Where is YNIM?!

Elle Duncan si ndio anachukua nafasi yake? Reggie Rouse kaamua kumtosa Porsche sijui alifanya nini.

Nooo ana soo jingine...ni "person of interest" ktk arson Union City.....hii imetokea juzi j'tatu
 

Hizo ni kasumba za zamani za kabila la cupcake kuwa na mwanamke mweupe ndiy deal isitoshe miye siyo mweupe na wala mkorogo siuthudishi kabisa...of course najua kupika ugali though cupkace mwenyewe hapendi kula ugali so it works for me.....
 


Usikonde cuzin!....
 
Hahahaaaaa....lol...wezere a.k.a bambataa a.k.a wowowo a.k.a kilogramu ni muhimu mnoooo...Hapa tupo pamoja mwanawani
ndo manake.....mtoto lazima nyume kutune aisee.....sasa huyu na 48kgs nyuma flaaat wanawezana na cupcake wake.....
 
ndo manake.....mtoto lazima nyume kutune aisee.....sasa huyu na 48kgs nyuma flaaat wanawezana na cupcake wake.....

Duh! yaani umetutusi vibaya sana....nani kakwambia 48lbs with no shape?...hii ni tunaita portable shape easy to carry...body like halle berry(then),height like Beyonce knowles and complexion like alicia keys..lips like angeline jolie...and badunk dunk like Kim kadashian...
 
kaka(ngoja leo nikuiten kaka naona uko kwenye mood nzuri) YNIM hizi habari za kwamba unakunywa chang'aa kama kweli aisee punguza onea huruma hekalu la bwana.......
 


hahahaa preach bother preach!....hahhahaha duuh umeandikiwa nini hii speech at least umeandika kitu kidogo i can understand
 
Hizo ni kasumba za zamani za kabila la cupcake kuwa na mwanamke mweupe ndiy deal isitoshe miye siyo mweupe na wala mkorogo siuthudishi kabisa...of course najua kupika ugali though cupkace mwenyewe hapendi kula ugali so it works for me.....

Haha, eh(na lafudhi ya kisukuma), huyu wako ameshakuwa bitozi ukiona hivyo....

so na wewe ni mambo ya face like Halle body like JLo and hot like Tamale?
 


yeah i am so serious huwa sikuelewi unaandika nini wala sikutanii kabisa...
 
Haha, eh(na lafudhi ya kisukuma), huyu wako ameshakuwa bitozi ukiona hivyo....

so na wewe ni mambo ya face like Halle body like JLo and hot like Tamale?


No bado hajawa bitoz maana bado ana mila na destori za kwako...ila tuu hapendi kula ugali toka utotoni...
 
Kuna watu walikuwa wananibishia jana tena mmojawapo NN,Yo yo na balantata i think kuwa urine siyo dawa...ok i found this article today from WASHINGTON: A study has identified a hormone from human urine, a xanthurenic-acid derivative, which might help safely flush sodium out of the body and could be harnessed to develop more effective and safer treatments for high blood pressure, or hypertension...

so if you happen to have blood pressure or hypertension drink ur own urine utakusaidia sana tuu...
 

arooooo...kwa hiyo leo nimekuwa NN? sio cupcake tena..?
 
Yuko wapi YournameisMINE???????,kapotea sana huyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…