Ni kweli hadi leo tunaumia bei kubwa ya sukariAt least kazi zake za kupendeza tumeziona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hadi leo tunaumia bei kubwa ya sukariAt least kazi zake za kupendeza tumeziona
Nazungumzia kazi za kudumu miundonbinu....Ni kweli hadi leo tunaumia bei kubwa ya sukari
Kazi zipi ameshindwa na JK ambaye alikuwa rais mbovu zaidiNazungumzia kazi za kudumu miundonbinu....
swala la sukari bei inabadilika badilika kwa muda mfupi
Kwahiyo kipimo chako ni Nape ma Zitto??Hivi hii ya Magufuli na kiwanda cha Sukari ingekuwa ni kweli mtu kama Zitto, Nape na wenzake wangeacha kuilipua?!
Brother hizi zitakuwa ni chuki......!Kazi zipi ameshindwa na JK ambaye alikuwa rais mbovu zaidi
System kitu gani ujinga mtupu,labda unamaanisha system ya wezi aka mapanya bukuHuyu jamaa ni moja ya wahuni. Kaandika majungu. Yaani ungejua tangu mwanzo wa mradi na serikali ilivyokuwa makini kuhakikisha haiibiwi na kuna watu wa system walikuwa wanasimamia wala asingeleta huu ujinga wa uongo wake.
Hicho tu basi. Huyo mudawote ni wale wale genge la kutekanaSystem kitu gani ujinga mtupu,labda unamaanisha system ya mapanya buku
Tena hao mbwa siku hizi hatuwaogopi tunachapana tu makonde,hawana msaada wwte ktk nchi zaidi ya kulinda na kutetea weziHicho tu basi. Huyo mudawote ni wale wale genge la kutekana
Hana ushahidi mleta habari ni muhuni tu fulaniDogo unayumba mithili ya antenna za kigamboni! Hebu soma comments zako za nyuma ulinganishe na hii! Huelewi kilichoandikwa na hujamwelewa mleta hoja unaparua Kama nyau mwizi! Hilo bandiko halihitaji ukada Bali uzalendo kwani hakuna asiyeguswa na ongezeko la bei ya sukari! Kuwa makini.
Hahahah naona mnajitahidi kupotosha wahuni wakubwaTena hao mbwa siku hizi hatuwaogopi tunachapana tu makonde,hawana msaada wwte ktk nchi zaidi ya kulinda na kutetea wezi
Hahaha waziri mkuu ni mtu muadilifu sana, ni sawa tu na Mama Samia.Aisee Kama vipi ajiuzulu. Aje ajibu hizi tuhuma.
Mtu aliyejificha nyuma ya keyboard ambaye hajaweka ushahidi wowote sio kipimo changu cha ukweli!Kwahiyo kipimo chako ni Nape ma Zitto??
we kweli hamnazo
Ccm damu damu anapoanza kutetea wahuni wenzie.Mtu aliyejificha nyuma ya keyboard ambaye hajaweka ushahidi wowote sio kipimo changu cha ukweli!
Kwa hali ya kisiasa sasa hivi ilivyo hapa Bongo. Hii habari ingekuwa na ukweli wowote ingekuwa imeshalipuliwa na watu wanaotumia majina!!
Wewe kumbe nawewe ni kilazatu, wewe umejua Majaliwa yupo nyuma ya sukari kwa ushahidigani.Sijawahi wala sitakaa nimfikirie Majaliwa kama mtu mwema kwa hili Taifa na waru wake. Mungu anisamehe ila namuona Majaliwa kama mtu mwenye roho mbaya, mnafiki, mzandiki na mwenye tamaa. Hajawahi kuwa mkweli kwa Taifa. Hata sasa namuona ndie masta mind wa anguko la Mama. Ana jionyesha kwake kama mtu mwema lakini hafai. Muda utaongea. Nani alijua yeye na Jenister ndio wako nyuma ya sakata la sukari? Bado ikija ya mafuta ya kula na mafuta ya gari utamkuta Majaliwa.
Tulimpigia Mama aanze na safu yake akaona watu wana mfundisha kazi. Akabeba uchafu wa mwenda kuzimu. Sasa wazimu una mkuta. Amebaki kusema hato kubali wakati amesha kubali. Hata madudu yaliyopo bandarini ukifuatilia mkono wa Majaliwa upo. Makesi ya hovyo mahakamani Majaliwa yupo.. Say all evils lazima yupo..
Katiba Mpya muhimu sana. Tungekuwa na Mahakama imara, takukuru bora, polisi safi hawa wahuni leo wangeondoka madarakani. Lakini kwakuwa katiba imewalea wataendelea kutamba na huu uchafu wote.Waliopo kwenye hiyo chain wanatamani uzi ufutike. Mods mkifuta uzi tunaupandisha.
Katiba Mpya ni muhimu sana. Ili tusonge inabidi kunyonga watu.