laki moja na kuendelea.

Privacy.. Telegram ndio most secured Messenger app, ipo well organized kuanzia txt vanishing etc hii nayo whatsapp wameiga.

Sticker, whatsapp wameiga kwa Telegram.

Ni mambo mengi sana whatsapp wameiga..

Whatsapp wajitathmin sana ktk creativity wanazidiwa na wale wa FOUAD MODS wapo ahead.. app sio yao ila wanauwezo mkubwa wa kuclone features na kuziembedd ktk whatsapp server ambazo zinaleta umuhimu zaidi.

It's the other way round telegram wanaenda kupoteza Kila kitu.
 
Jambo ambalo Telegram wamelifanya kwa miaka zaidi ya 7 sasa..

Ndio wanafanya leo? Haitakuwa nzuri kiviile whatsapp inapendeza ilivyo miaka mitatu nyuma.

Binafsi naona wanaweka vitu ambavyo ni vya kukopi ubunifu + Unnecessary.

Hao META walikuja na feature ya POKE ktk Fb na haikuzaa matunda..

Telegram watabaki kuwa juu ktk creativity.

Refer
Group capacity mwanzo Whatsapp ilikuw inalimit 250 tu ila sahiv wanafik 500+ wakat huo Telegram inapokea hata members laki moja na kuendelea.

Privacy.. Telegram ndio most secured Messenger app, ipo well organized kuanzia txt vanishing etc hii nayo whatsapp wameiga.

Sticker, whatsapp wameiga kwa Telegram.

Ni mambo mengi sana whatsapp wameiga..

Whatsapp wajitathmin sana ktk creativity wanazidiwa na wale wa FOUAD MODS wapo ahead.. app sio yao ila wanauwezo mkubwa wa kuclone features na kuziembedd ktk whatsapp server ambazo zinaleta umuhimu zaidi.
Yaani wassap ni majinga majinga Sana, hawana mvuto halafu wanawaonea gela kina GB,FM,YO WASAAP kiasi Cha kutulamba makufuli tunaotumia.

Nimelazimika kurudi offcal wassap hapa natamani kutapika
 
Ndio maana nikasema Telegram ni kama Email service platforms like Yahoo, Gmail, Outlook etc.. zipo complicated ila Unavoidable utazunguka wee ila utalazimika kuinstall service.

Telegram ipo hivyo. Ina tabia hiyo.

Na ndio Rival wa Whatsapp nashangaa unasema ni Underdog? Telegram haiwez kuuzwa kizembe hivyo. Ingeshauzwa siku nyingi.

Nakukumbusha Telegram sio ya vilaza. Ni watu intellectual asilimia kubwa wanatumia. na nikwbie tu Telegram haina mbambamba ktk matumizi hakuna hata siku moja iliwahi kuwa DOWN.. rejea funga funga ya Serikali kipindi cha uchaguzi TELEGRAM haikufungwa ilikuwa live 24/7. Rejea DDOS Attacks anazoface Meta hapo Whatsapp Telegram haijawah kupata hizo Attacks.

Telegram ana server kubwa mno.. ana security kubwa mno even customized Network protocols zake ukiset uingie kwa tunnel yako ipo very strong and secure..
Ni ka Darkweb flan hivi lowkey..

Not necessarily Whatsapp 5B downloads. Telegram 1B downloads.

Telegram offers more ila Whatsapp haikwepeki kama maji. Unaweza kuwa na telegram peke yako ila circle yako yote from family to friends wapo Whatsapp utarudi tu.
 
Telegram inatumiwa sana na watu pia..
Na Telegram ipo low key mnoo na watumiaji wake wengi ni watu wanaojielewa sana.

Kama ilivyo ktk matumizi ya EMAILS.. mtu haingii mara kwa mara ila analazimika awe na Email. Same as Telegram kwa sasa kwa mtu anayejielewa lazima awe na Telegram same as Ki Tanzania mtu anayejielewa lazima awe na account JF.
Mimi nilikuwa nayo ila haikuwa muhimu kihivyo ,baada ya kurestore simu nilikunbuka app nyingi wasap ilikuwa ya kwanza .

Tupe faida zaidi kuhusu Telegram tatizo huenda ni kutokuwa na Elimu ya kutosha kuhusu Telegram.
 
