Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

hapana mkuu silifahamu hilo,ila ufanyaji kazi wake unakuwaje wazawa hawamchukii mtanzania mwenzetu huyo?
Nalog off

Ni kama consultant,nia ni kutengeneza nidhamu na chain of command.

Mkuu unajua kwa nn Adadi kapelekwa Harare?Yu wapi Tsavangirai?
Unajua kwa nn Kagame kakataa yule balozi?lakini soon tutasikia tu side effects.

Hawa jamaa wa TISS ni wabaya sana kaka..sinema ya Chadema imeanza taratiiibu kama alivyobashiri Tyson
 
Hapo hujakosea, NSIS ya Kenya imedhihirisha kuwa bora zaidi. Inafaa ifahamike
- Hakuna shambulizi limetendeka bila wao kutoa tahadhari, ni vile hawaruhusiwi ku-engage
- Polisi ndio wamekua wakizembea
- Hakuna nchi Afrika yote iliyokumbwa na changamoto tulizo nazo, mkoa mzima wa Wasomali na wengi wakiwemo mjini na hata kwenye madaraka serikalini, na wanafahamika wengi kuwa na mlengo wa Ki-Alshabaab.
TISS hawajakumbana na chochote maana Watanzania wengi kuanzia mwanzo walishalainishwa na mwalimu na kukaa kiuzalendo. Nchi yote ya Bongo haina sehemu kame, hivyo watu wake wapo na shibe siku zote, na ndio unaona siku zote wanaimba CCM.

well said,big up
 
Wengi wanasema TISS ndo bora kwa upande wngu naona wanavutia kwao tu..hebu ni ulize ni changamoto gani ambazo hyoTISS wamezipitia. Nijuavyo mm mara nyingi changamoto nyng huwanzia ndani na kusambaa nje na hii ni baada ya w2 kujielewa waki demand haki zao/masirahi yao au kupinga jambo fulani. Kwa wa tz cc ambao ni ma.mbu.mbu zaid ya 60% kama IQ yng
 
challanges you face

Well, unless these challenges are common and their extents are measurable then you can have a gauge.............what appears to be "terrorism" in Kenya as of now, they are just day to day "situations" in Gaza belt.......so it is an open debate if not a puzzle

One agency can deal with the "terrorism" by diluting the mission by infiltrating and arresting by both overt and covert ops. simply because they can engage directly depending on the situation because the "law" mandates them to do so.......while the other is not allowed to engage.......so how do you compare the two regarding their capacities!!!!?????

Kuna counter intel. issues pia ambazo raia wa kawaida hawezi ona bayana na hata wahusika sio wote wanapewa A-Z kuhusu nini kinafanyika say unaambiwa endesha mpaka Moro atakuja mtu achuke hili gari we liache sehemu X then panda basi nenda Arusha utaelekezwa huko ........kwa mfano lakini alilofanya huyu wala hajui hapo Moro gari itaelekea wapi so nchi kama nchi inaweza kuwa na challenges nyingi ambazo raia hawazijui na kukawa na amani lakini ukweli ni kuwa kuna watu hawalali sababu wengine waishi kwa amani.......na siyo changamoto zote zinawekwa wazi kwa hiyo ukisubiri kupima uwezo kwa kigezo hiki basi utaweza tu kuwa na uwezo wa zile agencies ambazo zimewahi kukutana na changamoto husika .......................na je hizo changamoto zinawekwa wazi kiasi gani???????
Njia za utatuzi zinawekwa wazi kiasi gani??????

Kitachoonekana ni matokeo tu lakini nini kimesababisha matokeo hayo si rahisi kujulikana na hiyo ndiyo intelligence !!!!!!! Ikifikia mapaka hapa watu wajue kuwa changamoto ya nchi X walitumia YEDS kuitatua basi hapo hakuna kitu tena
 
Wengi wanasema TISS ndo bora kwa upande wngu naona wanavutia kwao tu..hebu ni ulize ni changamoto gani ambazo hyoTISS wamezipitia. Nijuavyo mm mara nyingi changamoto nyng huwanzia ndani na kusambaa nje na hii ni baada ya w2 kujielewa waki demand haki zao/masirahi yao au kupinga jambo fulani. Kwa wa tz cc ambao ni ma.mbu.mbu zaid ya 60% kama IQ yng

Kwa uelewa wako huu ni bora kuwa na mwanamke atapiga kelele wakati wa hatari kuliko wewe unayesubiri changamoto za ndani tu!!!!!

