Pale unapoamka asubuhi hujisikii kwenda kazini, unaamua kutuma ujumbe kua unaumwa, mida ya saa 5 unampigia simu demu wako na anakuja geto, mnajifungia ndani kimyaaaa, Mara mlango unagongwa kwa jeuri unajibu "nani we unagonga kama kwako?" Unatoka na kwenda kufungua, USO kwa USO unakutana na wafanyakaz wenzako wakiwa na boss wako wamekuja kukujulia hali huku wamekubebea mijuisi na matunda, unawakaribisha ndan wanalikuta goma lako limejilaza khanga moko hoooii, hapo ndipo sura yako itafanana na ya mourinho anapomtazama pogba
*Wafanyakazi wenzako hawapendi ujinga[emoji23][emoji23][emoji23]