Which country has best intelligency agency

Which country has best intelligency agency

spy wa kike
imagesCABRQNFE.jpg
 
Hakuna kitu kama KGB siku hizi. So unashindanisha CIA, MOSSAD na MI6. Unashindanisha Pan, Yanga na Simba. All the best.

We nawe mtu kashakwambia habari za "intelligency agency" unategemea nini?
 
We nawe mtu kashakwambia habari za "intelligency agency" unategemea nini?

Jana: We Kiranga...mi sijakusoma sawasawa hapo! Kwani Intelligence agency ni nini, na hayo mashirika ya kina KGB, CIA, MOSSAD na MI6 ni nini. Au na wewe hujanisoma?

Leo: Aah. Basi. Nimekupata...penye red!!!!
 
mossad, cia then mi6.., huwezi kuwa-rank isi kama namba moja, hizo data tulishawaambia kwny ile thread ya kule kwamba inategemea research yao hao waandaa data ilikua na lengo gani, lakn kwa facts.., isi haiwezi kuwa namba moja..,

Intel failure ya kujua osama alikua kwao hadi cia wakafahamu, then wakafanya daring mission ya kuingia deep inside ya pakistan without detection,,

Kwa maana nyingine cia wana-intercept communication yote ya isi na military yao kwa sbb wasingejiaminisha kuingiza makomandoo wao that deep.., cia wana rendition programmes all over europe na in some countries in asia,

kwa upande wa mossad, wamefanya daring missions nyingi tu, kuanzia yam kippur war huko nyuma, assasinations ya waliohusika na munich massacre, operation thunderbolt, assasination dubai, assasinations of nuclear scientists inside tehran, remember, hizi assasinations zinahitaji valuable,precise and sufficient intel about targets, wanaweza fanya surveillance for up to years to get their targets infiltration of their agents within cia, son of hamas, just to name a few

waingereza..., ni outstanding kwny military intel, they have a programme called polaris..., hivi vitu ni facts na vinajulikana

Sasa kwa wanaosema isi,, lets debate, watoe mifano ya kazi zao ambazo zinajulikana


wapi ulipopotelea mkuu
 
mossad, cia then mi6.., huwezi kuwa-rank isi kama namba moja, hizo data tulishawaambia kwny ile thread ya kule kwamba inategemea research yao hao waandaa data ilikua na lengo gani, lakn kwa facts.., isi haiwezi kuwa namba moja..,

Intel failure ya kujua osama alikua kwao hadi cia wakafahamu, then wakafanya daring mission ya kuingia deep inside ya pakistan without detection,,

Kwa maana nyingine cia wana-intercept communication yote ya isi na military yao kwa sbb wasingejiaminisha kuingiza makomandoo wao that deep.., cia wana rendition programmes all over europe na in some countries in asia,

kwa upande wa mossad, wamefanya daring missions nyingi tu, kuanzia yam kippur war huko nyuma, assasinations ya waliohusika na munich massacre, operation thunderbolt, assasination dubai, assasinations of nuclear scientists inside tehran, remember, hizi assasinations zinahitaji valuable,precise and sufficient intel about targets, wanaweza fanya surveillance for up to years to get their targets infiltration of their agents within cia, son of hamas, just to name a few

waingereza..., ni outstanding kwny military intel, they have a programme called polaris..., hivi vitu ni facts na vinajulikana

Sasa kwa wanaosema isi,, lets debate, watoe mifano ya kazi zao ambazo zinajulikana

kwa haya maelezo wengi wamepata somo na atayepinga hana uelewa wa haya mambo.
 
Nadhani tatizo wengi tunaochaangalia na kulinganisha na ni tatizo hata serikali zetu maskini za afrika ni kujkita na kuweka kuweka priority kwenye military na defence intelligency tu .

Lakini kwa mahitaji ya dunia ya sasa inteigengy muhimu ni
  • econmicmic intellingency- Hapa China kawapiga bao. Mashirika kama IMF na WB ni Kama economic intelligency machinery ya developed word. China hafuati masharti ya IMF naWB .Na part ya success story ya china inatokana na kuwa na economic intelligency yao. kwa manufaaya wachina wao wenyewe. Upande mwingine mtikisiko wa kiuchumi ulionesha intelligency ya kiuchumi ina udhaifu kwenye mataifa mengi makubwa kama ilvyo kwa vinchi vyetu


  • Technlogical inteligency-china pia anakuja kasi . japo China hana watalaam kamawa USA na mataifa makubwa lakini ana uwezo wa kuiba teknolojia ambazo watu wamefanyia research tayari . Tumesikia mara nyingi china wanalipia pesa kibao kununua mabaki ya vifaa vya kijeshi na ndege za kivita za USA zinazonaguka vitani.

baada ya hizo mbili sasa ndio inakuja intelligency amabayo watu wengi tunasifia(ya kijeshi na Uinzi) kama za USA,UK, RUSSIA ,ISRAEL.

