supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Mchungaji kamfuata pedeshee mmoja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki;
MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi
PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu, huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya kulevya.
MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia kwa kujenga eneo la choo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi
PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu, huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya kulevya.
MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia kwa kujenga eneo la choo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]