Whatsssssss!!!!!!!!!????

Whatsssssss!!!!!!!!!????

DUNIA IMEKWISHA!!!
Mtoto baada ya kutajirika alimwambia baba yake, "Enhe! baba nikulipe nini ili tusijuane tena!
"Baba akamjibu, "Nipe mkeo nimnyonye maziwa kama wewe ulivyomnyonya mke wangu!
" Mtoto, mmmh, "Basi mzee wangu, nilikuwa nakutania tu, yaishe.
"Baba "ulikuwa unanibipu, nimekupigia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Boss kaingia mapema asubuhi kazini akamkuta Manager anampiga busu Secretary.
Boss akamwambia (kwa hasira), ndo nakulipa mshahara kwa kazi hii...!!!?
Manager:- (Kwa upole), Hapana Boss, hii nafanya free kabisa bila malipo...!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wazo la jana hata kama simba na yanga wakitoka sare huwezi kuvaa shule[emoji13]
 
Jamaa alikuwa amekaa ndani ya club
Changudoa akamsogelea na kumwuliza,
"Unataka mambo yetu?"
Jamaa akamwambia, "Ndio. Lakini,
unaweza
kunipa kama mke wangu?"
Changudoa akamjibu, "Hapa usipime.
Mimi noma, ntakupa mpaka mkeo usimkumbuke!
Kwani huyo mkeo anakupaje?"
Jamaa akamjibu, "Mke wangu ananipa bure."
Changudoa, "Nyoo! Fisadi wa biashara za wenzio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Girl:baby..
Boy: yes baby..
Girl: Hii simuu..
Boy: Imefanyajee?
Girl: Inazinguaa..
Boy: ina nn?
Girl: asa kila siku wananiona na hiihii?
Boy: sasa si ndo uliyonayo?
watakuonaje na ingine?
Girl: aaaah! bby mi najickia
vibayaa..
Boy: usijisikie bebi, kwan vipii?
Girl: marafiki zangu wote wana simu nzuri, wananicheka..
Boy: usishindane naoo, wazazi wao wana hela! naww soma mwanetu asije kuchekwa kama wewe...sawa?
Girl: bby stakiiii....
Boy: tufanyeje ss?...........bby
Girl: namm nataka iPhone-5s, au galaxy-s5
Boy: bby si tumekubaliana
tuvumiliane lkn? umekuaje tangu ufike chuo?
Girl: hamna.
Boy: mi mwenyew naishi kwa mkopo, bado sijawaza unakula nn, iPhone mi natoa wap?
Girl: mi sijui bwana, we
mwanaume..
Boy: Mi mwanaume ndio, ila
usinifanyie ivyo mamy...mwenyewe unajua..
Girl: Poa, bas nitajua nitakapoipata mwenyewe..
Boy: kwaio husomi tena unawaza iphon sio? we unasoma au unafanya maonyesho ya simu?
Girl: nasoma..
Boy: sasa hiyo uliyonayo ina shida gan? muda wa matumizi ya simu kwanza unatoa wap?
Girl: bby mi mtoto wa kikee..
Boy: kwaio unatakaje?
Girl: nataka niwafunike wotee
Boy: poa, kesho tukutane town bas nikakununulie turubai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Masawe alienda na rafiki zake Bar kunywa, baada ya kumaliza kunywa bili ikaletwa kama ifuatavyo;
1). Manka = sh.35,000.
2). Marieta = sh.20,000.
3). Kekuu = sh.30,000.
4). kitime = sh.15,000.
5). Kinabo = sh.10,000.
TOTAL = SH.110,000.
Masawe akaicheki bili akasema; wote
nitawalipia, lakini huyo TOTAL ''Yesuu''
simlipii kabisa. Kwanza anamiliki sheli kibao za mafuta hapa Bongo na amekunywa nyingi kuliko wote, alipe mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa alikuwa anamdai mwenzie laki tano lakini kukawa na kukwepana kwenye kulipa, akaona aende kwa mwanasheria;
JAMAA: Jirani yangu
namdai laki tano inaonekana anataka
kukwepa kulipa nifanyeje?
MWANASHERIA: Una ushahidi?
JAMAA: Kwa kweli sina tulipeana
kindugu hatukuandikishana
MWANASHERIA: Basi muandike barua
mdai shilingi milioni moja yako
JAMAA: Lakini namdai laki tano tu
MWANASHERIA: Haswa, tunachotaka arekibishe hilo kimaandishi ili tuwe na ushahidi toka kwake mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ilikuwa siku ya watu wanaokula ugali na mboga za kustaajabisha duniani, [emoji117]Mshiriki wa kwanza akala ugali na chumvi watu wakamshangilia wakijua ndio mshindi,
[emoji117]Mshiriki wa pili
akala ugali na maji watu wakashangilia zaidi wakifikiri ndiyo mshindi
[emoji117]Mshiriki wa tatu akala ugali mkubwa akichovya kwenye ugali mdogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Arusha kwenye mkutano fanya mipango yote
SEKRETARI (anamuaga mumewe):
Tunaenda na bosi Arusha kwenye mkutano
MUME (anampigia mchepuko): Mambo
safi, wife anaenda kikazi Arusha jitayarishe tujirushe
MCHEPUKO (anamwambia
mwanafunzi wake wa twisheni): wiki hii nina kazi fulani hakuna twishen mpaka wiki ijayo
MWANAFUNZI (anampigia simu babu yake (BOSI)): Babu hakuna twisheni wiki hii nakuja kwako
BOSS anamwambia sekretari wake:
Siendi Arusha mjukuu wangu atanitembelea
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Arusha
MUME (anampigia Mchepuko): Aise mpenzi jamaa haendi mipango imeharibika
MCHEPUKO (anampigia mwanafunzi):
Darasa kama kawaida
MWANAFUNZI: Babu twisheni iko, nakuja wiki ijayo
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Arusha iko palepale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1479316589426.jpg
 
