Where is YNIM?!

hivi wee cupcake una ma cousin wangapi? maana YE cousin wako....kibabu mwanakijiji naye cousin wako, nanihino nae cousin wako....yaani usikute hata mimi kwa wengine huwa unaniita cousin....

hahahaha! ...wewe utakuwaje cozin wakati nipo nakutangaza hapa eeeh kuwa you are my cupcake/pumkin....

mwanakijiji ni real cuzin you know that cupcake lakini...YE ni cuzin from different mother..na huyu ni cuzin wa kweli kabisa mdogo wake na my cuzin mwenye ile shughuli inayokuja.
 

mweeee....hawa ma cuzin hawa...
 

am i missing something here,kumbe wengine mnajuana humu,me i thought tutakuja kujuana tukisha ikomboa tanzania wakati tunagawiana kazi in the motherland.anyway kama kujuana ruksa basi my heartfelt wish would be to know KELLY.
 
am i missing something here,kumbe wengine mnajuana humu,me i thought tutakuja kujuana tukisha ikomboa tanzania wakati tunagawiana kazi in the motherland.anyway kama kujuana ruksa basi my heartfelt wish would be to know KELLY.

kwa nini unataka kumjua kelly?
 
am i missing something here,kumbe wengine mnajuana humu,me i thought tutakuja kujuana tukisha ikomboa tanzania wakati tunagawiana kazi in the motherland.anyway kama kujuana ruksa basi my heartfelt wish would be to know KELLY.


Me i have few cuzin's in here lakini siwajui watu wengi sana...and i am flattered to hear that you want to see me....but this is what i will tell you kabla hujanijua mimi you need to know my cupcake first!...and i think you know who cupcake is!...if not then do your research.
 
Last edited:
Wee cupcake, mahaj hotel ndo nini? Au ulitaka kusema Taj Mahal?

yeah cupcake hiyo hiyo Taj Mahal hotel iliyopigwa bomb juzi juzi hapa...nilikuwa najitahidi sana kukumbuka jina lake...thank you for correcting me...you are so sweet.
 
CUPCAKE or kikombecake,i just wish to know you,for i am flattered by your cool,calm and collected flow in this thread which leads me to think you are the same in really life and hence worth knowing
 
I think ni mji huo huo ndiyo upo karibu na ile mahaj hotel..?

Taj Mahal hotel ipo Mumbai,labda alisoma huko...Otherwise labda alisoma Agra ambako ndiko inapatikana mausoleum ya Taj Mahal
 
Taratibu unaanza, ooh namiss anavyotype, ooh he is so funny..before you know you have been swept off of your feet!
 
Taratibu unaanza, ooh namiss anavyotype, ooh he is so funny..before you know you have been swept off of your feet!

Man, that's what I'm scared of....

Kumbe na wewe umeona nilichokuwa nafikiria mimi. Huyu Cupcake naona anataka kunichezea akili yangu. Wee mwache tu aendekeze huu mchezo wa ku-flirt na huyu YNIM....
 

Oyaa dogo...naona umezinduka eeh....jana ulikunywa nini? Kangala...?..chibuku...? Komoni?...kimpumu?...au your all time favorite..gongo? lol..

Haya dogo ushindwe wewe tu sasa maana mi mwenzio nahisi nimeanza kupigwa chini kidogo kidogo maana haiwezekani eti Cupcake wangu ai-miss njemba ingine....kwa hiyo usilaze damu...changamkia totoz hiyo...
 
King of Mbuksa isa back and kicking, he had pass out like Uncle Big Head!
 

...Inaitwa THE NOTE BOOK
 

...Inaitwa THE NOTE BOOK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…