Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

Wakati mwingine nitakuandikia kuhusu Mbowe, ndege, mafuta ya kula, dizeli, petroli, mafuta ya taa, bwawa la Mwalimu Nyerere, na kadhalika. Nakuombea kheri nyingi uweze kuitoa nchi yetu katika makucha haya.
Utakapoandika hayo mengine ukumbuke pia kuwa unayemwandikia ni Mwana CCM...anayajua nje ndani ila sijasema anaweza kuwa pia sehemu yake
 
Leta kwanza ushahidi wa hiyo documents; I don’t subscribe to hearsay.

.. f2rk naomba umsaidie huyu bwana kupata dokoment ya TANROADS kuhusika na manunuzi ya mitambo ya kiwanda cha sukari.

..mimi sina tabia ya kusema kuna kitu fulani, kwa mfano, dokoment, wakati hakuna.

..sasa ktk hili nimekuelekeza kwa mchangiaji mwenye malengo kama wako ili akuthibitishie nilichokisema.
 
.. f2rk naomba umsaidie huyu bwana kupata dokoment ya TANROADS kuhusika na manunuzi ya mitambo ya kiwanda cha sukari.

..mimi sina tabia ya kusema kuna kitu fulani, kwa mfano, dokoment, wakati hakuna.

..sasa ktk hili nimekuelekeza kwa mchangiaji mwenye malengo kama wako ili akuthibitishie nilichokisema.
Nasubiri huo ushahidi kwanza
 
.. f2rk naomba umsaidie huyu bwana kupata dokoment ya TANROADS kuhusika na manunuzi ya mitambo ya kiwanda cha sukari.

..mimi sina tabia ya kusema kuna kitu fulani, kwa mfano, dokoment, wakati hakuna.

..sasa ktk hili nimekuelekeza kwa mchangiaji mwenye malengo kama wako ili akuthibitishie nilichokisema.
Document ipo katika moja ya comment za uzi huuu
 
..unachobisha ni nini?

..je, huamini kwamba Tanroads ndio walionunua mitambo kwa ajili ya kiwanda cha sukari cha mkulazi?
I like to get behind events ilikujua how it evolved, leta ushahidi kwanza.
 
.. f2rk naomba umsaidie huyu bwana kupata dokoment ya TANROADS kuhusika na manunuzi ya mitambo ya kiwanda cha sukari.

..mimi sina tabia ya kusema kuna kitu fulani, kwa mfano, dokoment, wakati hakuna.

..sasa ktk hili nimekuelekeza kwa mchangiaji mwenye malengo kama wako ili akuthibitishie nilichokisema.
Pitia tena huo mkataba hakuna mahala Tanroads wameagiza mashine. Its a construction contract ya kujenga kiwanda. Cha nani kwa sababu Tanroads awawezi miliki kiwanda cha sukari.

Maelezo zaidi yanahitajika Tanroads wanahusika na maswala ya ujenzi so hakuna maajabu kushiriki katika hatua hizo ujenzi.
 
Pitia tena huo mkataba hakuna mahala Tanroads wameagiza mashine. It construction contract ya kujenga kiwanda. Cha nani kwa sababu Tanroads awawezi miliki kiwanda cha sukari.

Maelezo zaidi yanahitajika Tanroads wanahusika na maswala ya ujenzi so maajabu kushiriki katika hatua hizo.
Hahhahahahah
 
