[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wadada watatu walikuwa wamekaa pamoja wakinywa juisi kwenye mgahawa.
MDADA 1: najua mume wangu sio mwaminifu jana nimekuta rangi la lipstick kwenye kola ya shati lake.
MDADA 2: hata wangu nimekuta condom kwenye mfuko wake wa suruali nilichofanya nikachukua pini nikazitoboa toboa zote halafu nikazirudisha kwenye mfuko.
MDADA 3: ghafla kapaliwa na juisi na kudondoka akazimia. [emoji12][emoji13][emoji13]
[emoji119] [emoji119] [emoji119] mbavu zanguKuna jamaa alienda kupiga stori kwa mshikaji wake.
Mara mvua kubwa ikawa inanyesha,mshkaji wake akamwambia huyo jamaa " itabidi ulale hapa sebuleni mpaka kesho kwakua mvua ni kubwa inanyesha." jamaa akakubali.
Yule mwenyeji akaingia chumbani kama dakika 10 halafu ile kutoka sebuleni akamkuta jamaa kalowa tepetepe... Akamuuliza " vipi mbona umelowa?"
jamaa akajibu " nilienda kuchukua shuka nyumbani."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka upo vizuriBAADHI YA RAFIKI ZAKO WAMESHAOLEWA
WE UNAENDELEA KUSEMA ALL MEN are PLAYERS.
KAMA NI PLAYERS SUBIRI UOLEWE NA REFA[emoji23][emoji23][emoji23]