Kenya inaongoza Africa "in police killings", hiyo ndio sifa yenu, ona sasa mnajisifia kwa kuuwa watu eti bora miili yao imepatikana lakini hakuna hatua zozote za uchunguzi.
Mkuu,
Naona vijana wanapenda sana kuingiza pua kwenye mambo muhimu sana ya usalama wa nchi.
Stability na Amani ya Tanzania haipatikani kwa kubinua pua, kuna watu wako kazini usiku na mchana kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa wote.
Kibiti(located jst few kms from Dar) ilikua tayari a hotbed ya terrorists tryn hard to destroy our nation peace, wajinga hawataki kukubali hilo.
Baada ya kushughulikiwa wakakimbilia nothern Mozambique ndio wakaanza kupewa attention eti kuwa ni terrorists waliotoka TZ.
Mashabiki wa hii habari ni wale walizoea kuishi ktk nchi zinazosumbuliwa na terrorists kila siku mpaka imekuwa ni oder of the day..
Our nation cultural and social fabric is very complex mambo Kama ya Kibiti yakiachiwa ku-replicate in other parts of the country eneo lote la EAC, Great Lakes na SADC litaharbikiwa kwa kasi Falcon X.
Ndio maana ulileta pua zako ktk mambo nyeti ya usalama wetu ni lazima tule sahani moja na wewe hata ukiwa nani.
Sent zangu 2.
Chris Msando alipatikana?, wewe kweli ni a person made in failed state.
Mkuu hizi post mie hua nazipita kama sijaona kitu; kuna mengi nyuma ya pazia!
Hamna tofauti saa hii ya Danganyika na Yugoslavia kijana. Yu are only bootlicking yet in reality things are really bad in that darkness called Danganyika
Which country in Africa is a police state? ?? Tanzania definitely.
TihihihiHahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.Shocking report reveals Kenya tops Africa in extra-judicial killings
According to the report, some of the abuses were committed by security agencies in the context of counter-terror operations, others by unaccountable police officers and other security agencieswww-pulselive-co-ke.cdn.ampproject.org
Hamna tofauti saa hii ya Danganyika na Yugoslavia kijana. Yu are only bootlicking yet in reality things are really bad in that darkness called Danganyika
Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.Shocking report reveals Kenya tops Africa in extra-judicial killings
According to the report, some of the abuses were committed by security agencies in the context of counter-terror operations, others by unaccountable police officers and other security agencieswww-pulselive-co-ke.cdn.ampproject.org
Hahahahaha, watarudi tu, si unajua vichwa vyao vilivyo?Ahaaa haaa haaa
You nailed it brother.
Akija TENA ujue ni punguani.
Hahahahaha, watarudi tu, si unajua vichwa vyao vilivyo?
Ahaaa haaa haaa
Wamebakiwa tu na AKILI ya KUVUKA BARABARA.
Hehehe. Is there anything out of the ordinary there?Aliyewaroga lazima ni mwarabu na alitupa ufungu indian ocean. Nowonder you are headless kabisa. So where is Azory Gwanda? Now that umetoa suruali ukafinikia kichwa ukaruka juu chini, the point was produce AZORY GWANDA
Ongezea na Aboud Rogo, Makaburi, Jacob JUMA, Mwenye magari ya "Coast Modern", viongozi na wanachama zaidi ya 300 wa MRC kule Mombasa. Tujue kama kuna jalada la upelezi hata moja lililofunguliwaAhaaa haaa haaa
If you show me just a single person who was convicted regarding the Musando death. Le me tell you, I'll never yap in here on issues of human rights.
Ahaaa haaa haaa
If you show me just a single person who was convicted regarding the Musando death. Le me tell you, I'll never yap in here on issues of human rights.
Wakenya Hawa wapuuzi tu ndio maana mpaka vikosi vyetu vinaingia kwao na kuondoka na wash ukiwa wa ugaidi huku yenyewe yamekaa tu hayana mbele wala nyuma walijualoMkuu,
Naona vijana wanapenda sana kuingiza pua kwenye mambo muhimu sana ya usalama wa nchi.
Stability na Amani ya Tanzania haipatikani kwa kubinua pua, kuna watu wako kazini usiku na mchana kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa wote.
Kibiti(located jst few kms from Dar) ilikua tayari a hotbed ya terrorists tryn hard to destroy our nation peace, wajinga hawataki kukubali hilo.
Baada ya kushughulikiwa wakakimbilia nothern Mozambique ndio wakaanza kupewa attention eti kuwa ni terrorists waliotoka TZ.
Mashabiki wa hii habari ni wale walizoea kuishi ktk nchi zinazosumbuliwa na terrorists kila siku mpaka imekuwa ni oder of the day..
Our nation cultural and social fabric is very complex mambo Kama ya Kibiti yakiachiwa ku-replicate in other parts of the country eneo lote la EAC, Great Lakes na SADC litaharbikiwa kwa kasi Falcon X.
Ndio maana ulileta pua zako ktk mambo nyeti ya usalama wetu ni lazima tule sahani moja na wewe hata ukiwa nani.
Sent zangu 2.
Wamuulize kisanduukuMuulize Mbowe
Akikujibu uni tagKabla ya kuanza kuuliza habari za Azory Gwanda, ingependeza kwanza ungeuliza kuhusu walipo waandishi hawa: Joseph Masha (Standard Group); Dennis Otieno (Freelance); John Kituyi (Weekly Citizen); Francis Nyaruri (Weekly Citizen); Samuel Nduati (Royal Media House); William (Michael) Munuhe (Former Freelance Journalist); Hos Maina, Anthony Macharia (Both Kenyans), Don Eldon (Kenyan resident), na Hansi Krauss (German) wa Reuters and AP...