Where is YNIM?!

Where is YNIM?!

Mwambie cupcake wako anyoe hiyo midevu....mie inanikera sana, hivi na hiyo midevu akienda "uvinza" inakuwaje? I bet lazima itakuwa kero flani hivi na atahitaji toothpicks kutoa minywele ktkt ya meno....LOL
tehe tehe tehetehe
afu sasa ukute wanja la taifa halijafyekwa nyasi.....lazima atoke na rangi mbili mdomoni..hudhurungi na manjano
 
Haya nimekubali! Ushapata lunch lakini au ndio una "vusha" kiaina kwa kupitia JF!?

Mwambie cupcake wako anyoe hiyo midevu....mie inanikera sana, hivi na hiyo midevu akienda "uvinza" inakuwaje? I bet lazima itakuwa kero flani hivi na atahitaji toothpicks kutoa minywele ktkt ya meno....LOL

Namngojea cupcake yupo njiani kuja kunichukua twende lunch....hahaa unadhani sisi kama wewe tuna skip lunch?!...tupo fit we eat then go work out..

what is uvinza?...
 
tehe tehe tehetehe
afu sasa ukute wanja la taifa halijafyekwa nyasi.....lazima atoke na rangi mbili mdomoni..hudhurungi na manjano

omg!...ooh you again shortiii you are so grossy!...we are so clean jamani hebu leave us alone...

Inabidi umtafute cuzin wangu mwanakijiji akufundishe how to write mashairi ili upate demu kumbe upo too short ndiyo maana inakuwia taabu sana kupata demu hahahahah!....
 
Hahahahaha inapendeza kuona una misimamo imara namna huyo....maana mwingine hapo ange-end kuwa anorexic!!!

Umeona demu wa Tony Romo yule Jennifer alivyonenepa.....utafikiri mama mwenye mitoto minne!?

Yeah i saw jennifer na anapata bad publicity na unene wake wanamcheka sana..yule sasa hivi utakuja kusikia ame loose 10 pounds...

saa nyingine women lack confidence ukimwambia tuu this basi weeh atachanganyikiwa....me never!...you kno wi dont buy bullshit....i am sturbon like that..but not to my cupcake.
 
omg!...ooh you again shortiii you are so grossy!...we are so clean jamani hebu leave us alone...

Inabidi umtafute cuzin wangu mwanakijiji akufundishe how to write mashairi ili upate demu kumbe upo too short ndiyo maana inakuwia taabu sana kupata demu hahahahah!....
pesa inaongea na urefu wangu huu huu.....cuzin wako longo longo nyingi la muje de vida Isidingo kibao.......totozi za sasa mfuko utune.....
 
Yeah i saw jennifer na anapata bad publicity na unene wake wanamcheka sana..yule sasa hivi utakuja kusikia ame loose 10 pounds...

saa nyingine women lack confidence ukimwambia tuu this basi weeh atachanganyikiwa....me never!...you kno wi dont buy bullshit....i am sturbon like that..but not to my cupcake.
una kg ngapi?....sio lbs siyajui hayo.....
 
pesa inaongea na urefu wangu huu huu.....cuzin wako longo longo nyingi la muje de vida Isidingo kibao.......totozi za sasa mfuko utune.....

hahaha umenikumbusha isidingo na La Muje!....lakini uongo mbaya na longo longo za cuzin lakini bado anapata mademu wa nguvu kinnomaa..watoto wanalainika na hayo mashairi yake hahahaha!....sasa wewe YOYO mbona nasikia una uefu wa benjamin mkapa...au naye unamuona mrefu hivi kweli pale alipo?
 
Hahahahaha inapendeza kuona una misimamo imara namna huyo....maana mwingine hapo ange-end kuwa anorexic!!!

Umeona demu wa Tony Romo yule Jennifer alivyonenepa.....utafikiri mama mwenye mitoto minne!?

