Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

Kama kweli unaijua huu mchezo tuandikie hapa tusome pamoja na kuubaini uongo uliousema. Kukaa na ukweli uliosema unao haukusaidii na badala yake wewe utaonekana Kama mmoja wa walotajwa humu! Andika hapa huo ukweli.
 
Mzee unataka utafuniwe Kila kitu? umepewa info jiongeze tu kwani hata akileta evidence
kuna lipi litafanyika maana mengi tu yaliletwa na ushahidi na hakuna kilichoendelea
 
Mlipumzika kuhusu majaliwa naona mmeanza tena.

Nadhani kuna sehemu amewabana.
Nyie ndo mlikuwa mnapewa vibali na kuingiza sukari mbovu hapa nchini.
 
Huyu jamaa ni moja ya wahuni. Kaandika majungu. Yaani ungejua tangu mwanzo wa mradi na serikali ilivyokuwa makini kuhakikisha haiibiwi na kuna watu wa system walikuwa wanasimamia wala asingeleta huu ujinga wa uongo wake.
Ile mradi wa ujenzi wa meli hao watu wa system walikuwa honey moon? Mbona bi mkubwa kaushtukia na kuyasema madudu ya serikali iliyopita? Yale maswali ya SoMo la history ya compare and contrast uliweza kuyajibu kweli? Utakuwa mmoja wa wahusika wa uhuni huo!
 
Miaka yote sikuwahi kuw ana imani na Jenister Muhagama nilijua tu kuna kitu. Wakati wa Magufuli alikuwa anampenda sana kuliko hata Mama janet. Ilinitia mashaka sana.

Kuhusu Majariwa nilishamtoa kwenye list ya viongozi kitambo sana.
 
Majizi utayajua tu. Hao ndio wanufaika wa ccm mafisadi achana nao.
 
Kwa hiyo na ww umekubali kuingia box mzima mzima......
bila kufanya analysis bila kusikiliza upande wa pili!!??
 
Labda kama hana info, ila asipokuwa makini Mama watamsanganya na kumtengenezwa documents fake, yeye aamini ktk uzalendo na afanye kazi na system basi.
Dogo unayumba mithili ya antenna za kigamboni! Hebu soma comments zako za nyuma ulinganishe na hii! Huelewi kilichoandikwa na hujamwelewa mleta hoja unaparua Kama nyau mwizi! Hilo bandiko halihitaji ukada Bali uzalendo kwani hakuna asiyeguswa na ongezeko la bei ya sukari! Kuwa makini.
 
Kazi sana, tukiweka sheria ya kunyongwa/kupigwa risasi kwa ukweli ukibainika juu ya mtenda makosa, basi ndani ya miaka mitatu Taifa litaanza kuigwa na kufuata maadili na sio kuimba na kuhubiri amani
Hao wahuni watatumia sheria hizo kunyonga wasema ukweli kama hawa. It will be viceversa
 
Kwa hiyo na ww umekubali kuingia box mzima mzima......
bila kufanya analysis bila kusikiliza upande wa pili!!??
Magufuli alikua jizi. Ni wajinga tu walikuwa hawaelewe. This was expected. Mtu anayepemda usiri kwa mambo ya umma ni mtu hatari.

Hapa Jf tulikoswa koswa kufungwa hakuwa anataka mambo kama haya.
 
Magufuli alikua jizi. Ni wajinga tu walikuwa hawaelewe. This was expected. Mtu anayepemda usiri kwa mambo ya umma ni mtu hatari.

Hapa Jf tulikoswa koswa kufungwa hakuwa anataka mambo kama haya.
At least kazi zake za kupendeza tumeziona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…