Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

TISS imeundwa miaka ya karibuni na kwa sheria tofauti na kipindi hicho ikiwa ni idara ya siri tu.
Idara ya usalama wa taifa kabla ya hii TISS ya sasa iliyong'olewa meno kisheria inahistoria nzito kuliko intelligency yoyote Africa......Bado naamini ni intelligency agency bora kabisa ila matatizo mengi yanayotokea sasa na kuishia kuwalaumu wao inachangiwa na sheria yao ya sasa kuwapoka madaraka mengi na kuwapa Polisi ambako kumejaa rushwa na USIRI mdogo.
 
Nenda mabwepande mkuu!

Ila kama TISS ni Tanzania Intelligence and Security Service, basi makao makuu yatakuwa mikononi mwa JK, na JK anaishi wapi? Magogoni! Hivyo makao makuu ya TISS ni wapi? Dar es salaam kwa sababu reporting line ndiyo hapo commanding line ilipo!

Makao makuu ya TISS hayapo ikulu magogoni mkuu bali baadhi ya wafanyakazi wa TISS wanafanyia kazi zao pale Ikulu. Kama upo serious wataka kujua yalipo ni pm nitakuelekeza kwani si vizuri kumwaga kila kitu hadharani kwa maslahi ya taifa letu tukuka Tanzania.
 
Hapo hujakosea, NSIS ya Kenya imedhihirisha kuwa bora zaidi. Inafaa ifahamike
- Hakuna shambulizi limetendeka bila wao kutoa tahadhari, ni vile hawaruhusiwi ku-engage
- Polisi ndio wamekua wakizembea
- Hakuna nchi Afrika yote iliyokumbwa na changamoto tulizo nazo, mkoa mzima wa Wasomali na wengi wakiwemo mjini na hata kwenye madaraka serikalini, na wanafahamika wengi kuwa na mlengo wa Ki-Alshabaab.
TISS hawajakumbana na chochote maana Watanzania wengi kuanzia mwanzo walishalainishwa na mwalimu na kukaa kiuzalendo. Nchi yote ya Bongo haina sehemu kame, hivyo watu wake wapo na shibe siku zote, na ndio unaona siku zote wanaimba CCM.

Sasa unavosema hakuna nchi iliyopitia changamoto kama kenya na kwamba TISS yetu haijakumbana na chochote dont u see that in other words ur tryin to tel us dat TISS is much better than NSIS?? Kwasababu ipo very active kutekeleza majukumu yake ndo mana twaweza thubutu kusema Tanzania ts safer than Kenya siyo kwamba na sisi hizo changamoto hatuzipati hapana tunazipata ila vijana wa TISS wapo very proactive na siyo reactive kama nyie.
 
Ethiopian Intelligence Agency nfo bora kuliko wote. Alshabab hawathubutu kiwachezea Waethiopia.

Kwani ni nchi gani tena ukiacha kenya na somalia imechezewa na alshabab so kipimo chako ni alshabab tuu.
 
Hapo hujakosea, NSIS ya Kenya imedhihirisha kuwa bora zaidi. Inafaa ifahamike
- Hakuna shambulizi limetendeka bila wao kutoa tahadhari, ni vile hawaruhusiwi ku-engage
- Polisi ndio wamekua wakizembea
- Hakuna nchi Afrika yote iliyokumbwa na changamoto tulizo nazo, mkoa mzima wa Wasomali na wengi wakiwemo mjini na hata kwenye madaraka serikalini, na wanafahamika wengi kuwa na mlengo wa Ki-Alshabaab.
TISS hawajakumbana na chochote maana Watanzania wengi kuanzia mwanzo walishalainishwa na mwalimu na kukaa kiuzalendo. Nchi yote ya Bongo haina sehemu kame, hivyo watu wake wapo na shibe siku zote, na ndio unaona siku zote wanaimba CCM.

Kama kawaida yenu daharau kwa wa TZ
 
Siwezi kusema kuwa wapo chini yetu kwa kua ile ni nchi huru,lakini kila kitu ni kutoka TZ.Unafahamu kuwa mkuu wa walinzi wa kabila ni mtanzania?

hapana mkuu silifahamu hilo,ila ufanyaji kazi wake unakuwaje wazawa hawamchukii mtanzania mwenzetu huyo?
Nalog off
 
Back
Top Bottom