While KQ is at economical Depression ATCL set to receive brand new 2nd B787-8

While KQ is at economical Depression ATCL set to receive brand new 2nd B787-8

te he te he
😛 🤣😛😛
Kwa hiyo umeukubali ufisadi wenu??, saa hizi unaanza kueleza mambo ya umaskini. Anzisha uzi nikuoneshe jinsi maisha ya kenya yalivyo magumu beyond the imagenation.
Swali nyeti Ni hili, Kama Tz haina ufisadi, mbona haipo ligi ya Kina South Africa? Instead you guys are LDC mbona?

Kenya ufisadi Ni mwingi Ila unajulikana na kumulikwa na vyombo vya habari
 
kwa hiyo ww moja kati ya shida yako kubwa ni kuona ATCL inakuja Nairobi ? usiwe na wasi it will come ... mbona swala la faida na hasara ni given coz hakuna biashara isiyo na faida na hasara ..... usiege mee ktk kuangalia hasara tu ndio maana watu wana struggle kununua ndege mpya kwa ajili ya kuitafuta faida ...hata mashirika makubwa yanapataga hasara ..so we tulia tu

You are so dumb!

Eti usiangalie hasara!

No such thing!

Why doing business at the first place kama dhumuni sio kutengeneza faida?

Kuja Nairobi?First of all,sipo Nairobi...

Second of all,Who could careless?

Umefungua ATCL ili upate hasara???

Y’all niggas are lunatics!
 
We jamaa mbona unajidhalilisha???.
Kwani we kwa uelewa wako unadhani mtalii ni mtu gani!!

Mbuzi wewe,mtalii anatoka Njombe au India?

Mtalii ni raia mwenye disposable income kubwa kiasi kwamba anaweza kutalii!

Njombe kuna watalii?

India kuna watalii?

China kuna watalii?

Wananchi wenye sophisticated economies na disposable incomes zenye kumwagika wako Ulaya na America and not otherwise!

Dont make a mistake wewe!

ATCL inaweza kutua nchi yeyote duniani yenye democracy achilia mbali EU na America?

Never!

Most def ni humu humu nchini!Na nchini humu kuna watalii?

Hakuna!

Ulivo mwehu utasema,oh utali wa ndani na blah blah kibao!

Nonsense!

Hakuna watalii humu,watu hawana disposable income,watu wanaishi chini ya dola 1 kwa siku,akatalii?

Mna mavi nyie mapunguani!
 
Ni shirika gani wameliuwa? Wameliuwaje?

Unaona unafiki huu?

FastJet ilikufaje?

Walinyimwa leseni na landing rights kwa makusudi!

Ili iweje?

Ili eti ATCL ishike soko!

What happened?

Sekta nzima imekua mavi,na bado 2-3 years ATCL will not have any ndege or any ndege inayo fly!

Zitazunguka humu nchini tu,zikitoka tu hata hapo mpakani wanazishika!
 
Nyie wakenya mazwazwa sn kingereza kiiingi ili kutupanga wa Tz tuwaone mnajua mengi kumbe tunawaona km hamjitambui af bila aibu mnaropoka kwny media uko kwmb kiswahili ni chenu af mkija kwny nyuzi apa mnajifanya hamkijui kwel nmeamini wale ni mabwana zenu aysee

Oh yeah?

Umekua mganga kugawia watu uraia?

Mimi Mtanzania!

Wewe ni Mtanzania zaidi sababu unashabikia serikali ya Jiwe,sie tunaipinga sio Watanzania sio?

Sawa,nipe uraia wa nchi ingine basi maana naona mna powers za kugawa uraia online kwa yeyote yule at your own discretion!

Such a delusional,self centered,entitled motherfvxkers!

Hata hujui Kiswahili kilianzia watu,sio Tanzania wala Kenya wala Zanzibar!

Hili mmesoma Form I kwenye somo la Kiswahili topic ya kwanza kabisa ya “Historia ya Lugha ya Kiswahili”

Kilianzia Mashariki ya Kongo DRC!

Sijui shule mlifaulu vipi nyie ngedere!

Kiswahili kikawa adopted coastal strip ya Africa Mashariki kuanzia Kismayu Somalia mpaka Bandari ya Beira Msumbiji na islands zote!

Leo unakaa kwenye kikompyuta chako una decide unilaterally kusema Kiswahili kilianzia Tanzania na hakuna mtu mwingine mwenye haki nacho!

Yaani ni mapunguani!

Tanzania kuna makabila zaidi ya 250 na yote yana historia zaidi ya miaka 1000,ulivyo punguani na jinga kabisa utakubali lugha na utamaduni wa kabila lako asilia ife na ipotee kwasababu Nyerere alisema Kiswahili ndio cha maana zaidi yenu nyote!

Kiswahili kina nafasi yake kama national language na makabila mengine yawepo na English ina nafasi yake kama International language,hakuna lugha ya kuacha!

Mapunguani nyie!
 
