Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna fala mmoja nilimuuliza kwa nini unaficha last seen! Umbwa yule akaniambia hataki boss wake ajue pale anapomuitaji! Moyoni nikasema nyooo! Boss my takle! Na vile nilikuwa sijampenda bahili kama nini! Hajui kuongea vizuri, hayuko romantic yaani utafikiri nachat na mjomba wangu, manina nikamuacha sasa hivi amebaki kuniona status na kunisifia nilivyonenepa nyoooo!Sure, wanaoficha last seen na read receipt % kubwa ni watu wa magumashi ,waongo ,mambo yao hayapo straight.
Kwahiyo anaweka hivyo vitu ili kuweka defence endapo ukimbana atajibu sijaiona message yako ila Whatsapp pia waongeze feature wakiwa online napo wasijuliknae,maana anakwambia hajaiona lakini muda mwingi yupo online.
Naungana na wewe kabisa watu hao ni kukaa nao kimtego mtego mda wowote wanakuliza kama ni biashara.
Anaficha nini sasa? Jitu linakuaga saa 3 limelala kumbe saa7 liko online nanina.😂Kigezo chako cha kumuacha mwanaume ni pamoja na kuficha Last seen
Kuna uhusiano mkubwa kati ya kutoa last seen na umalaya/wizi/uongo/utapeli.Kugawa k na kutoa last seen ni vitu viwili tofauti mtu ka ni malaya ni malaya wala sio vile katoa last seen
Alichokosea ni kuficha last seen na kumpenda mwanamke Kama weweKuna fala mmoja nilimuuliza kwa nini unaficha last seen! Umbwa yule akaniambia hataki boss wake ajue pale anapomuitaji! Moyoni nikasema nyooo! Boss my takle! Na vile nilikuwa sijampenda bahili kama nini! Hajui kuongea vizuri, hayuko romantic yaani utafikiri nachat na mjomba wangu, manina nikamuacha sasa hivi amebaki kuniona status na kunisifia nilivyonenepa nyoooo!
[emoji3][emoji3] ila pole SanaAnaficha nini sasa? Jitu linakuaga saa 3 limelala kumbe saa7 liko online nanina.[emoji23]
Yaani nakereka sana na watu wanaoficha last seen. Shady characters!!Watu wanaoficha last seen na read receipt huwa nakuwa nao makini sana kwenye kufanya biashara....Na nikiona mtu kahide last seen na read receipt naanza kumtilia shaka hapo hapo.....Kama hauna magumashi ya nini ufiche vyote hivyo?
🤣 🤣Naonaga ni kukosa kujiamini. Sijawai ficha last seen, wala hiyo read receipt, nasoma na sikujibu na hunifanyi kitu simu yangu au naingia na sisomi message yako ni simu yangu hakuna pangiana 😀😀😀😀
Aiseee Mimi nafanya biashara Tena hasa za mtandaoni 100% Ila hapa kwenye jambo la last seen limenishinda mtu anakuwa na access ya kuona nimetoka mda gani WhatsApp ili iweje ni sawa na Kama ume enable gps kwenye simu Google map inauwezo wakukuchora mizunguko yako ya Kila siku umetoka wapi unaenda wapi nakuendelea privacy nikitu muhimu Sana tuweni makini sio Kila mtu anatakiwa afahamu nyendo zakoWatu wanaoficha last seen na read receipt huwa nakuwa nao makini sana kwenye kufanya biashara....Na nikiona mtu kahide last seen na read receipt naanza kumtilia shaka hapo hapo.....Kama hauna magumashi ya nini ufiche vyote hivyo?
Sijui wengine wanaficha kwa sababu ipi ila GF wangu Ameficha sana last seen ila mpaka the moment tunakutana alikuwa hajaguswa bado and alikuwa ashamaliza chuo.Upo sahihi mkuu.
Hii ni room ya watu waongo.
Hii program inaenda kuwezesha watu waongo na hivyo kuinfluence wengine kuona kuwa kudanganya ni poa tu.
Tutaenjoy lakini itaongeza kiwango cha uongo(udanganyifu duniani)
Privacy matters tu watu wengi wanachukulia personal Ila hata walioweka hapo walikuwa na maana yaoSijui wengine wanaficha kwa sababu ipi ila GF wangu Ameficha sana last seen ila mpaka the moment tunakutana alikuwa hajaguswa bado and alikuwa ashamaliza chuo.
Sikuwahi kumuuliza kwanini anaficha ila ameshaniprove wrong kwenye suala la kuwa muongo muongo.
Mind you nlishamtrack sana simu yake mpaka baadae nikaona bora tu niache hayo mambo.
my GF anatumia hide last seen ila nmeshamtrack sana sijapata cha maana...Sijawahi ficha last seen! Nikikutana na mwanaume anaficha last seen siangaiki nae akafie mbereeeeeeeee.
imagine...Kigezo chako cha kumuacha mwanaume ni pamoja na kuficha Last seen
Wanafatilia ila sio kupangiana maisha na kuhukumu wengine Kwa ku hide last seen kuwa kosa la jinai loh.
Aiseee Mimi nafanya biashara Tena hasa za mtandaoni 100% Ila hapa kwenye jambo la last seen limenishinda mtu anakuwa na access ya kuona nimetoka mda gani WhatsApp ili iweje ni sawa na Kama ume enable gps kwenye simu Google map inauwezo wakukuchora mizunguko yako ya Kila siku umetoka wapi unaenda wapi nakuendelea privacy nikitu muhimu Sana tuweni makini sio Kila mtu anatakiwa afahamu nyendo zako
Watu wanaoficha last seen na read receipt huwa nakuwa nao makini sana kwenye kufanya biashara....Na nikiona mtu kahide last seen na read receipt naanza kumtilia shaka hapo hapo.....Kama hauna magumashi ya nini ufiche vyote hivyo?
natamani Jf nao waweke sehemu ya dislike ningeku kudislike ,umeandika vizuri lakini kweli hujui Mana ya faragha kweliWatu wanaoficha last seen na read receipt huwa nakuwa nao makini sana kwenye kufanya biashara....Na nikiona mtu kahide last seen na read receipt naanza kumtilia shaka hapo hapo.....Kama hauna magumashi ya nini ufiche vyote hivyo?