nteze john lungu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 214
- 200
Try it on my own ndo iliwasha gari la uteja kwa whitney. All in all Whitney hakuna wa kumfananisha nae ni mwanamuziki bora kupata kutokea ni bahati mbaya tu alidondokea kwa mtoto wa kihuni BobyTry it on my own... Ni wimbo unonipa ari na kuamini mwanamke anaweza fanya lolote bila mwanaune..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajikuta wanajua vocal wajingaa hawaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo bhana nawe unaimba punch ipi sasa ya chini ya andaki au!!! Tupunguze u much know wabongo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kakojoe ulaleee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa uwezo binafsi me naona Taylor Swift ni bora kuliko wote hao,,Celine Dion alikua anaandikiwa sana na mumewe yule aliefarikigi,,Kidogo Whtney Houston i can compare 2 Taylor swift,,
Top3 yangu ni-:
1-Taylor Swift.
2-Mariah Carey.
3-Jordin Sparks/Beyonce/Madona/Lady Gaga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa umerogwa wewe sio bure ... hahaaa haha yaani kuna wakumfananisha na Whitney kweli .. au mmevuta bangi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]jamaniWhitney Houston was beautiful and talented nasikia nyimbo zake zilikuwa zikitumika kuwaamsha wagonjwa walio kwenye coma situation.
Sent using Jamii Forums mobile app
I think she holds the Guiness World Records as the most awarded female artist of all time.Nilikuwa napitia profile ya Whitney na jumla ya awards alizopokea.
View attachment 1004720
Sent using Jamii Forums mobile app
Celine ana awards 252 na Nominations 508.Nilikuwa napitia profile ya Whitney na jumla ya awards alizopokea.
View attachment 1004720
Sent using Jamii Forums mobile app
Abee mi watatu eeh?[emoji16]Mkali ni bibie selina then anafata toni watatu ndio wity
Mi nimeanza kumjua kaishakuwa Teja....halafu sijui ni arena London alipoharibu shoo na msauti wake kama chi chidi mabenziCeline Dion hana kipaji alichokuwa nacho Whitney Houston.
Duuh...ngoja ntamfatilia, mi najuaga ni teja yule na Bobby Brown wakeCeline ni mkali ila Whitney Houston ni habari nyingine. Hakuna kama yeye
I didnt know my own strength..Ooh Mungu Amlaze Mahala Pema Whitney Houston.
Ndani ya Greatest Love of All.
.."I decided a long ago never to walk in anyone's shadow.
No matter what they take from me,
They Can't take away my dignity."
..."Show them All the beauty posses inside"
"I believe the children are our future,Teach them well and let them lead the way."
"Give tjem a sense of pride.To make it easier..Let the Childrens Laughter".
Pumzika Whitney Houston Tunakuombea.