Sijawahi wala sitakaa nimfikirie Majaliwa kama mtu mwema kwa hili Taifa na watu wake. Mungu anisamehe ila namuona Majaliwa kama mtu mwenye roho mbaya, mnafiki, mzandiki na mwenye tamaa. Hajawahi kuwa mkweli kwa Taifa. Hata sasa namuona ndie masta mind wa anguko la Mama. Ana jionyesha kwake kama mtu mwema lakini hafai. Muda utaongea. Nani alijua yeye na Jenister ndio wako nyuma ya sakata la sukari? Bado ikija ya mafuta ya kula na mafuta ya gari utamkuta Majaliwa.
Tulimpigia Mama kelele aanze na safu yake akaona watu wana mfundisha kazi. Akabeba uchafu wa mwenda kuzimu. Sasa wazimu una mkuta. Amebaki kusema hato kubali wakati amesha kubali. Hata madudu yaliyopo bandarini ukifuatilia mkono wa Majaliwa upo. Makesi ya hovyo mahakamani Majaliwa yupo.. Say all evils lazima yupo..
Sema Majaliwa ni mkurupukaji sana.sijui ni kwa sababu gani.yaani naweza kuamini kwamba hizi tuhuma zinamhusu.maana toka ameanza kuunda tume hakuna iliyowahi kuleta mrejesho.Ananyamazishaga watu kwa kuwambia anaunda tume ichunguze
 
Hii Nchi tukifuatiliana sana hakuna atakaebaki salama la muhimu tule kwa kiasi tuwakumbuke na wanyonge.
 
BARUA KWA RAIS SAMIA SULUHU KUHUSU UFISADI KWENYE SUKARI
Yeye alisema. "Nonsense". "Haileti mantiki"..., leo unamwandikia barua!

Nimekusoma mkuu, kwa hisani ya mkuu 'Missile'.

Kwanza niseme, itakuwa ni upumbavu wa hali ya juu sana ku'dismiss' yote uliyoandika hapa; pamoja na kwamba kuna konakona nyingi zinazotatiza kuzielewa.

Andiko lako linakuwa na nguvu zaidi kwa sababu umetaja majina bayana kabisa, ni jukumu la hao waliotajwa sasa waeleze wasivyohusika kwenye mipango hiyo
Hii ni njia nzuri sana ya kumsaidia rais, akiwa na dhamira ya kweli ya kulitatuwa tatizo, kwa sababu yeye sasa anao wajibu wa kutumia vyombo alivyonavyo kuupata ukweli. Lakini hapa napata shida kidogo kuamini kwamba huyu ni rais anayeweza kutatua tatizo kama hilo, kama sivyo na yeye kujiunga huko afaidike.

Umetimiza nafasi yako, ngoja tusubiri yatakayofuata, hata kama binafsi sitegemei makubwa juu ya hili.
 
Yeye alisema. "Nonsense". "Haileti mantiki"..., leo unamwandikia barua!

Nimekusoma mkuu, kwa hisani ya mkuu 'Missile'.

Kwanza niseme, itakuwa ni upumbavu wa hali ya juu sana ku'dismiss' yote uliyoandika hapa; pamoja na kwamba kuna konakona nyingi zinazotatiza kuzielewa.

Andiko lako linakuwa na nguvu zaidi kwa sababu umetaja majina bayana kabisa, ni jukumu la hao waliotajwa sasa waeleze wasivyohusika kwenye mipango hiyo
Hii ni njia nzuri sana ya kumsaidia rais, akiwa na dhamira ya kweli ya kulitatuwa tatizo, kwa sababu yeye sasa anao wajibu wa kutumia vyombo alivyonavyo kuupata ukweli. Lakini hapa napata shida kidogo kuamini kwamba huyu ni rais anayeweza kutatua tatizo kama hilo, kama sivyo na yeye kujiunga huko afaidike.

Umetimiza nafasi yako, ngoja tusubiri yatakayofuata, hata kama binafsi sitegemei makubwa juu ya hili.
Ngoja tuone
 
Tangu nazaliwa miaka 28 iliyopita sijawahi kuona wala kuhisi kuna kiongozi ndani ya ccm ana uchungu na nchi hii, hawa umbwa ni wezi wanakusanya mapesa utadhani wataishi milele hapa duniani wamejaa unafiki tu *****

Mungu angenipa nafasi ya uongozi watu kama hao ningeua wote shenzy zao wanasababisha maisha ya watanzania kuwa magumu sana kama tupo jehanam katika nchi iliyobarikiwa kila aina ya utajiri umbwaaaa kabisa.
 
Back
Top Bottom