Ni kweli member wengi wa zamani siwaoni.Tutafika tuLabda kabanwa na majukumu,
Au haoni Mada za kuchangia.
Jf nayo imefukuza members kwa Mada zisizoeleweka
[emoji252] [emoji479]
Kuna mwanamke asiemkubali mwanaume mwenye visenti?
Kwenye hili jamiiforum wanahusika kwanini wasingefuta uzi wake kipindi kile yani kwenye siasa wepesi sana kufuta
Nawaambieni jamiiforum wanahusika katika utapeli huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hawakufuta uzi?Hahaaaa naona mtaalam ushaanza kutafuta pakutupia kiroba chako cha lawama...
Watu walipewa maonyo ya kila aina... lakin hawakutaka kusikia, sahiv damu inawatoka masikioni... unaanza kupeleka lawama jamiiforum...
" do not outsource problem that belongs to your own backyard"
Saivi zile hadithi zake instagram anataka awavute watu awapige, time will tellKawapiga wazee wa mteremko!
Alafu si mlikuwa mnasemaga"jamaa ni very smart"
Tulieni tuli msubirini anafanya mpango Kuja kivingine
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga hawaishagi atawapata tu mkuu [emoji23]Saivi zile hadithi zake instagram anataka awavute watu awapige, time will tell
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliwafundisha akina CCNP Engineer kudownload mahelakwanza ontario alifanya tukio gani?
true mimi pia nilimuona nairobi (pack land)huyu jamaa nilishawahi onana naye kenya mwezi april
Mkuu uliumizwa nini?Kwenye hili jamiiforum wanahusika kwanini wasingefuta uzi wake kipindi kile yani kwenye siasa wepesi sana kufuta
Nawaambieni jamiiforum wanahusika katika utapeli huu
Sent using Jamii Forums mobile app