Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kimbea kweli yaniAcha kutumia watsap za kimbea( )
VPNNisaidie mkuu napata tabu
Umeniwahi kaka.....Acha kutumia watsap za kimbea( )
😂😂 Na hii ndo sababu ya kwanini Mtanzania akikamatwa Kenya ama Rwanda kwa kosa fulani, hapewi nafasi ya kujiteteaUnavyosajili day 1.
Magroup ya porno yanapokuwa mengi, nalo linakuwa tatizo
Si kuna telegram bhana😂 Sema ubaya wa telegram, kama wewe sio mtu wa yale mambo, na penyewe watakulima ban mara kwa maraWafutilie mbali kweni lazima kutumia
😂😂Kwamba ili aonekane mjanja kati ya wajanja, apate mademumakeke
😂😂Ila mshkaji katoa sababu iliyokaa ki mama amina sana, halafu jibu lako limemkata maini maskini!Hapana sio sababu
😂😂Kwamba anatumia simu ya kimaskini, au sio!Simu Yako android version ni ngapi
Wanaosema simu za Oppo tatizo mbona yangu haina hayo mambo Wakuu na ndio brand naitumia kitambo hadi leo ni Oppo na Motorola tu.
Muhimu nunua simu mpya achana na simu za mtumba. Simu yoyote mtumba sio ya kuiamini kwanza ni risk unaweza tumika kiduanzi sana.
😂😂Tuanzie hapa, simu ambazo ukiweka sim card yenye contacts, zile contact hazidisplay. Na naskia wamekosana na Meta hao jamaa licha ya kuwa wameomba msamahaSimu yako ni oppo?
Tatizo boss wa Oppo Company ana majibu ya shombo sana. Asipoangalia hata X watamnuniaAchana nayo tu mkuu, subiri siku tukitengeneza whatsapp yetu ndo uanze kutumia 😎🤒
😂😂Reply itakayofuata hapa ni ya njoo PM. Huko PM kuna mtu atapigwa za uso mpaka ashangae, kesho tutakutana na uzi wa dhuruma. Hata kama mtu alitoa buku, utaskia, nikamtumia 100kIpo namna ya kusolve hilo tatizo, bila kubadili simu.
Sidhani, apps za kwenye simu yangu, zoote nimedownloadia Chrome, even JF. Ila sijawahi kumbana na matatizo kama hayaKama umewahi kutumia WhatsApp feki au apk zozote zengine ambazo haukuzipata Play store moja kwa moja kuna uwezekano watu wanatumia namba yako kutuma spam whatsapp. Minimum cha kufanya ni kupiga reset simu yako na usidownload apk zisizoeleweka tumia WhatsApp na app zote kwa ujumla kutoka Playstore.
Whatsapp chini android 6 haifanyikazi😂😂Kwamba anatumia simu ya kimaskini, au sio!
Ok😂😂Reply itakayofuata hapa ni ya njoo PM. Huko PM kuna mtu atapigwa za uso mpaka ashangae, kesho tutakutana na uzi wa dhuruma. Hata kama mtu alitoa buku, utaskia, nikamtumia 100k