Nyie wakenya mazwazwa sn kingereza kiiingi ili kutupanga wa Tz tuwaone mnajua mengi kumbe tunawaona km hamjitambui af bila aibu mnaropoka kwny media uko kwmb kiswahili ni chenu af mkija kwny nyuzi apa mnajifanya hamkijui kwel nmeamini wale ni mabwana zenu aysee
Oh yeah?
Umekua mganga kugawia watu uraia?
Mimi Mtanzania!
Wewe ni Mtanzania zaidi sababu unashabikia serikali ya Jiwe,sie tunaipinga sio Watanzania sio?
Sawa,nipe uraia wa nchi ingine basi maana naona mna powers za kugawa uraia online kwa yeyote yule at your own discretion!
Such a delusional,self centered,entitled motherfvxkers!
Hata hujui Kiswahili kilianzia watu,sio Tanzania wala Kenya wala Zanzibar!
Hili mmesoma Form I kwenye somo la Kiswahili topic ya kwanza kabisa ya “Historia ya Lugha ya Kiswahili”
Kilianzia Mashariki ya Kongo DRC!
Sijui shule mlifaulu vipi nyie ngedere!
Kiswahili kikawa adopted coastal strip ya Africa Mashariki kuanzia Kismayu Somalia mpaka Bandari ya Beira Msumbiji na islands zote!
Leo unakaa kwenye kikompyuta chako una decide unilaterally kusema Kiswahili kilianzia Tanzania na hakuna mtu mwingine mwenye haki nacho!
Yaani ni mapunguani!
Tanzania kuna makabila zaidi ya 250 na yote yana historia zaidi ya miaka 1000,ulivyo punguani na jinga kabisa utakubali lugha na utamaduni wa kabila lako asilia ife na ipotee kwasababu Nyerere alisema Kiswahili ndio cha maana zaidi yenu nyote!
Kiswahili kina nafasi yake kama national language na makabila mengine yawepo na English ina nafasi yake kama International language,hakuna lugha ya kuacha!
Mapunguani nyie!