WHATSAPP TEXTS: Huwa unachukulia vipi ile situation ya mtu anaku-blue tick alafu hajibu wala kureact chochote?

WHATSAPP TEXTS: Huwa unachukulia vipi ile situation ya mtu anaku-blue tick alafu hajibu wala kureact chochote?

Dunia ya sasa hivi imekaa kibiashara sana make sure you have something to bring on the table , like ideas ,money deals , and other positivity stuffs.

Ukafanya hivyo utapunguza idadi ya blue tiki

Binafsi huwa nakuwa na small circle ya watu wakuwasiliana nao pia vilevile huwa nawasiliana na watu wapya

Siwezi kushindwa kujibu ujumbe wa MTU maana I don't do business but I'm a business.

Pia Mimi nikituma kwa MTU zikatokea blue tiki without any respond nachukulia kawaida maana kuna WATU huwa hawafanyi biashara na hawaitaji kuongeza network ya watu wapya hao Mara nyingi Ana we za kusoma ujumbe na akakaa kimya.


Tusichulie mambo personal hijalishi yanatupa faida au hasara.
Everything must be taken personal. Why ? Coz everything in business, social interactions and daily chores we all put our personal choices and preference into first priority .Any decisions we make at the end will affect us personally. NB: Usichukulie personal na practice kama nipo njema grammatically.
 
Mi nilijificha hata tiki ilikuwa moja bhana bhana kumbe nyonga mkalia ini hapendi maana hata nikiwa online ilikuwa huwezi kujua, siku moja akanisomea nikajua kumbe hili jambo halina jinsia wala umri, saiv nimerudi kwenye bluetick,
Wewe KITAKURAMBA
Huyo ana machaguo mengi ndiomana haoni umuhimu wako, punguza kumpa attention..
Anza kumchukulia kawaida, asiporespond usimsumbue achana naye..!
Muweke pending acha kumtreat km queen.!
Tena ikiwezekana na wewe tafuta marafiki wapya au vitu vya kukukeep busy.!
Tafuta vitabu soma uongeze knowledge badala ya kusumbukia yutiai, bro unafeli wapi??
 
Wewe KITAKURAMBA
Huyo ana machaguo mengi ndiomana haoni umuhimu wako, punguza kumpa attention..
Anza kumchukulia kawaida, asiporespond usimsumbue achana naye..!
Muweke pending acha kumtreat km queen.!
Tena ikiwezekana na wewe tafuta marafiki wapya au vitu vya kukukeep busy.!
Tafuta vitabu soma uongeze knowledge badala ya kusumbukia yutiai, bro unafeli wapi??
Unakuta kijana ana lilia yutiai
Akipewe anaanza kutafuta azuma zipo wapi?
Duuuh hatariiii Sana
Anyway sisi tunafurahia maana tunauza azuma Sana walete walete walete hao
 
Mi nilijificha hata tiki ilikuwa moja bhana bhana kumbe nyonga mkalia ini hapendi maana hata nikiwa online ilikuwa huwezi kujua, siku moja akanisomea nikajua kumbe hili jambo halina jinsia wala umri, saiv nimerudi kwenye bluetick,
😂😂😂 mapenzi nayo sometimes y’a hovyo.
Sasa wivu had kwenye blue tick.!!
 
Mie ndo nalalamikiwa kuwa bluetick watu, afu sijari wala nn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu mnapenda kujiumiza kwa vitu vya kijinga, km hutaki si u turn off read receipts mbona easy tu.!! Kwann uishi maisha y’a wasiwasi??
Umia km ni deal’s za pesa, lakini issue za mapenzi sijui mizinga.com hiyo potezea utakufa mapema…!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee uduguuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna jumbe hazina haya ya kujibu ndugu kwani ni maagizo kinachohitajika ni utekelezaji sio muda wa dialogue
 
Back
Top Bottom