Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

Kuuliza TISS ni sawa na mtoto kumuuliza baba mdogo wake amekujaje duniani...tegemea jibu lolote
 
Hapo hujakosea, NSIS ya Kenya imedhihirisha kuwa bora zaidi. Inafaa ifahamike
- Hakuna shambulizi limetendeka bila wao kutoa tahadhari, ni vile hawaruhusiwi ku-engage
- Polisi ndio wamekua wakizembea
- Hakuna nchi Afrika yote iliyokumbwa na changamoto tulizo nazo, mkoa mzima wa Wasomali na wengi wakiwemo mjini na hata kwenye madaraka serikalini, na wanafahamika wengi kuwa na mlengo wa Ki-Alshabaab.
TISS hawajakumbana na chochote maana Watanzania wengi kuanzia mwanzo walishalainishwa na mwalimu na kukaa kiuzalendo. Nchi yote ya Bongo haina sehemu kame, hivyo watu wake wapo na shibe siku zote, na ndio unaona siku zote wanaimba CCM.

Hapo kwenye mstari... nadhani hujui usemalo au wajifanya unajua usilolijua.... ni afadhali ukae kimya tu.
 
Ni suala ambalo nimekuwa nikijiuliza sana, nimejaribu ku-google lakini sijafanikiwa kupata chochote kulingana na swali linavyouliza hapo juu. Sana sana nilichokutana nacho ni Most Powerful Intelligence Agencies In The World na ule uzi uliopachikwa humu humu uhusuo top ten intelligence agencies of the world.

Nisaidie mdau, ninatamani kufahamu sana nikiwa ni mmoja wa waafrika lakini zaidi Mtanzania Mzalendo Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies? au kama kwa hilo litashindikana kabisa kupatikana basi hata ka-top ten intelligence agencies in Africa.

Natanguliza Shukrani.

Katika UKANDA wa Afrika Mashariki na Kati, the best ni TISS. Ukitaka kujua ukweli tafuta watu wa nchi hizo hasa viongozi wakuu wa nchi then waulize. Watakwambia ni TISS na sababu wanazijua wao. Nabii hakubaliki nyumbani kwake.... tafakari. Kwa Afrika nzima, ubora wa taasisi za usalama umekuwa "ranked" na wanaojua , kama ifuatavyo:

1. EGYPT - The General Intelligence Directorate (GID), Arabic: جهاز المخابرات العامة‎ / Gihaz al-Mukhabarat al-Amma), often called theMukhabarat (Arabic: المخابرات‎ / al-Mukhabarat).
2. MOROCCO - Directorate of Territorial Surveillance (DST).
3. TANZANIA - Tanzania Intelligence and Security Service (TISS).
4. SOUTH AFRICA - National Intelligence Agency (NIA).
5. NIGERIA - State Security Service (SSS).
6. SUDAN - National Intelligence and Security Service (
Jihaaz Al Amn Al Watani Wal Mukhaabaraat).
7. Ethiopia - National Intelligence and Security Service (NISS).
8. ALGERIA - Department of Intelligence and Security (DIS).
9. KENYA - National Intelligence Service (NIS).
10. ANGOLA - National Intelligence Service.
 
Katika UKANDA wa Afrika Mashariki na Kati, the best ni TISS. Ukitaka kujua ukweli tafuta watu wa nchi hizo hasa viongozi wakuu wa nchi then waulize. Watakwambia ni TISS na sababu wanazijua wao. Nabii hakubaliki nyumbani kwake.... tafakari. Kwa Afrika nzima, ubora wa taasisi za usalama umekuwa "ranked" na wanaojua , kama ifuatavyo:

1. EGYPT - The General Intelligence Directorate (GID), Arabic: جهاز المخابرات العامة‎ / Gihaz al-Mukhabarat al-Amma), often called theMukhabarat (Arabic: المخابرات‎ / al-Mukhabarat).
2. MOROCCO - Directorate of Territorial Surveillance (DST).
3. TANZANIA - Tanzania Intelligence and Security Service (TISS).
4. SOUTH AFRICA - National Intelligence Agency (NIA).
5. NIGERIA - State Security Service (SSS).
6. SUDAN - National Intelligence and Security Service (
Jihaaz Al Amn Al Watani Wal Mukhaabaraat).
7. Ethiopia - National Intelligence and Security Service (NISS).
8. ALGERIA - Department of Intelligence and Security (DIS).
9. KENYA - National Intelligence Service (NIS).
10. ANGOLA - National Intelligence Service.

your source please??
 
Katika UKANDA wa Afrika Mashariki na Kati, the best ni TISS. Ukitaka kujua ukweli tafuta watu wa nchi hizo hasa viongozi wakuu wa nchi then waulize. Watakwambia ni TISS na sababu wanazijua wao. Nabii hakubaliki nyumbani kwake.... tafakari. Kwa Afrika nzima, ubora wa taasisi za usalama umekuwa "ranked" na wanaojua , kama ifuatavyo:

1. EGYPT - The General Intelligence Directorate (GID), Arabic: جهاز المخابرات العامة‎ / Gihaz al-Mukhabarat al-Amma), often called theMukhabarat (Arabic: المخابرات‎ / al-Mukhabarat).
2. MOROCCO - Directorate of Territorial Surveillance (DST).
3. TANZANIA - Tanzania Intelligence and Security Service (TISS).
4. SOUTH AFRICA - National Intelligence Agency (NIA).
5. NIGERIA - State Security Service (SSS).
6. SUDAN - National Intelligence and Security Service (
Jihaaz Al Amn Al Watani Wal Mukhaabaraat).
7. Ethiopia - National Intelligence and Security Service (NISS).
8. ALGERIA - Department of Intelligence and Security (DIS).
9. KENYA - National Intelligence Service (NIS).
10. ANGOLA - National Intelligence Service.

NEVIOT naomba source nijiridhishe.
 
...kisosi plz au tiss mmoja athibitishe haya mambo...
 
Hapo hujakosea, NSIS ya Kenya imedhihirisha kuwa bora zaidi. Inafaa ifahamike
- Hakuna shambulizi limetendeka bila wao kutoa tahadhari, ni vile hawaruhusiwi ku-engage
- Polisi ndio wamekua wakizembea
- Hakuna nchi Afrika yote iliyokumbwa na changamoto tulizo nazo, mkoa mzima wa Wasomali na wengi wakiwemo mjini na hata kwenye madaraka serikalini, na wanafahamika wengi kuwa na mlengo wa Ki-Alshabaab.
TISS hawajakumbana na chochote maana Watanzania wengi kuanzia mwanzo walishalainishwa na mwalimu na kukaa kiuzalendo. Nchi yote ya Bongo haina sehemu kame, hivyo watu wake wapo na shibe siku zote, na ndio unaona siku zote wanaimba CCM.

Kamuulize Idd Amin akuambie kilichomkuta. Mfuate huko huko kaburini maana naona huelewi mambo ya TZ.
 
Back
Top Bottom