Kwa juu juu itaonekana ni uendeshaji mbovu lakini ukweli ni kuwa yaliyotokea ilikuwa ni hujuma. Na hii ilikuwa kwenye sekta nyingi za serikali, ikiwemo elimu, mawasiliano n.k.

Hizo FastJet ukiangali mzizi yake utaona inatoka kule kule kwa ilikotoka Alliance air, Vodacom n.k. Yaani footprints ni zile zile wala haina haja ya kutumia akili nyingi kuliona hilo. Na walipoona tuna ndege mpya, fanisi na zinazotumia mafuta kidogo (faida kubwa) wakaikamata ndege yetu, sasa utawachekeaje watu kama hao?

Mkuu unachoongea ni conspiracies!

Zinaweza kua kweli au uongo!

Cha msingi kama mna ushahidi mna mahakama wapelekeni muwafunge waliohusika!

Nyie ndio wenye serikali na madaraka yote,kukaa hapa na kuanza kutoa conspiracies bila ushahidi na kuchukua hatua,ni wastage ya nafasi humu!

Wafungeni!

Chukueni hatua maana mna madaraka!

Cha ajabu hamjafanya hivyo!

Mnataka sisi wananchi wa kawaida tuwaamini kivipi?

No!
 
You are so dumb!

Eti usiangalie hasara!

No such thing!

Why doing business at the first place kama dhumuni sio kutengeneza faida?

Kuja Nairobi?First of all,sipo Nairobi...

Second of all,Who could careless?

Umefungua ATCL ili upate hasara???

Y’all niggas are lunatics!
hahahahahaha sawa BOSS
 
Swali nyeti Ni hili, Kama Tz haina ufisadi, mbona haipo ligi ya Kina South Africa? Instead you guys are LDC mbona?

Kenya ufisadi Ni mwingi Ila unajulikana na kumulikwa na vyombo vya habari
Subili miaka mitano ijayo utajua tipo ligi gani
 
Are you not tired? For the better part of the history of this forum, we have seen waves of people asserting that KQ is dead or dying. KQ is here for the long haul!

How about we focus on our respective airlines and compete in the marketplace!
 
ile brand new yetu B787-8 leo ndio ilifanyiwa testing ya kuruka baada ya testing ya taxing cheki picha za leo leo hii lisaa limoja lililopita
1571431733917.png
 
Oh yeah?

Umekua mganga kugawia watu uraia?

Mimi Mtanzania!

Wewe ni Mtanzania zaidi sababu unashabikia serikali ya Jiwe,sie tunaipinga sio Watanzania sio?

Sawa,nipe uraia wa nchi ingine basi maana naona mna powers za kugawa uraia online kwa yeyote yule at your own discretion!

Such a delusional,self centered,entitled motherfvxkers!

Hata hujui Kiswahili kilianzia watu,sio Tanzania wala Kenya wala Zanzibar!

Hili mmesoma Form I kwenye somo la Kiswahili topic ya kwanza kabisa ya “Historia ya Lugha ya Kiswahili”

Kilianzia Mashariki ya Kongo DRC!

Sijui shule mlifaulu vipi nyie ngedere!

Kiswahili kikawa adopted coastal strip ya Africa Mashariki kuanzia Kismayu Somalia mpaka Bandari ya Beira Msumbiji na islands zote!

Leo unakaa kwenye kikompyuta chako una decide unilaterally kusema Kiswahili kilianzia Tanzania na hakuna mtu mwingine mwenye haki nacho!

Yaani ni mapunguani!

Tanzania kuna makabila zaidi ya 250 na yote yana historia zaidi ya miaka 1000,ulivyo punguani na jinga kabisa utakubali lugha na utamaduni wa kabila lako asilia ife na ipotee kwasababu Nyerere alisema Kiswahili ndio cha maana zaidi yenu nyote!

Kiswahili kina nafasi yake kama national language na makabila mengine yawepo na English ina nafasi yake kama International language,hakuna lugha ya kuacha!

Mapunguani nyie!
Acha porojo we mwehu unaleta ujuaji apa ongea kitu ya mana co huu uchafu wako ulioongea hapa hatuongelei Congo wala cjui taka taka gn tunaongelea Tz na Kenya ss we kwa akili zako za kuvukia barabara unaleta theory apa oohh kiswahili kimetokea Congo cjui Uarabuni haya km ndo hvyo iweje leo hii Waje kujifunza kiswahili apa Kwetu wakati kimetokea kwao? Acha umama ww na elimu yako ya kukariri u monkeys kiswahili asili yke Tz na ndiko knapotokea na ata dunia kwa ss inajua ikitaka kujifunza kiswahili iende wapi

PUMBAVU
 
Mbuzi wewe,mtalii anatoka Njombe au India?

Mtalii ni raia mwenye disposable income kubwa kiasi kwamba anaweza kutalii!

Njombe kuna watalii?

India kuna watalii?

China kuna watalii?

Wananchi wenye sophisticated economies na disposable incomes zenye kumwagika wako Ulaya na America and not otherwise!

