Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

Nimesoma mpaka mwisho, lakini

1. Is this true...?

2. Rais Samia Suluhu ameipata hii?

3. Mbona Hata yeye [Rais Samoa] ana tuhumà za kuihujumu Tanganyika kwa kukopa trillion 1 na kuipeleka yote Zanzibar kwao kinyume cha utaratibu au sheria ya muungano..?

3. Kama mambo haya yako hivi, then, who to trust?
 
Watanzania mpigwe tuu maana wengi wenu mambumbumbu .unamtetea magufuli unajua mali zake? Au tukuwekee hapa?
 
Watanzania mpigwe tuu maana wengi wenu mambumbumbu .unamtetea magufuli unajua mali zake? Au tukuwekee hapa?
Usilazimishe.Maisha ya mtu yanajulikana hata kwa historia yake.Mafisadi wanajulikana.Sio Magufuli
 
Taarifa muhimu Sana hii Kwa taifa tafadhali mama usipuuze majaliwa amekuwa akitajwa tajwa Sana kwenye upigaji
 
Nimemic sana gazeti la mwanahalisi. Ndio gazeti langu la Karne tokea gazeti Hilo lipigwe vita sijawahi ona gazeti lililokuwa na uwezo wa kuanika udhaifu wa serekali. Bandiko lako nimelisoma mara mbili mbili, haya ndio Mambo ya kujadili hp Jf sema tu bahati mbaya wanafunzi sasahivi wapo likizo
 
Mbona unatetea hoja bila ushahidi ,nimepitia comments zako zote hazina mashiko zaidi ni kupinga bila hoja
 
Afu niko na wanangu hapa hatuna hata mia walau tukagonge Balimi huku Nyakato Mwanza...

Kumbe jamaa kagonga 4.6b duh!
 
Unajua maana ya whistleblower au umekuja JF 2017..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…