The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,147
Umeamua kujiulizia mwenyewe ili upime upepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhhh!!! Naona sasa kila acc itahisiwa in yeye!!! Kwa kweli kama kuna watu wamelizwa ametuponza!!! Hatuaminiki tena!!! Yaani MTU akianzisha Uzi wa mambo ya utafutaji pesa tayari ushakuwa SirjeffUmeamua kujiulizia mwenyewe ili upime upepo
Wa pale Jangid Plaza😛Hahahhhh!!! Naona sasa kila acc itahisiwa in yeye!!! Kwa kweli kama kuna watu wamelizwa ametuponza!!! Hatuaminiki tena!!! Yaani MTU akianzisha Uzi wa mambo ya utafutaji pesa tayari ushakuwa Sirjeff
Hahahaaaa yaani bwana mdogo wa 95' kawaangiza mkenge watu na mitumbo yao 😀😀😀😀.Kajamaa kadogo kadogo tu , kenye elimu LAKINI KAKALIZA MAJAMAA MABAUNSA YENYE MINDEVU NA MITUMBO MIKUBWA NA UMRI MKUBWA [emoji23][emoji23][emoji23]
Kaaaaaaaaaaazi kwelikweli..Mjini Shule mazeee
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Huyi mkuu.....akachekasana. naye kaja kutuletea slang tunitapelituakachekasana
Acha kabisa aiseeeHahahaaaa yaani bwana mdogo wa 95' kawaangiza mkenge watu na mitumbo yao 😀😀😀😀.
aiseeeeeeeh kila nikiliona hilo jina nacheka sanaHuyi mkuu.....akachekasana. naye kaja kutuletea slang tu
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Inabidi tucheke tu mkuuau
aiseeeeeeeh kila nikiliona hilo jina nacheka sana
Mkuu acha kunichekesha asee nimecheka balaa kajamaa kadogo kameliza mibaunsa[emoji16] [emoji16] [emoji16]Kajamaa kadogo kadogo tu , kenye elimu LAKINI KAKALIZA MAJAMAA MABAUNSA YENYE MINDEVU NA MITUMBO MIKUBWA NA UMRI MKUBWA [emoji23][emoji23][emoji23]
Kaaaaaaaaaaazi kwelikweli..Mjini Shule mazeee
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Walitepeliwa kivipi mkuu?Kwenye hili jamiiforum wanahusika kwanini wasingefuta uzi wake kipindi kile yani kwenye siasa wepesi sana kufuta
Nawaambieni jamiiforum wanahusika katika utapeli huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo nae Insta anatupa chakula cha ubongo daily cku izi ni Motivational speaker anaongeaga facts tuHabari waungwana!!! I hope wote mpo salama!!!
Ni muda sasa takribani miezi 10 member ONTARIO haonekani tens humu!!! Nimefuatilia nimegundua Last seen ni January 13 2018.
Mwenye kufahamu acc mpya atusaidie au aina nyingine ya mawasiliano maaana hata FB siku hizi haonekani kabisa!!
Kajamaa bado kana ushamba ndani yake..Huyo hapo Mkuu , vipi una lingine la kusema ???? View attachment 852598View attachment 852599View attachment 852600
Sent using Jamii Forums mobile app