Which country has best intelligency agency

Which country has best intelligency agency

Kuanzia nasa.... nsa.... dod... bado biggest social networks nk vyote hivyo ni source ya cia information. Mossad wenyewe wanaomba data kutoka usa...

Mimi nikiwa boss nikawa nakutuma ukatengeneze gari haimaanishi kuwa wewe ni best. Mossad wanaweza wakawa wazuri katika kitu flani. Lakini best of best intelligence ni CIA acheni utani na langley.
Series zishakulevya..
 
Ndo tujiulize kwanino hakufa hata mmoja...wao ndo walihusika
 
Mossad is the best..
Unatumia Internet, Boeing, Whatsup Facebook, google, yahoo, bing, twitter and on top of that unaomba data CIA, unategemea budget Ya almost 20 billion usd kila mwaka, your PM is summoned to report to the potus at 1600 Pennsylvania Avenue as required yet you have the nerve and audacity to claim Mossad is the best in business! Are u kidding me!!
Go learn from The Farm in Langley

Cc Nyani Ngabu
 
Ukitaka kufananisha mashirika ya kijasusi kwanza inabidi tuangalie nano aliyebeba mfumo. Kwa sababu kuna mataifa mengine ni vibaraka wa mataifa yaliyobeba mfumo, mfano mataifa yote ya Uarabuni ni vibaraka wa Us, ambaye yeye ndie baba wa mfumo (capitalism), mwengine ni Uingereza ambaye aliwahi kutawala dunia na Urusi (communism) na mataifa kama China ambayo hayana mfumo ila hudandia tu kama ilivyodandia kwa ukomunist. Sasa tunapokuja katika issue ya CIA,KGB, Mossad na MI6. CIA na Mossad hawa uwezi washindanisha Caz ni watu kutoka same species Caz kabla ya uwepo wa Us, Prophet Mosses alishawahi kuwa na watu wake kama spies enzi za taifa la kiyahudi na ndio watu waliopewa elimu ya kwanza na Mungu. Tukija CIA, kabla Us kuwa huru ilikuwa chini ya himaya ya British empire hivyo uwepo wake uliundwa na jamii mbalimbali ikiwemo Jews, sasa Mossad & CIA uwezishindanisha. Na katika M16/M15 hawa walishashika mfumo na kwa sasa hawana influence nyingi ukitofautisha na Us, mfano mataifa mengi ya Africa ni vibaraka wa Us na Machache ni Uk. Na tukija KGB hawa ndio walisha feli na Ukomunist na kukosa influence ktk mataifa mengi ila kubakia na vitaifa vichache. Na China ndo hana mfumo kabisa na kukosa kabisa taifa kibaraka la kunyonya rasilimali.Na matiafa mengine ya Ulaya yapo tu yanasukuma Siku mbele na vitaifa kimoja kimoja vya ukibaraka kama France na Mali yake.
 
Hapa hakuna cha CIA wala MOSSAD wote hawa walilitetemeshwa na Iran baada ya drone yao kushushwa,wakati walikuwa wanajinadi ni invisible hata kwa Radar,baadae wanashindwa kujitetea na kusema eti hata hivyo ni public knowledge.Haya achilia hio marekani huyo huyo na mpambe wake Israel walituma Viruses katika mfumo wa syntax kupitia kampuni la siemens nchini germany kwenda Iran kudestroy computer zinazo rutubisha nuclear wakakuta mwarabu ameweka anti-virus hatari hivyo wakashindwa kabisa,basi mi niseme tu tuache ushabiki.
toa jibu la swali lililoulizwa afu ndo ulete ufafanuzi.ulichoandika ni mapingamizi ya chuki yanayotokana na ushabiki wa kitumwa ambao waafrika tumejikuta tunao kwa hawa weupe kiasi tumeganyika wengine ni waarabu weusi na wengine wazungu weusi.
ulichoandika kinachekesha maana siyo jibu siyo koment siyo habari ni ubishi tu.
jibu swali tafadhari upambe tutauanzishia uzi wake.
 
Huna hata haya wala hujui vibaya? ni "shirika" sio kama ulivyoandika.
sijaona sababu ya ww kujaa sumu kwa kitu kinachojulikana yamkini ni makosa ya uchapaji.japo yamkini uko sahihi kusema hivo maana kwavioe jinsia muambata yetu hili ni neno la kawaida kwao
 
Mkuu mbona una akili fupi kama kina Nepi wa ccm, just know the content, mambo ya "Spelling check" tulishaachaga madarasani... Gamba mkubwa wewe...
tell em tell em!!
nimependa hili jibu.maana jamaa kakurupuka
 
CIA hands down. The Israelis ain't got nothing on the good 'ol USA. As a matter of fact, the Israelis are way overrated. Another matter of fact, Israel is the world's largest recipient of US military aid. Who will dispute that?


Jews are the richiest persons of america
 
Yaani Israel iko overrated sana. MOSSAD toka lini ikawa iko juu ya CIA? Or for that matter Israel toka lini ikawa juu ya USA?

Or wait....ni Israel ndiyo inayoipa misaada US.....never mind. Nilisahau.....



Unatudanganya mkuuu massad is the best angalia operations walizofanya compare na za cia mossad wanaua maadui zao ndani ya nchi ya kiarabu wala missions wanazo undertake cia hawajawahi
Ehud barrak alishavaaga gauni kama demu ili akaue adui ndani ya lensing
 
Ndo tujiulize kwanino hakufa hata mmoja...wao ndo walihusika
kama walihusika ndio ufahamu hao ni matawi ya juu! jiulize jee mashirika mengine ya kijasusi dunia nzima wameshindwa kung'amua na kuzuia! huna unacho kijua...
 
Back
Top Bottom