Na kuwa best agency inategema na VISIONau Principal yake imewekaka vipaumbele gani katika SWOT(Strenght Wekness Opportnites Threat) la taifa Husika .SWOT za MOSSAD ni tofauti na SWOT za CIA au KGB. Unawezau kuta MOSSAD wana utaaam mubwa zaidi wa kukomboa mateka Wengne wana utaalaam mpaka wa kuturubuni buni tununue Boeing na sio Airbus na wengine wana utaalam wa kutengeza silaha wakati wengine wana utaalam wa kuiba teknolojia
 
There goes Mr America.You won its true CIA and i think they are invincible when it comes to national security.Hivi how are they interconnected with secret service? Manaake kimovie-movie huwa sielewi kabisa.
 
CIA mwanzo mwisho.

Hao Mossad walikuwa wapi wakati Hitler anawakaanga Wayahudi kwenye mavinu ya gesi huko Ujerumani?

Mossad ilikua haijaanzishwa wakati wa hitler baada ya kugather katika nchi yao yaan israel ndo wakaanzisha mossad kwa nia ya kuwasaka wote waliohusika na holocust na maadui wengine wa ndan na popote duniani.
 
mossad, cia then mi6.., huwezi kuwa-rank isi kama namba moja, hizo data tulishawaambia kwny ile thread ya kule kwamba inategemea research yao hao waandaa data ilikua na lengo gani, lakn kwa facts.., isi haiwezi kuwa namba moja..,

Intel failure ya kujua osama alikua kwao hadi cia wakafahamu, then wakafanya daring mission ya kuingia deep inside ya pakistan without detection,,

Kwa maana nyingine cia wana-intercept communication yote ya isi na military yao kwa sbb wasingejiaminisha kuingiza makomandoo wao that deep.., cia wana rendition programmes all over europe na in some countries in asia,

kwa upande wa mossad, wamefanya daring missions nyingi tu, kuanzia yam kippur war huko nyuma, assasinations ya waliohusika na munich massacre, operation thunderbolt, assasination dubai, assasinations of nuclear scientists inside tehran, remember, hizi assasinations zinahitaji valuable,precise and sufficient intel about targets, wanaweza fanya surveillance for up to years to get their targets infiltration of their agents within cia, son of hamas, just to name a few

waingereza..., ni outstanding kwny military intel, they have a programme called polaris..., hivi vitu ni facts na vinajulikana

Sasa kwa wanaosema isi,, lets debate, watoe mifano ya kazi zao ambazo zinajulikana

Nimependa ulivyobrief with strong points. Ukizielezea operation zilizokua achived na mossad. Kuna latest operation inaitwa "operation orchad"...inadhihiridha how these guys are inteligent.
 
mimi sijabisha hilo
but why USA hawawezi kuiacha Israel??
what so special kwa Israel hadi USA iwabebe come rain come sun?

kuna kitu ambacho hakiko wazi

hii influence ya Israel ina siri may be
Mkuu The Boss, yes kuna kitu ambacho hakiko wazi nacho ni, nearly all the best brains za Americans ni Blue eyes!.

Pasco
 
eti wakuu kati ya KGB,CIA,MOSSAD,MI6 NANYINGINEZO Ipi inaongoza kwa mambo ya intelejensia? napenda kuwasilisha

Rekebisha hicho kichwa cha habari cha hii mada.
Lugha za watu hizi.
Au ungetumia kiswahili tu.
 
Top Ten Best Intelligence Agency in The world 2015
1. Inter-Service Intelligence, (ISI) Pakistan
2. Central Intelligence Agency, (CIA) United States
3. Secret Intelligence Service, (MI6) United Kingdom
4. Federal Security Services, (FSB) Russia-
the main successor agency to the USSR’s Committee of State Security (KGB).
5. Bundesnachrichtendienst, (BND) Germany
6. Research and Analysis Wing (RAW), India
7. Direction Generale De La Securite Exterieure (DGSE), France
8. Australian Secret Intelligence Service (ASIS), Australia
9. Ministry of State Security (MSS), China
10. The Institute For Intelligence and Special Operation (MOSAD), Israel


sijaona vigezo walivyotumia

source: Top 10 Best Intelligence Agencies in The World 2015
http://www.shughal.com/top-10-fiercest-intelligence-agencies-world-2015/
 
Back
Top Bottom