Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

TISS? Labda kama ni abbreviation ya kitu kingine lakin TISS yetu hapana, wanajulikana mtaani kama walivyo polis.
 
Ahsanteni kwa michango, maoni, mapendekezo, ushauri, maswali na nyongeza.
 
Ni suala ambalo nimekuwa nikijiuliza sana, nimejaribu ku-google lakini sijafanikiwa kupata chochote kulingana na swali linavyouliza hapo juu. Sana sana nilichokutana nacho ni Most Powerful Intelligence Agencies In The World na ule uzi uliopachikwa humu humu uhusuo top ten intelligence agencies of the world.

Nisaidie mdau, ninatamani kufahamu sana nikiwa ni mmoja wa waafrika lakini zaidi Mtanzania Mzalendo Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies? au kama kwa hilo litashindikana kabisa kupatikana basi hata ka-top ten intelligence agencies in Africa.

Natanguliza Shukrani.
Unyamela_ni ushilawadu kama ulivyo ushilawadu wowote ule

Na sifa yake kuu ni Usiri

Ila sasa sijajua akili yako inakutumaje kuhisi_ 'mtu anataka taarifa za siri kutoka kwako na bado akataka wewe anayekuwinda umjue'.

Huoni kwamba kujihadhari kutachukua nafasi kwa mlengwa yeyote yule.!?

Hii ni akili ya mbayuwayu niliyochanganya na yangu kabla sijagugo kama wewe

Na nani aliyekuambia mambo ya intelijensia ya unyemela ni ya kiuchumi.!?

kwamba ni vivutio vya nchi ambavyo vikitangazwa vinavutia wawekezaji ili nchi ifaidike navyo au ipate kiki.!
 
Hapo hujakosea, NSIS ya Kenya imedhihirisha kuwa bora zaidi. Inafaa ifahamike
- Hakuna shambulizi limetendeka bila wao kutoa tahadhari, ni vile hawaruhusiwi ku-engage
- Polisi ndio wamekua wakizembea
- Hakuna nchi Afrika yote iliyokumbwa na changamoto tulizo nazo, mkoa mzima wa Wasomali na wengi wakiwemo mjini na hata kwenye madaraka serikalini, na wanafahamika wengi kuwa na mlengo wa Ki-Alshabaab.
TISS hawajakumbana na chochote maana Watanzania wengi kuanzia mwanzo walishalainishwa na mwalimu na kukaa kiuzalendo. Nchi yote ya Bongo haina sehemu kame, hivyo watu wake wapo na shibe siku zote, na ndio unaona siku zote wanaimba CCM.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
aisee huwa nikipitia maandiko yako kana kwamba unauhasama na sisi
 
Baadhi ya watu wanawalaumu TISS kwa sababu ya kutumiwa na wanasiasa kuwaweka madarakani CCM lakini nakuhakikishia kuwa TISS ni best ktk AFRIKA tUlipata changamoto nyingi sana ambazo ziliijenga TISS kuwa bora na ya kimataifa,changamoto hizo zilikuwa wakati wa ukombozi wa bara la afrika kiasi kwamba kamati ya ukombozi ilikua na mwenyekiti wakudumu Mtanzania BRIGEDIA Hashim Mbita.
Unaongelea ya kale, ongelea kwa nyakat hizi
 
Hapo hujakosea, NSIS ya Kenya imedhihirisha kuwa bora zaidi. Inafaa ifahamike
- Hakuna shambulizi limetendeka bila wao kutoa tahadhari, ni vile hawaruhusiwi ku-engage
- Polisi ndio wamekua wakizembea
- Hakuna nchi Afrika yote iliyokumbwa na changamoto tulizo nazo, mkoa mzima wa Wasomali na wengi wakiwemo mjini na hata kwenye madaraka serikalini, na wanafahamika wengi kuwa na mlengo wa Ki-Alshabaab.
TISS hawajakumbana na chochote maana Watanzania wengi kuanzia mwanzo walishalainishwa na mwalimu na kukaa kiuzalendo. Nchi yote ya Bongo haina sehemu kame, hivyo watu wake wapo na shibe siku zote, na ndio unaona siku zote wanaimba CCM.
hahaa daah kazi sana
 
TISS iko vizuri sana. TISS iliweza kwenda sambamba na BOSS shirika la kijasusi la Arika Kusini ya kikaburu na kulishinda

Mandela alivyoshika madaraka tulitaniana kuwa jana tulikuwa maadui leo tumekuwa marafiki
Labda kama ni ya kipindi hicho lakini sio hii ya pombe
 
Hapo hujakosea, NSIS ya Kenya imedhihirisha kuwa bora zaidi. Inafaa ifahamike
- Hakuna shambulizi limetendeka bila wao kutoa tahadhari, ni vile hawaruhusiwi ku-engage
- Polisi ndio wamekua wakizembea
- Hakuna nchi Afrika yote iliyokumbwa na changamoto tulizo nazo, mkoa mzima wa Wasomali na wengi wakiwemo mjini na hata kwenye madaraka serikalini, na wanafahamika wengi kuwa na mlengo wa Ki-Alshabaab.
TISS hawajakumbana na chochote maana Watanzania wengi kuanzia mwanzo walishalainishwa na mwalimu na kukaa kiuzalendo. Nchi yote ya Bongo haina sehemu kame, hivyo watu wake wapo na shibe siku zote, na ndio unaona siku zote wanaimba CCM.

[emoji23][emoji57][emoji23][emoji23] wejamaa nifala
 
Nchi ni KUSADIKIKA, maana huwezi kupata verified info beyond reasonable doubt juu ya majibu yatakayotolewa katika hili.
 
How can we measure Inteligence Agency??? Labda tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom