Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I love youOoh Casanoovaaaa.....
Me and Romeo and Sarah and James......
Aahahahahahaa yaani hii wiki looh...!!
Ningekuwa nimeipuliza ningesema inanipelekesha kichwani Ila waaalaaahh...
Ni vile nimemengβenywa kama mpiga gitaa anavyolihimili gitaa lake kiunoni au tumboni au magotini (akiwa amekaa) na kutoa miito inayofanya macho yarembuke, midomo na mashavu yatabasamu na kulegea kama mlenda.
Keeuuwiiiiiii mahaba hayaaa, hadi nahisi sukari imepitiliza mwilini kwa utamu ninaoupata.....
Si mara zote utanikuta jikoni nakorofisha, ila nikiguswa penyewe.....
Ni shaaaaah, utamu kunoga sukari, kitu na meza, chumvi kwa mbalii, ndimu kwa mbalii [emoji12].
Najua wajuzi wa mapishi wako wengi, ila vile nikipika huku nimegibikwa na mahaba.....
Matokeo ya mapishi nayasikilizia uwanjani [emoji39][emoji39][emoji39]
View attachment 1708725
Biso na biso diko la diko [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
View attachment 1708724
Walau mshibe kwa picha [emoji39].
Ila nimengβatwaje vidolee, pamoja na kuweka umma na kisu Ila mtu kataka kulishwa na mkono.....
Watu wanajua kudeekaaaa....!
Mahaba Matata [emoji6].
Anahitaji maombi na upako huyu Kasie ni shiida π
Bibi kipendhii ulipotelea wapi? [emoji7][emoji7][emoji7]
Mahaba ktk ubora wake.
Baby wako wa leo kwa pishi ilo ni mhogo au bamiaπ π π
πThank you for the love...
Love you more.
ππWooooyoooooooo.......ππΌ
πππNyaaabuuuuuuuuuuu.......
Monkey Pie.....
Honey Bunny ..........
Sweet Pie.......
Albert T....!π π
I can't stop loving youThank you for the love...
Love you more.