Boy : baby mambo, leo unakuja,kama
tulivyoongea jana?
Girl : Ndiyo my..
But baby Nikwambie kitu...
Boy : sema mpnz
Girl : Sasa mimi nitakujaje, nywele zipo hovyo sijaosha, wala kuset.. Alafu baby
kucha zangu sijasafisha..
Nitumie pesa kidogo Kama 150,000/=
hivi niende saloon..
Boy : Poa usijali subiri...
M-PESA : imethibitishwa 155,000/= salio lako jipya la M-PESA ni shilling 155,250/
=....
Boy : Umeiona mpnz?
Girl: kimya
Boy : Mmh mbona hujibu?
Girl : Ooh sorry, my nimeiona, nilikuwa namuandalia baba chakula, ndiyo
amerudi muda huu toka safari...
Mmh alafu sijui Kama ntaweza kutoka
baby coz baba alivyorudi amenisema,
juzi nilivyochelewa kurudi home, mama
kamwambia kila kitu... 100(customer care Vodacom) : Karibu
katika huduma ya watu waliotuma pesa
kimakosa kupitia M-PESA...
Boy : Samahani nimetuma shillingi
155,000/= kwenda number xxxxx,
naomba mnisaidie kuirudisha tafadhali... 100(customer care Vodacom) : OK subiri
ombi lako linashughulikiwa na
utarejeshewa kiasi hicho ndani ya masaa
24...
Girl (SMS imeingia toka M-PESA) :
Imedhibitishwa kiasi cha shilling 155,000/= kilichotumwa kimakosa
kimerudishwa, salio lako jipya la M-PESA
ni shilling 250/=
Girl : Sasa baby ndiyo nini hivyo...
Boy. Sio Mimi ni voda ao wamenionea uruma unavyo nichuna. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]