Hizo changamoto unazoongelea wewe hazimo hata katika "kazi" inayoweza kupima nguvu ya Agency ...........field officers tu wanatosha kuzima hayo sababu chain ipo sawa na taarifa zinafika .................


Weka hoja acha dhana za jikoni.........au stori za kisimani
 
Ni kama consultant,nia ni kutengeneza nidhamu na chain of command.

Mkuu unajua kwa nn Adadi kapelekwa Harare?Yu wapi Tsavangirai?
Unajua kwa nn Kagame kakataa yule balozi?lakini soon tutasikia tu side effects.

Hawa jamaa wa TISS ni wabaya sana kaka..sinema ya Chadema imeanza taratiiibu kama alivyobashiri Tyson
kumbe tuko vizuri kaka.
Nalog off
 
Cha kufurahisha kila sehemu unayoijua wewe wana mtu wao
kumbe hata hawa wanamuziki wa bongo flavor wako pia? nafikiri huyo ney wa mitego ni mmoja wao maana mara kashika bunduki mara sijui nini,huku kuna mwanamuziki mmoja wa kuitwa Azagaia kaamua kuacha muziki baada ya kutonywa kuwa mwanamuziki ambaye yuko naye beneti kwenye maswala ya kuvuta bangi ni mfanyakazi wa SISE na ndiye anayempoteza kwenye umaarufu wake.
Nalog off
 
kumbe hata hawa wanamuziki wa bongo flavor wako pia? nafikiri huyo ney wa mitego ni mmoja wao maana mara kashika bunduki mara sijui nini,huku kuna mwanamuziki mmoja wa kuitwa Azagaia kaamua kuacha muziki baada ya kutonywa kuwa mwanamuziki ambaye yuko naye beneti kwenye maswala ya kuvuta bangi ni mfanyakazi wa SISE na ndiye anayempoteza kwenye umaarufu wake.
Nalog off

Mkuu usipime.ndio maana Ikulu ni kama sebuleni.Tena section yao inafanya kazi nzuri sana ya kupooza nchi kwa matamasha na zinduzi mbalimbali.
 
Wewe naona unafikiria kuigiza Bongo Movies. Unafikiri USA walkuwa na akiri ndogo kuondoa security system yenu na kupandikiza Ma-CIA kwenye ujio wa Obama, hilo nafikiri hata sirikali yenu inalitambua.

Sasa ujiulize "Ni kwann yanapotokea majanga kama mf; mlipuko wa grenade pale kanisan-Arusha-Agizo la Wazir ni kuleta majasus kutoka Israel. Why?

TISS wao ni wataalam wa kutoa kucha na kupiga robber wa2mishi wa umma.

Ni hayo kama ulikuwa haujui bst.
 
Josêph M Mike;9952704 said:
Wewe naona unafikiria kuigiza Bongo Movies. Unafikiri USA walkuwa na akiri ndogo kuondoa security system yenu na kupandikiza Ma-CIA kwenye ujio wa Obama, hilo nafikiri hata sirikali yenu inalitambua.

Sasa ujiulize "Ni kwann yanapotokea majanga kama mf; mlipuko wa grenade pale kanisan-Arusha-Agizo la Wazir ni kuleta majasus kutoka Israel. Why?

TISS wao ni wataalam wa kutoa kucha na kupiga robber wa2mishi wa umma.

Ni hayo kama ulikuwa haujui bst.

Unavyoona walikuja na nguvu ya kipelelezi au nguvu ya kuweza kuzima tukio lolote na ku evacuate ????!!!
Ukija kujua kuwa hiyo unayoongelea ni nguvu ya kijeshi zaid utakana???!!!!

Utaalamu wa mabomu uko vikosi gani haswa???!!!! Hivi Israel-Gaza kwa wiki kuna milipuko mingapi???!!!
Hili nalo unalaumu? ??!!!!
 
Back
Top Bottom