Dont make a mistake wewe!

ATCL inaweza kutua nchi yeyote duniani yenye democracy achilia mbali EU na America?

Never!

Most def ni humu humu nchini!Na nchini humu kuna watalii?

Hakuna!

Ulivo mwehu utasema,oh utali wa ndani na blah blah kibao!

Nonsense!

Hakuna watalii humu,watu hawana disposable income,watu wanaishi chini ya dola 1 kwa siku,akatalii?

Mna mavi nyie mapunguani!

Duuu unavyongea lazima kuna kitu hakiko sawa mahali fulani.
 
Wakenya sio wanafiki na wapikaji takwimu, Wakenya vyombo vyao vya habari Ni huru, Wakenya wanajua rights/haki zao, Wakenya wanamkosoa Rais wao bila kuogopa kuvamiwa na waliovaa nguo za kijani, Wakenya wakisikia wamenyanyaswa wanaingia mitaani na kutolea Serikali fujo, Wakenya wanahoji matumizi ya pesa kwa kuwa Ni watoa ushuru, Wakenya hawafurahishwi Ni vitu vidogo vidogo Kama miradi ya kununua Ndege(Tumezipata na kukuwa nazo Ni kawaida), Wakenya wanajua athari za kutawaliwa na chama kimoja(enzi za kanu sawa na CCM ya Tanzania).

Wakenya kwa ujumla Ni wajanja kimaisha na kimasomo kuwaliko wenzao wote wa Mashariki ya Africa hivyo basi wanajielewa na sio Siri tunaposema Mkenya Yuko mbele ya Mtanzania kwa zaidi ya miaka 10. Najua myabisha na kutema matusi na povu but looking at the basics Kama vile;

Barabara- Mtoto wa Nairobi wa miaka 10 ameiona na kuitembelea dual carriageway ya lanes 12 kitu ambacho wengi wenu wazee wa zaidi ya miaka 40 hamjawahi kukiona. Mtoto Kama huyo akili zake zimefunguka kumliko mtoto wa Tz wa miaka 20.

Umeme- the last time Kenya ilikuwa na kiwango Cha umeme Kama huo wenu Ni takriban miaka zaidi ya kumi iliyopita... that's another reason why mtoto Mkenya hawezi elewa vipi Tz haina umeme wa kutosha.

Vyombo vya habari - hapa viko huru Kutangaza chochote so itakuwa vigumu kuelewa Ni vipi CCM inatawala katika vyombo vya habari ukilinganisha na Kenya ambapo tukio la mwisho Ni back in the 90s.

SGR - wakati nyinyi mnyang'ang'ana kukamilisha 200km Kenya yake tayari imekuwa ikifanya kazi for 3yrs Tena km 600.

Airlines - wakati nyinyi mnanunua dreamliner ya Kwanza, Kenya hata sikumbuki walinunua lini na ngapi Yani we have been used to Seeing KQ. Nakumbuka nilioenda advert yao nikiwa kijana mdogo wa miaka 8 that was back in 1993...Bongo mlikuwa wapi?

Bandari - Bandari ya Mombasa handles more cargo than all East African ports combined including those in lakes.

GDP - Ya Kenya = Tz+Ug+Rw+Burundi hapo Hakuna ubishi.

Elimu - Watanzania wanasomea hapa Kenya Ni wengi hata Kuna Uzi wa kusupport hapa JF.

Health - Life expectancy ya Kenya iko juu kuliko ya EAC Countries.

Ni mengi kuliko niliyoyataja but hata mkitaka kunitusi Ni sawa.
Naneno mengi Kenye ukiwa rofa ni rofa kweli
 
Abiria kutoka rural areas wataletwa na mabasi pia bodaboda
ATCL is a loss making super machine!

Mentality ya Jiwe cheerleaders,msiba wa mwenzako eti ndio furaha eti watafanikiwa,what a stupid move!

Ndio maana wameua mashirika madogo madogo ili wao wawe pekee yao which they do not understand ndio yataleta abiria mbalimbali kutoka rural areas to Dar for internationals!

Plus they get kodi which is more than 30% which in real terms ni 30% ownership!

Wao ni kuua kwanza then wao waanze halafu hawajui lolote!

What a shame!
 
Huo wimbo nimeupata kwa nyuzi za kitambo na nikili ganisha hizo siku na sasa naona gap inazidi kupanuka.
Bwaahh sikuizi hadi wakenya wana kuja kutalii Tanzania unajua kwanini? Muulize mk254 atakuambia maana yeye hadi alitelekeza Mke na Watoto Kenya na kujichimbia tz,sasa subilini mwakani tu mtaona kile kitatokea tz
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ile reli ya kenya ni SGR!!!???..mbona haina utofauti na ya tazara!!!??

Ebu wadau tuwekane sawa hapa
Hawajui nn maana ya SGR ngoja waione SGR ya Tz ndpo watakapogundua kuwa walipgwa na kwa roho zao hawa watu vita itaanzia hapo
 
Back
Top Bottom