supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Ha ha haJamaa mmoja muongo alikuwa akiwahadithia washikaji zake maskani jinsi alivyokamata swala porini Akaanza "Nilimkimbiza sana mwishowe nikamkamata
na kumlaza chini.
Ghafla simu yake ikaita akaenda pembeni apokee, aliporudi akawauliza wenzake
JAMAA: hivi nilikuwa nimeishia wapi?
:- ulimlaza chini
Jamaa akaendelea
"basi nikamlaza chini, nikamshikashika nikamnyonya romansi mpaka akalegea, nikamvua nguo, halafu nikafanya nae mapenzi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui atalia ama atanyamazaJAMAA: Dokta vipi mke wangu
DOKTA: kwa kweli hali yake
si nzuri, kavunjika uti wa
mgongo sehemu mbili, kwa hiyo hataweza tena kujitegemea.
JAMAA: Masikini mke
wangu, machozi yakaanza
kumtoka
DOKTA: Kwa hiyo atakuwa
mtu wa kulala tu, na
italazimu umgeuze kila baada ya masaa mawili ili asipate madhara ya vidonda. Na utalazimika kumlisha na kwa kuwa hawezi kuamka, atakuwa anajisaidia kitandani ni muhimu kuweka kitanda kiwe safi kila nusu saa, pengine italazimu awe na nepi uwe unambadili kila robo saa. Jamaa sasa alikuwa analia kwa nguvu waziwazi.
DOKTA : Hahahah nakudanganyaa, usilie hivyo KESHAKUFA[emoji12][emoji13][emoji13]
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Jamaa kapita pembeni ya
nyumba ya ghorofa moja, si
akaangukiwa na condom
imetumika. Kwa hasira akaenda kupiga hodi kwenye nyumba ile, akatoka mtu mzima mmoja;
JAMAA: Nauliza nani anaishi hivyo vyumba vya juu?
MZEE: We chizi nini inakuhusu nini?
JAMAA: Nauliza tena nani
anaishi huko juu?
MZEE: Anaishi mwanangu na mkewe
JAMAA: Basi mjukuu wako
kanidondokea [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]
NishidaJamaa alikuwa kitandani na mke wa mtu, mwenyewe akarudi na kugonga mlango. Mke akamwambia jamaa pitia dirishani kimbia,jamaa akaanza kubisha eti nje kuna mvua, mwanamke akamwambia jamaa ana hasira na ana pisto, kusikia hivyo akachukua nguo zake bila kuzivaa akaruka dirishani na kukimbia. Kufika barabarani akakuta watu wengi wanakimbia wako kwenye mashindano ya mbio nae akajiunga. Mmoja akamuuliza, mbona unakimbia uchi? jamaa akajibu napenda sana hivi najisikia fresh. Mwingine akamwambia ndo ukimbie nguo umebana kwapani? Akajibu sasa niziweke wapi? Mwingine akamuuliza kwa hiyo kila ukiwa unakimbia unavaa kondom, jamaa akajibu hapana huwa navaa kama mvua inanyesha tu [emoji12][emoji13][emoji13]
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nishida
Asante navipenda sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Karibu JF kimamy, anza mwanzo kabisa wa huu uzi utavikuta vichekesho vingi sana mpaka utavunjika mbavu[emoji12]
Kuna shida katika ndoa duh! Si kwa majibu haya!Kundi la wake za watu walikuwa kwenye semina kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa. Muwezeshaji akauliza, wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono.
Akauliza tena, ‘Mara ya mwisho umemwambia mumeo
nakupenda lini?. Majibu
mbalimbali yalitolewa, Wengine wakisema Leo, wengine Jana, wengine hawakumbuki. Kisha akawaambia, kila mtu achukue simu yake halafu amtumie mumewe text yenye maneno.
NAKUPENDA MPENZI, kisha wabadilishane simu.
Wakaambiwa kila moja asome majibu kwenye simu aliyoshika, majibu yalikuwa kama ifuatavyo;
Simu 1- Samahani nani mwenzangu?
Simu 2- He Mama Joji unaumwa?
Simu 3- Nami pia daima
Simu 4- Nini tena umeshagonga gari?
Simu 5- Sijakuelewa una maana gani
Simu 7- Umefanya nini tena? Leo sitakusamehe
Simu 8-Chukua taim yako
Simu 9-?!?
Simu 10- Acha kuzunguka unataka shilingi ngapi?
Simu 11 – Hivi naota?
Simu 12 – Kwa kweli leo usiponieleza hii mesej ulikuwa unampelekea nani atakufa mtu shenzi mkubwa
Simu 13 – Nilishakwambia
usirudie kunywa pombe au
ntakuacha naona umechoka kuishi na mimi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna shida katika ndoa duh! Si kwa majibu haya!