Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
- Thread starter
-
- #81
hivi wee cupcake una ma cousin wangapi? maana YE cousin wako....kibabu mwanakijiji naye cousin wako, nanihino nae cousin wako....yaani usikute hata mimi kwa wengine huwa unaniita cousin....
hahahaha! ...wewe utakuwaje cozin wakati nipo nakutangaza hapa eeeh kuwa you are my cupcake/pumkin....
mwanakijiji ni real cuzin you know that cupcake lakini...YE ni cuzin from different mother..na huyu ni cuzin wa kweli kabisa mdogo wake na my cuzin mwenye ile shughuli inayokuja.
mweeee....hawa ma cuzin hawa...
Nilisoma Bangalore
hahahaha! ...wewe utakuwaje cozin wakati nipo nakutangaza hapa eeeh kuwa you are my cupcake/pumkin....
mwanakijiji ni real cuzin you know that cupcake lakini...YE ni cuzin from different mother..na huyu ni cuzin wa kweli kabisa mdogo wake na my cuzin mwenye ile shughuli inayokuja.
I think ni mji huo huo ndiyo upo karibu na ile mahaj hotel..?
am i missing something here,kumbe wengine mnajuana humu,me i thought tutakuja kujuana tukisha ikomboa tanzania wakati tunagawiana kazi in the motherland.anyway kama kujuana ruksa basi my heartfelt wish would be to know KELLY.
am i missing something here,kumbe wengine mnajuana humu,me i thought tutakuja kujuana tukisha ikomboa tanzania wakati tunagawiana kazi in the motherland.anyway kama kujuana ruksa basi my heartfelt wish would be to know KELLY.
wee cupcake, mahaj hotel ndo nini? Au ulitaka kusema taj mahal?
Wee cupcake, mahaj hotel ndo nini? Au ulitaka kusema Taj Mahal?
I think ni mji huo huo ndiyo upo karibu na ile mahaj hotel..?
Taj Mahal hotel ipo Mumbai,labda alisoma huko...Otherwise labda alisoma Agra ambako ndiko inapatikana mausoleum ya Taj Mahal
Taratibu unaanza, ooh namiss anavyotype, ooh he is so funny..before you know you have been swept off of your feet!
Mmmmh mie nipo tu "nyongo mkalia ini" wa Nyani Ngabu, nimejaa tele kama pishi la mchele....na-enjoy maisha, nafanya ile kitu waswahili wanasema, "ukitaka kula haramu basi kula tembo." Nadhani unanielewa......nikukandamiza tu kwa kwenda mbele, na sija-pull Mchambuzi wala Kadampinzani!! Nipo hapa hapa mpaka kieleweke na wasiopenda wakajinyonge! LOL...
Wananipakazia, mie sinywi "mbuksa"/mataputapu kama wanavyosema hao haterz....usisahau kumwanzishia NN thread ya kumpongeza kwa posts zake 8000 zilizojaa pumba na mwambie anyoe hiyo midevu kwani viwanda vya nyembe havijafungwa.
Hell no sijasema YNIM ana hela ila nasema tuu the waya navyoongea he sound like him pia i feel like anafanana na dave chapelle....Mimi nina cupcake wangu for better for worse kama ile movie (dang leo nimekuwa slow nasahau hata jina la movie)
Movie moja hivi mtu na demu wake walipendana hadi wamekuwa really old walikuwa nursing home...very nice movie i forgot its name gain...i dunno whats wrong with me leo nakuwa so slow kufikiria..
Hell no sijasema YNIM ana hela ila nasema tuu the waya navyoongea he sound like him pia i feel like anafanana na dave chapelle....Mimi nina cupcake wangu for better for worse kama ile movie (dang leo nimekuwa slow nasahau hata jina la movie)
Movie moja hivi mtu na demu wake walipendana hadi wamekuwa really old walikuwa nursing home...very nice movie i forgot its name gain...i dunno whats wrong with me leo nakuwa so slow kufikiria..
...Inaitwa THE NOTE BOOK