supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Mtoto kaamka asubuhi analia...
Hii iii iii iii, Mama anamuuliza vipi mwanangu asubuhi yote hii unalia nini?,
Mtoto anaendelea kulia tena kwa sauti kuubwaa. Baba anambembeleza "sema basi mtoto mzuri". Mtoto anawaambia wazazi wake huku akiendelea kulia "Nimeota ndoto mbaya sana". Wazazi kwapamoja wanamuuliza "umeota nini".
Mtoto anawajibu,"Nimeota tumefungua shule" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii iii iii iii, Mama anamuuliza vipi mwanangu asubuhi yote hii unalia nini?,
Mtoto anaendelea kulia tena kwa sauti kuubwaa. Baba anambembeleza "sema basi mtoto mzuri". Mtoto anawaambia wazazi wake huku akiendelea kulia "Nimeota ndoto mbaya sana". Wazazi kwapamoja wanamuuliza "umeota nini".
Mtoto anawajibu,"Nimeota tumefungua shule" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]