Mpwa hope wamzungumzia Jessica Simpson demu wa TR...Demu kaharibika mno kwa unene wake..kapoteza mvuto kiaina
 
Hahahaha nimeona hata mimi wanavyomchambua.....kuna story inasema amejiachia ili apate **** kama mademu wa kinugu au kispanish! Lakini yeye mpaka tumbo na minyama uzembe kila mahali! Cupcake wako lakini anazimia mizigo saizi ya Zena, ndio maana na wasiwasi na mustakabala wa mahusiano yenu hahahaha....una uhakika kuwa kafika!?

mmh unless unamfananisha cupcake na mtu mwingine hell to the no cupcake hahusudishi akina Zena type...mimi na cupcake ni kama brad and Angelina hahahaha!...upo mpaka hapo au?!...

hahaha so yeye alitegemea akinenepa atapata badunka dunk?...si ende tuu akafanye surgery siku hizi mbona kuna surgery za kongeza junk in a trank..ziko za aina zote akitaka brazialian,african,spanish you name it....
 
Mpwa hope wamzungumzia Jessica Simpson demu wa TR...Demu kaharibika mno kwa unene wake..kapoteza mvuto kiaina

Hivi yule naye uliona ana mvuto?basi wewe inaelekea hata britney utasema anamvuto pia uuugh!....sikapendi kale kademu kusema kweli sijui kwa nini wakakipa publicity ya nguvu hivyo...
 
basi hulipi.....mie nataka wezere lenyewe tu liwe 40kgs.........inaonekana umnepigwa pasi...

Hahahaaaaa....lol...wezere a.k.a bambataa a.k.a wowowo a.k.a kilogramu ni muhimu mnoooo...Hapa tupo pamoja mwanawani
 
Haha, duh nyie kiboko lol wewe Kelly huyo cupcake wako ameshakufundisha kusonga ugali? alafu kabila ya cupcake wako lazima wewe utakuwa mweupe ama ushatumia mkorogo maana watani wangu hawa kama demu sio mweupe basi sio mzuri.

Taken, nakwenda kuiangalia ijumaa, hivi hii The International itakuwa nzuri?
 
Haha, duh nyie kiboko lol wewe Kelly huyo cupcake wako ameshakufundisha kusonga ugali? alafu kabila ya cupcake wako lazima wewe utakuwa mweupe ama ushatumia mkorogo maana watani wangu hawa kama demu sio mweupe basi sio mzuri.

Taken, nakwenda kuiangalia ijumaa, hivi hii The International itakuwa nzuri?

Ebana umesikia soo ya Porsche Foxx babu? Yule mlimbwende noma...yaani jana nimemwona kwenye TV anaonekana very crackish....
 
Haha, duh nyie kiboko lol wewe Kelly huyo cupcake wako ameshakufundisha kusonga ugali? alafu kabila ya cupcake wako lazima wewe utakuwa mweupe ama ushatumia mkorogo maana watani wangu hawa kama demu sio mweupe basi sio mzuri.

Taken, nakwenda kuiangalia ijumaa, hivi hii The International itakuwa nzuri?

The international inaonekana itakuwa funika bovu maana nimesoma kastori kake kidogo yaonekana itakuwa moto mazee...halafu mzee mzima Clive Owen ndani ya nyumba..stori inavutia
 
Ebana umesikia soo ya Porsche Foxx babu? Yule mlimbwende noma...yaani jana nimemwona kwenye TV anaonekana very crackish....

Elle Duncan si ndio anachukua nafasi yake? Reggie Rouse kaamua kumtosa Porsche sijui alifanya nini.
 
Namwona Cuzn Da 5'2 aka Mwanakijiji.....

nimeanza kusoma post zote nilipofika kwenye kunywa mikojo ikabidi niruke maana hapa nina tumbawa twakuku natunyofoa nyofoa... so you guys almost cost me my lunch.!

Hivyo vingine mnavyonyweshana mzungumziage pembeni maana wengine na udugu hapa tunaweza kujikuta tunamcharaza mtu kiboko (kwa niaba ya wazee...)

carry on..
 
Back
Top Bottom