King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Si kweli hyo ni beliefs zako tu sina gumashi lolote ila nimeweka huu mwaka wa saba
ok.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli hyo ni beliefs zako tu sina gumashi lolote ila nimeweka huu mwaka wa saba
Dhambi ni nini?Ni safi ili kupanua wigo wa privacy,, impact yake ni kutengeneza dunia ya wasio ogopa kudanganya''
Nawaza ikiwa watu wa ulaya walijua kuwa kumpendelea sana mwanamke kungesababisha birthrate kushuka kwasababu ya wanaume wengi kuogopa ndoa ,na wengi kuwa ma trangender.
Tunatakiwa kuwaza vema kuhusu matokeo ya baadae kutokana na maamuzi yetu ya sasa. Tukiegemea kujinufaisha kisiasa peke yake tunakuwa tunatenda dhambi kubwa sana.
Nyinyi jisomeeni hapaSisi wa GbWhatsApp tunacoment wapi
Basi wao whatsapp wasingeiwekabhiyo functionality... wanaiweka sababu wanaona ina uhitaji..Ndiyo hayo magumashi yenyewe! Mtu clean hawezi ficha read wala last seen....Hataki kuonekana means kuna watu anawakimbia.
Kuficha faragha za wateja lini walionwa.
Sijawahi ficha last seem! Nikikutana na mwanaume anaficha last seen suangaiki nae akafie mbereeeeeeeee.
Basi wao whatsapp wasingeiwekabhiyo functionality... wanaiweka sababu wanaona ina uhitaji..
Naonaga ni kukosa kujiamini. Sijawai ficha last seen, wala hiyo read receipt, nasoma na sikujibu na hunifanyi kitu simu yangu au naingia na sisomi message yako ni simu yangu hakuna pangiana 😀😀😀😀Watu wanaoficha last seen na read receipt huwa nakuwa nao makini sana kwenye kufanya biashara....Na nikiona mtu kahide last seen na read receipt naanza kumtilia shaka hapo hapo.....Kama hauna magumashi ya nini ufiche vyote hivyo?
Hawa GB au FM WhatsApp ni wachawi kabisa.gb whatsapp,hata ukitaka mtu asione kama umeangali status yake,au asione unatype nk.
ila zote ni dalili za ukanjanja.View attachment 2019291