Namna ambavyo watumiaji wa WhatsApp wanaitumi app ya WhatsApp; itabadilika na soon WhatsApp itakuwa ni mtandao wa tofauti zaidi. Itakuwa ni sehemu ambayo sio lazima ukimaliza kuchat na rafiki yako kwenye WhatsApp, unafunga app ya WhatsApp na kufungua app ya Instagram ili kufahamu habari zinazoendelea mjini. Itakuwa unaweza kupata taarifa zote kupitia app ya Instagram bila kulazimika kwenda kwenye apps nyingine.

Kampuni ya Meta imekuwa ikifanya majaribio ya kuweka mfumo wa Channels. Mfumo huu utawezesha makampuni, content creators, wataalam na brands mbalimbali kutengeneza Channels ambazo zitakuwa zinatoa updates na taarifa mbalimbali ndani ya mtandao wa WhatsApp.

View attachment 2650207

Mambo ambayo yatakwepo katika Channels za WhatsApp​

  • WhatsApp itakuwa na channels za news, team za mpira, vyombo vya habari, content creators, wasanii, brands mbalimbali, channels za kiserikali na aina mbalimbali ya channels ambazo zitakuwa zinatoa updates kwa watumiaji.
  • Channels zitakuwa na button ya “Follow
  • Ukitaka kujitoa kwenye Channel, itakwepo option ya “Leave
  • Channels zitakwepo kwenye tab mpya ya “Updates” ambayo itakwepo kwenye tab ya Status.
  • Message za kwenye Channels zitakuwa zinafutika baada ya Siku 30
  • Admins watakuwa na uhuru wa kuzuia Screenshot zisifanye kazi kwenye Channels.
  • Hautaweza kuona orodha ya watu ambao wame-follow channel.
  • Hautaweza kuona namba za admins wa Channel
  • Admin atakuwa na uhuru Channel iwe huru kwa kila mtu kujiunga au kuzuia isipatikane kwa watumiaji wote.
  • Message za Channels sio encrypted hivyo WhatsApp inaweza kuziona. WhatsApp imesema inafanyia kazi mfumo wa encryption ambao utasaidia kuboresha usalama wa chats
  • Status na Channels zitakaa pamoja na zitakwepo kwenye tab ambayo itaitwa “Updates”. Utaweza kuona Status za marafiki na kuangalia updates za Channels ambazo umejiunga nazo kwa pamoja. Tab ya Updates itakuwa na Channels na WhatsApp Status kwa pamoja.
  • Meta imetangaza mfumo wa Channels utaanza rasmi kwa watumiaji wa WhatsApp na utaanza kwa watumiaji wa nchi za Colombia na Singapore.
  • Itakuwa ni njia rahisi ya kutuma habari, na taarifa mbalimbali kwenye WhatsApp. Watumiaji hawatalazimika kutumia Instagram, Facebook au Twitter kufahamu nini ambacho kinaendelea.
  • Itakuwa njia salama kwa sababu hauwezi kuona namba za admin na watu ambao wamejiunga kwenye channel.
  • Channels zitarahisisha kwa wafanyabiashara kutangaza bidhaa zao na biashara.


Mabadiliko haya yataleta utaratibu mpya wa kufuatilia habari, na taarifa mbalimbali moja kwa moja ndani ya WhatsApp; badala ya kwenda Twitter, Instagram na Facebook ili kupata taarifa mbalimbali kama vile habari. Itaathiri soko la Telegram, ambayo inafanya vizuri kwa kuwa na Channels nyingi na kuanzisha mfumo wa Channels kabla ya app nyingine hazijaanza kuwa na Channels.

View attachment 2650211View attachment 2650212
View attachment 2650213View attachment 2650214

Hii itakuwa nzuri sana kwa watumiaji wa wasap, asante sana.
 
Watu wanadhan wasap huwa haoni chats zao kupitia Encryption wanajidanganya sana. Encryptuon ina kinyume chake kinaitwa decryption kama unalijua hilo huwezi tatizwa na fact kwamba wqsap wanayo njia yao ya kujua kila kitu kinacho endelea kupitia app yao.

Ukitaka kula sharti uliwe kidogo
Wasap ni maarufu sana na Ina watumiaji wengi kama vile Facebook ila ilikuwa haina mambo haya.
 
Back
Top Bottom