Whatsssssss!!!!!!!!!????

Hahahahaha Noma kweliii[emoji3]
 
Tangu ni nunue blender maisha yamekuwa shwari! Ile kitu inanibamba nayo sana ni nikitaka kupika uji asubuhi naweka maji ya moto then natupia ugali wa jana hapo ndani.then drrrrrrrrrrr
UJI TUNAO HATUNA.!??[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] oleleee[emoji445]
 
Kuna wachaga wamezoea biashara kila mda wanawaza biashara tuu..
Namuuliza sasa hivi ni saa ngapi??
Akanijibu..ni saa 6 kamili ila kwa kuwa we ni mtu wangu ntakufanyia saa tano na nusu!![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] haki ya mbuzi na mkia wake!!! daaah!!! Namba yako nnayo mkuu
 
Asilimia 98 ya watu wafupi huwa hawapunguzi urefu wa jeans zao, huzikunja kwa chini wakiishi kwa matumaini kwamba kuna siku watarefuka wakunjue jeans zao.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
naombeni ulinzi
Hapa Umezingua mkuu!!! [emoji53][emoji53][emoji53]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] supermarket eeeh nletee matunda wodini hapa[emoji3][emoji3]
 
Mademu wawili walikua wamekaa disco mmoja wa kawaida mwingine mkali nikawafuata
MIMI: mambo vipi dada
DEM(wa kawaida): kwa nyodo poaa
MIMI: samahani unajua ku dance
DEM: ndioo huku akitabasamu
MIMI: bhas nilikua naomba ukadance nataka niongee na rafiki yako.
sipendagi ujinga mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
BABA- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi dar haiwezekani
MAMA:- Mme wangu morogoro ulienda bila kuniaga! ?
BABA:- Ilikuwa ni ghafla sana mke wangu sikuweza kukwambia
MAMA:- kha! Sasa watoto nani atawaangalia
BABA:- Unasemaje! We uko wapi kwani
MAMA:- Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi. [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
JERO: Ulikua wapi ndugu yangu, mbona huonekani.....?
ELFU KUMI: Daah ndugu yangu mwenzio nazunguka tu kwa kutumia "wallet" na "ATM", mara nimeingia Bar, mara Casino, juzi nlikua Uwanja wa Ndege nikakaa sana pale kisha nikaenda Mlimani City nikatoka nikaenda Holiday Inn kisha nikachukuliwa nikapelekwa Masaki, vipi wewe pande zipi.?
JERO: Looh, mwenzio kila siku kwa Mama Ntilie, muuza mkaa, nikibadili kiwanja labda utanikuta kilabuni.
ELFU KUMI: tafuta wenzako 19 ili muwe kama mimi, mwenzako namsubiri pedeshee yeyote twende zetu serena hotel [emoji12][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]
 
KUJIZOESHA KUANGALIA MIELEKA NOMAA!!. Mtoto katoka usingizini kakuta babake yupo juu ya mama yake, miguu ya mama imekunjwa kuelekea kichwani, dogo akajua hii ni mieleka LIVE bila refa, Akaanza kuhesabu huku akipiga godoro! PAA! 1, PAA! 2, PAAAA!!! 3. Akamnyanyua dingi mkono,mzee umeshinda ila siku nyingine uvae pichu. [emoji12][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]
 
DEMU: ni kwa kiwango gani unanipenda beby
JAMAA: nakupenda sana, mapenzi yangu kwako hayapimiki kwa kitu chochote
DEMU: niambie beby jaman
JAMAA: mimi ni simu na wewe ni laini ya simu, bila laini simu haiwezi kufanya kazi beby
DEMU: asante beby jaman
JAMAA: (kimoyomoyo) nashukuru Mungu hajagundua kwamba simu za kichina zinatumia laini mpaka 3. [emoji12][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani duniani kuna watu wa ajabu yaani huwezi amini jumapili nilikua kanisani nilikaa na jamaa mmoja anavuta sigara kanisani bila uoga, nilitetemeka nusu nimwage bia yangu...!! [emoji12][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
MWALIMU: Tunga sentensi kutumia neno TUMAINI
MWANAFUNZI: Tumaini twa kuku ni tutamu kuliko tumaini twa mbuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa alikuwa njiani anaenda kanisani, si akashtuka kukumbuka kuwa ameacha simu yake nyumbani. Haraka akageuza njia na kuanza kurudi nyumbani, alipofika home presha ikiwa juu bahati nzuri akakuta mkewe hajaamka akaichukua simu yake huku anaikagua kagua
MKE: Jamani si nilidhani umeenda kanisani?
JAMAA: Mchungaji kanitext kasema leo hakuna ibada [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa alikuwa njiani anaenda kanisani, si akashtuka kukumbuka kuwa ameacha simu yake nyumbani. Haraka akageuza njia na kuanza kurudi nyumbani, alipofika home presha ikiwa juu bahati nzuri akakuta mkewe hajaamka akaichukua simu yake huku anaikagua kagua
MKE: Jamani si nilidhani umeenda kanisani?
JAMAA: Mchungaji kanitext kasema leo hakuna ibada [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mlevi mmoja alikuwa anakula ugali na samaki.
Mkewe akamwambia ''angalia miba''
mlevi akajibu usijali nimevaa viatu [emoji12][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wapenzi wakiwa katika harakati ya kula chakula cha usiku,
JAMAA: honey hivi kabla yangu ulikuwa na wanaume wangapi?
DEMU: kimya..
JAMAA: akauliza mara ya 2
DEMU: bado kakomaa vile vile, kimya
JAMAA: akauliza mara ya tatu,
DEMU: bado akawa kimya.
JAMAA: (kwa ukali)
"Honey una nidharau kiasi hiki? nakuuliza hutaki kunijibu siyo?
DEMU: Hee honey si ndio nawahesabu kimya kimya!! nilikuwa nishafika 89, ngoja nianze upya sasa!! [emoji12][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
DEMU: Nimefukuzwa kwetu
JAMAA: Asee pole
DEMU: sasa nifanyeje??
JAMAA: panda gari za Tazara ulale kwenye foleni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dokta yupo na walevi anawapa ushauri kuhusu afya zao:
DOKTA: Jamani hivi mnajua kwamba pombe inaua polepole?
Mlevi mmoja akaibuka akamjibu: We dokta vipi? Kwani nani kakwambia sisi tuna haraka? [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…