supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Majibu yanawafaa haya
1. Anaona umelala kabisa then anauliza "umelala saivi?"
JIBU: no, nafanya mazoezi ya kufa
2. Anapiga simu ya mezani home then anauliza "uko wapi?"
JIBU: nipo msikitini
3. Una mpelekea Galfriend zawadi ya maua then anauliza "hayo ni maua?"
JIBU: no, ni michicha
4. Upo kwenye jumba la sinema una nunua tiketi then anauliza "una nunua tiketi ya sinema?"
JIBU: no nalipa ada ya shule [emoji12][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
1. Anaona umelala kabisa then anauliza "umelala saivi?"
JIBU: no, nafanya mazoezi ya kufa
2. Anapiga simu ya mezani home then anauliza "uko wapi?"
JIBU: nipo msikitini
3. Una mpelekea Galfriend zawadi ya maua then anauliza "hayo ni maua?"
JIBU: no, ni michicha
4. Upo kwenye jumba la sinema una nunua tiketi then anauliza "una nunua tiketi ya sinema?"
JIBU: no nalipa ada ya shule [emoji12][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]