Katiba mpya kwanzaHii Nchi tukifuatiliana sana hakuna atakaebaki salama la muhimu tule kwa kiasi tuwakumbuke na wanyonge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba mpya kwanzaHii Nchi tukifuatiliana sana hakuna atakaebaki salama la muhimu tule kwa kiasi tuwakumbuke na wanyonge.
Kifupi hakuna jambo lolote tangible alishawahi fanikisha kama waziri mkuu. Yupo yupo tu as long as mambo yake yanamwendea.Sema Majaliwa ni mkurupukaji sana.sijui ni kwa sababu gani.yaani naweza kuamini kwamba hizi tuhuma zinamhusu.maana toka ameanza kuunda tume hakuna iliyowahi kuleta mrejesho.Ananyamazishaga watu kwa kuwambia anaunda tume ichunguze
Hata sielewi mwandishi anapata wapi ufahamu na uhakika wa kujuwa kwamba anayemwandikia ni tofauti na hao anaoandika juu yao!Utakapoandika hayo mengine ukumbuke pia kuwa unayemwandikia ni Mwana CCM...anayajua nje ndani ila sijasema anaweza kuwa pia sehemu yake
Tutasubiri sana mkuu! Sitegemei kitu hapa!Ngoja tuone
Leta bandiko lako la ukweli tulione.Wewe jamaa ni liongo na linafiki. Yaani ktk kujiita mnyetishaji ni muongo kabisa. Huo mradi kwanza ulikwama kwa sababu kuna watu walileta feasibility study ya kubumba na ya kifisadi serikali ikaamua kufumua na kufanya upya. Na hiyo ndiyo sababu ya prof kuondolewa kwa sababu alitoa kazi ya kuandaa plan kishikaji na hao ma prof wa udsm walijifungia ndani na kuandika andiko. So ujue serikali ya Dkt Magufuli ilikuwa makini sana. Acha kupotosha. Huu ujinga wako ni wakitoto sana, kila ulichoandika ni cha kutunga na ni uongo. Nimepuka tu hint kidogo ya kilichoanza mi najua mpaka mwisho wewe muhuni muhuni usipotoshe. Mnataka Mama kumjaza uongo ili afanye kama kwenye mkataba wa meli, wahuni nyie.
Kesi ya Ngedere anapelekewa nyani, Ila sijui kwa nini namuamini sana mama kweli yeye ni mnyenyekevu Ila kazungukwa na majenerali wa ufisadi na Hivi vitu ndivyo vya kujadiliwa
Hujamuelewa mleta uzi. Ni kuwa yeye mleta uzi katumwa na genge la wezi na mafisadi. Prof. Mkenda alifafanua vizuri sana. Nyie mafisadi hamuwezi kutudanganya hata iweje. Dkt Magufuli alikuwa mzalendo alifanya vitu vyenye tija na faida kwa taifa. Acheni uhuni wa kutunga. Maana unaposema eti wanaamua wazalishe kiasi gani wakati waziri aliwahi kusema na inajulikana capacity ya viwanda vyetu ni ndogo. Halafu mnavyotaka vibali vitolewe ili mlete na sukari oliyo isha muda ili watanzania wafe??? Kipindi cha JK watu walikula bidhaa za ovyo ovyo cheki watu wanavyokufa na cancer. Kwa ufupi huo mlango wa ufisadi hautafunguliwa!
Bora aangalia less evil, maana wamsogo hawafai bora kukumbatia waadilifuHaya makundi mawili ya ccm yanagombania ulaji na hapo kazi ya Mama Samia ndio itakapokuwa ngumu kwani genge zote mvili anazikumbatia!!!
Bora aangalia less evil, maana wamsogo hawafai bora kukumbatia waadilifu
Ndio mkataba unavyosema mkandarasi afanye design na kujenga kiwanda chenye uwezo wa kuzalisha tonne 250 za sukari kwa siku (na kiwanda kidogo as far as sugar plants are concerned) lakini hakuna sehemu ya ununuzi wa mashine.Hahhahahahah
Hii ndiyo ile wanasema nyama hatari akishaonja damu ndiyo basi tena, ataua sababu anaweza lakini mizoga ataiacha hamalizi.Huwa najiuliza tu kama kwa 1B mtu mzima wa umri wa miaka 40 tu anaweza kula maisha ya kawaida tu kula kulala mpaka akafa na still pengine akaiacha chenchi ya hio pesa kwa watoto.
Je, inakuwaje mtumishi anadokoa labda billion 20 na still bado ana tamaa tena ya mahela zaidi? Huyo mtu ikumbukwe analipiwa almost kila kitu na ofisi anapofanyia kazi!
Hayo mahela unaiba sijui billion 100 kesho tena unadokoa billion 50 hivi mahela yote huwa wanafanyia kitu gani? Au ndio wanajengea mahoteli labda!
Imagine umedokoa billion 100 tu inaweza kuwalisha familia yako na ukoo mzima mpaka mkapukutika kama hamuifuji! Na still pesa mtaiacha! Yani imagine kila mtoto aingiziwe 10B tu anaweza ikamsomesha mpaka akaoa na kulea familia na still pesa anayo tu.
Mi najiuliza kwa haya maisha dah unaiba trilion nzima na bado huriziki wakati expectancy ni miaka 60 tu kibongo bongo😂
Umetumwa. Sema mzee wa deal kakuvutia ngapiUkisoma andiko hili kisha ukaenda site kuona yanayoendelea kuna vitu utagundua haviko sawa. Kwa tuliobahatika kufika Dakawa,tumeshuhudia ujenzi wa kiwanda ukiendelea. Gharama zote za mradi inasemekana hazizidi 250billions. Hizo billion 500 zinazotajwa na mwandishi zinatoka wapi??
Ningetumwa nisingekuwa hapa mkuu. Hao waliotajwa wote hakuna hata mmoja anayenifahamu. Ukweli lazima usemweUmetumwa. Sema mzee wa deal kakuvutia ngapi
Sijasoma lugha lakini kiwanda kina mkusanyiko wa mashine mbalimbali zitakazochakata malighafi ili kupata zao/product inayotakiwaNdio mkataba unavyosema mkandarasi afanye design na kujenga kiwanda chenye uwezo wa kuzalisha tonne 250 za sukari kwa siku (na kiwanda kidogo as far as sugar plants are concerned) lakini hakuna sehemu ya ununuzi wa mashine.
Ni ujenzi wa Kiwanda cha sukari; sasa TANROADS anaweza kapewa kazi ya usimamizi tu.
Ni sahihi usemacho,shida katika uagizaji wa sukari ipo lakini tunachobishania ni gharama na uwepo wa ujenzi wa kiwandaHata kama kuna 'gaps' katika stori hii, lakini 'core' ya stori ni sahihi. Kama ningekuwa rais at least ningepata 'second source' na siyo kuiacha tu kisa kuna majina makubwa yaliyotajwa.
Nimepitia tena posts number 1 naona mwandishi anachanganya mambo.Sijasoma lugha lakini kiwanda kina mkusanyiko wa mashine mbalimbali zitakazochakata malighafi ili kupata zao/product inayotakiwa