Where is Azory Gwanda?

Where is Azory Gwanda?

Kenya inaongoza Africa "in police killings", hiyo ndio sifa yenu, ona sasa mnajisifia kwa kuuwa watu eti bora miili yao imepatikana lakini hakuna hatua zozote za uchunguzi.

Which country in Africa is a police state? ?? Tanzania definitely.
 
Mkuu,

Naona vijana wanapenda sana kuingiza pua kwenye mambo muhimu sana ya usalama wa nchi.

Stability na Amani ya Tanzania haipatikani kwa kubinua pua, kuna watu wako kazini usiku na mchana kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa wote.

Kibiti(located jst few kms from Dar) ilikua tayari a hotbed ya terrorists tryn hard to destroy our nation peace, wajinga hawataki kukubali hilo.

Baada ya kushughulikiwa wakakimbilia nothern Mozambique ndio wakaanza kupewa attention eti kuwa ni terrorists waliotoka TZ.

Mashabiki wa hii habari ni wale walizoea kuishi ktk nchi zinazosumbuliwa na terrorists kila siku mpaka imekuwa ni oder of the day..

Our nation cultural and social fabric is very complex mambo Kama ya Kibiti yakiachiwa ku-replicate in other parts of the country eneo lote la EAC, Great Lakes na SADC litaharbikiwa kwa kasi Falcon X.

Ndio maana ulileta pua zako ktk mambo nyeti ya usalama wetu ni lazima tule sahani moja na wewe hata ukiwa nani.

Sent zangu 2.

You are entitled to your own opinion which would have made a lot of sense if yo kept quiet
 
Chris Msando alipatikana?, wewe kweli ni a person made in failed state.

Hamna tofauti saa hii ya Danganyika na Yugoslavia kijana. Yu are only bootlicking yet in reality things are really bad in that darkness called Danganyika
 
Hamna tofauti saa hii ya Danganyika na Yugoslavia kijana. Yu are only bootlicking yet in reality things are really bad in that darkness called Danganyika
Dunia nzima inathibitisha ukweli huu, wewe thibitisha unalosema. Hahahahaha.
 
Hamna tofauti saa hii ya Danganyika na Yugoslavia kijana. Yu are only bootlicking yet in reality things are really bad in that darkness called Danganyika

Who were convicted regarding the Musando death?
 
wwsingelichunguza mwili wake ungelipatikana kweli kule mwituni...gwanda mpka leo hajulikaniwi alipo..hta polisi bado hawajaweka juhudi za kumtafuta...

lissu tu kapigwa risasi katika maeneo ya serikali..lkn mpka sasa hamna lolote
 
Ahaaa haaa haaa
Wamebakiwa tu na AKILI ya KUVUKA BARABARA.

Hehehe. Is there anything out of the ordinary there?Aliyewaroga lazima ni mwarabu na alitupa ufungu indian ocean. Nowonder you are headless kabisa. So where is Azory Gwanda? Now that umetoa suruali ukafinikia kichwa ukaruka juu chini, the point was produce AZORY GWANDA
 
Hehehe. Is there anything out of the ordinary there?Aliyewaroga lazima ni mwarabu na alitupa ufungu indian ocean. Nowonder you are headless kabisa. So where is Azory Gwanda? Now that umetoa suruali ukafinikia kichwa ukaruka juu chini, the point was produce AZORY GWANDA

Ahaaa haaa haaa
If you show me just a single person who was convicted regarding the Musando death. Le me tell you, I'll never yap in here on issues of human rights.
 
Ahaaa haaa haaa
If you show me just a single person who was convicted regarding the Musando death. Le me tell you, I'll never yap in here on issues of human rights.
Ongezea na Aboud Rogo, Makaburi, Jacob JUMA, Mwenye magari ya "Coast Modern", viongozi na wanachama zaidi ya 300 wa MRC kule Mombasa. Tujue kama kuna jalada la upelezi hata moja lililofunguliwa
 
Ahaaa haaa haaa
If you show me just a single person who was convicted regarding the Musando death. Le me tell you, I'll never yap in here on issues of human rights.

Don't run away from the truth, Produce AZORY GWANDA and Saanane and many more. Unless you and your murdererous and callous Government is a butchermans Government.
 
Mkuu,

Naona vijana wanapenda sana kuingiza pua kwenye mambo muhimu sana ya usalama wa nchi.

Stability na Amani ya Tanzania haipatikani kwa kubinua pua, kuna watu wako kazini usiku na mchana kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa wote.

Kibiti(located jst few kms from Dar) ilikua tayari a hotbed ya terrorists tryn hard to destroy our nation peace, wajinga hawataki kukubali hilo.

Baada ya kushughulikiwa wakakimbilia nothern Mozambique ndio wakaanza kupewa attention eti kuwa ni terrorists waliotoka TZ.

Mashabiki wa hii habari ni wale walizoea kuishi ktk nchi zinazosumbuliwa na terrorists kila siku mpaka imekuwa ni oder of the day..

Our nation cultural and social fabric is very complex mambo Kama ya Kibiti yakiachiwa ku-replicate in other parts of the country eneo lote la EAC, Great Lakes na SADC litaharbikiwa kwa kasi Falcon X.

Ndio maana ulileta pua zako ktk mambo nyeti ya usalama wetu ni lazima tule sahani moja na wewe hata ukiwa nani.

Sent zangu 2.
Wakenya Hawa wapuuzi tu ndio maana mpaka vikosi vyetu vinaingia kwao na kuondoka na wash ukiwa wa ugaidi huku yenyewe yamekaa tu hayana mbele wala nyuma walijualo

Tanzania linapokuja kwenye suala la amani na usalama wa Nchi huwa haina masihara kabisa.
 
Kabla ya kuanza kuuliza habari za Azory Gwanda, ingependeza kwanza ungeuliza kuhusu walipo waandishi hawa: Joseph Masha (Standard Group); Dennis Otieno (Freelance); John Kituyi (Weekly Citizen); Francis Nyaruri (Weekly Citizen); Samuel Nduati (Royal Media House); William (Michael) Munuhe (Former Freelance Journalist); Hos Maina, Anthony Macharia (Both Kenyans), Don Eldon (Kenyan resident), na Hansi Krauss (German) wa Reuters and AP...
Akikujibu uni tag

Ova
 
Back
Top Bottom