Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kama wanaamini siku ya mwisho na iwe hivyo
Ila kama wote wamo katika ufisadi huu tutajua mbele
Umewataja mpaka waliotangulia (wafu) sasa je unafikiri Mama hajui haya?
Hapo kuna Seif, Mama na PM wote waislam na Ramadhan imebaki miezi kadhaa
Tutaona kama hii sukari itashuka au ndio wataendeleza kutengeneza hela za HARAM huku wakiwa wamefunga mwezi mtukufu
Subhanaa Allah eee Mwenyezi Mungu tupe Imani Thabit
Tamaa mbele mauti nyuma mlikumbuke hili kuwa hela ni mapambo tu
Kama tuhuma ni za kweli basi mbele ya Mungu hata mama haponi
Ila kama wote wamo katika ufisadi huu tutajua mbele
Umewataja mpaka waliotangulia (wafu) sasa je unafikiri Mama hajui haya?
Hapo kuna Seif, Mama na PM wote waislam na Ramadhan imebaki miezi kadhaa
Tutaona kama hii sukari itashuka au ndio wataendeleza kutengeneza hela za HARAM huku wakiwa wamefunga mwezi mtukufu
Subhanaa Allah eee Mwenyezi Mungu tupe Imani Thabit
Tamaa mbele mauti nyuma mlikumbuke hili kuwa hela ni mapambo tu
Kama tuhuma ni za kweli basi mbele ya Mungu hata mama haponi