KIFO SI MCHEZO! Familia ilivamiwa na majambazi,yakapanga kuwaua wote ila kabla ya kuwaua yaliamua kuwauliza majina yao kwanza.
Jambazi:wee unaitwa nani?
Mke:naitwa Elizabeth.
Jambazi:umesalimika mana jina lako ni km la mamangu...
Jambazi:eeh! na wewe je?
Mume:naitwa John ila kazin wananiita Elizabeth[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kwa sauti wakati niko pekee yangu.
 
Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si akakuta mchepuko wake,
MKE : Unataka nini we mpumbavu?
MUME: Nani huyo unamtukana?
MKE : Kuna mtu hapa anakichwa kama
nenda urudi badae
MCHEPUKO:Nawewe pua kama poa
MKE: Miguu kama masaa mawili
MCHEPUKO:Masikio kama sichelewi
MKE: Ondoka hapa mjinga we.[emoji12][emoji13][emoji13]
Akafunga mlango
 
MAMA: Mwanangu una mimba?
BINTI: Ndio mama, ilikuwa tunafanya projekti ya baioloji chuoni
MAMA: Mungu wangu, sasa nani baba wa mtoto?
BINTI: Sijui, ilikuwa Group Project
[emoji12][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Mtumishi wa Bwana
alikuwa anazunguka
mitaani kueneza neno, akakuta kundi la watoto wanacheza, wamemzunguka mbwa mdogo kafungwa kamba shingoni.
‘MTUMISHI: Watoto mnafanya nini hapa?
WATOTO: Babu tunashindanshana nani
mwongo zaidi. Kila mtu anasema uwongo yule mwongo zaidi anashika kamba ya hiki kimbwa mpaka apatikane mwongo zaidi’.
MTUMISHI: Hiyo ni mbaya sana msifanye hivyo mtakuwa waongo sana mkiwa wakubwa, mimi nilipokuwa mdogo kama nyinyi nilikuwa sisemi uwongo kabisa’ watoto wakashangilia
WATOTO: Mpe babu ashike kamba, mpe babu ashike kamba’[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wana Sayansi Walitengeneza Mtambo Wa Kukamata Wezi Wakimyakimya Walipo Fanikiwa Kutengeneza Ule mtambo Walienda Kufanya Majaribio Nchini MAREKANI Ndani Ya Masaa 3 Ule mtambo Ulikamata Wezi 2,250, 555 Waka Upeleka Nchini CHINA Ndani Ya Lisaa1 Ule Mtambo Ulikamata Wezi3,253, 500 Wakapeleka Ule mtambo Nchini JAPAN Ndani Ya Lisaa1 Ulikamata Wezi 1,255, 650
Waka uhamisha Waka Upeleka Nchi Ya MISRI Ndani Ya Masaa3 Ule Mtambo Ulikamata Wezi 1,100,000
Wakasema Hebu 2peleke Africa Wakapeleka
Kenya Ndani Ya Lisaa Ule mtambo Ulikamata Wezi 65,265,000
Wakapeleka Kongo Ndani
Ya Dakika 30 Ule mtambo Ulikamata Wezi 55,252,000
Wakasema Hebu Tujaribu Nchi ya Amani TANZANIA Ndani Ya Dakika 15 Ule mtambo Ukaibiwa Wanasayansi Hoi Napresha Juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu
itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa,
ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee...
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari
nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka
kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia
Range Rover Sport na mama mkwe ntampa
Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome...
BOY: Halafu mdogo wako wa kiume ntampa
Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo
sijaanza kula....
GIRL: Enhee...na sisi??
BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima
Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli
zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu,
itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon
Bahamas....halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ya electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart..halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji
nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
JANE:"Daktari,kila mara baada ya kukojoa mwisho wa mkojo hutoka rangi ya brown."
DAKTARI:"Mmmh,huwa
unafanya mapenzi mara ngapi kwa siku?"
JANE:"Hee,ati siku! Mi hufanya!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom