Duuu noma ukwel
Sent from my SM-J320H using
JamiiForums mobile app
Baunsa mmoja alikuwa kapumzika sehemu sehemu anakula upepo na ghafla dogo mmoja akamfuata. Huku akionyesha kujiamini yule dogo akamvagaa yule baunsa!
DOGO: Oyaa bro saa ngapi?
BAUNSA:Hebu ondoka usinisumbue!
DOGO: Siondoki mpaka uniambie sasa hivi ni saa ngapi!
BAUNSA: (Kwa hasira) Saa nane na nusu
DOGO: Poa ikifika saa 9 nakuja kukushika tako!
BAUNSA: Unasemaje wewe mjinga hunijuii? (Akaanza kumfukuza, dogo akakimbilia nyumba jirani, Baunsa kamkuta mzee nje ya ile nyumba!)
BAUNSA: Kuna dogo kaingia humu ndani namtaka!
MZEE: Ndio nimemuona, Ni mjukuu wangu, kafanya nini?
BAUNSA: Aaaaha! Kanambia eti ikifika saa tisa atakuja kunishika tako
MZEE: Sasa haraka ya nini? Vumilia kidogo, Bado dakika 20 tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]