SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
Wazee wa Langley ndio baba lao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Series zishakulevya..Kuanzia nasa.... nsa.... dod... bado biggest social networks nk vyote hivyo ni source ya cia information. Mossad wenyewe wanaomba data kutoka usa...
Mimi nikiwa boss nikawa nakutuma ukatengeneze gari haimaanishi kuwa wewe ni best. Mossad wanaweza wakawa wazuri katika kitu flani. Lakini best of best intelligence ni CIA acheni utani na langley.
Series zishakulevya..
hakuna myahudi hata moja aliye kufa 911..chezea mosad weye
Unatumia Internet, Boeing, Whatsup Facebook, google, yahoo, bing, twitter and on top of that unaomba data CIA, unategemea budget Ya almost 20 billion usd kila mwaka, your PM is summoned to report to the potus at 1600 Pennsylvania Avenue as required yet you have the nerve and audacity to claim Mossad is the best in business! Are u kidding me!!Mossad is the best..
toa jibu la swali lililoulizwa afu ndo ulete ufafanuzi.ulichoandika ni mapingamizi ya chuki yanayotokana na ushabiki wa kitumwa ambao waafrika tumejikuta tunao kwa hawa weupe kiasi tumeganyika wengine ni waarabu weusi na wengine wazungu weusi.Hapa hakuna cha CIA wala MOSSAD wote hawa walilitetemeshwa na Iran baada ya drone yao kushushwa,wakati walikuwa wanajinadi ni invisible hata kwa Radar,baadae wanashindwa kujitetea na kusema eti hata hivyo ni public knowledge.Haya achilia hio marekani huyo huyo na mpambe wake Israel walituma Viruses katika mfumo wa syntax kupitia kampuni la siemens nchini germany kwenda Iran kudestroy computer zinazo rutubisha nuclear wakakuta mwarabu ameweka anti-virus hatari hivyo wakashindwa kabisa,basi mi niseme tu tuache ushabiki.
sijaona sababu ya ww kujaa sumu kwa kitu kinachojulikana yamkini ni makosa ya uchapaji.japo yamkini uko sahihi kusema hivo maana kwavioe jinsia muambata yetu hili ni neno la kawaida kwaoHuna hata haya wala hujui vibaya? ni "shirika" sio kama ulivyoandika.
tell em tell em!!Mkuu mbona una akili fupi kama kina Nepi wa ccm, just know the content, mambo ya "Spelling check" tulishaachaga madarasani... Gamba mkubwa wewe...
Bunduki au ndege ya vita hahahahunajua M16 ni kitu gani mkuu ??
CIA hands down. The Israelis ain't got nothing on the good 'ol USA. As a matter of fact, the Israelis are way overrated. Another matter of fact, Israel is the world's largest recipient of US military aid. Who will dispute that?
Yaani Israel iko overrated sana. MOSSAD toka lini ikawa iko juu ya CIA? Or for that matter Israel toka lini ikawa juu ya USA?
Or wait....ni Israel ndiyo inayoipa misaada US.....never mind. Nilisahau.....
kama walihusika ndio ufahamu hao ni matawi ya juu! jiulize jee mashirika mengine ya kijasusi dunia nzima wameshindwa kung'amua na kuzuia! huna unacho kijua...Ndo tujiulize kwanino hakufa hata mmoja...wao ndo walihusika
Jews are the richiest persons of america
You can't even write grammatically correct English....!!
Just a typing eror but you got the painful fact