Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

okay huwa sipendi league,ngoja niwasaidie/niwarahisishie maana mmekwama,

Mimi,napinga uwepo wa kitu/mtu ama chochote kile cha namna yoyote ile kisemwacho kwba kipo na kinanguvu ya
ku-govern maisha na kila kinachoendelea ulimwenguni.Nyie mnachokipa sifa zote na nguvu zote.Ambacho hata hivo mmeshindwa mpaka sasa usema ama kuthibitisha kwamba kipo kwa evidences za kuonekana na kuleweke.,Na mara nyingi tunapo hitaji ushahidi wa kuwepo kitu/nguvu hiyo mnaishia kusema kwamba chenyewe hakihitaji ushahidi,sasa iweje mnakielezea kama hakihitaji hata kuchunguzwa??,

NIkisema kitu/nguvu/kiumbe hicho ni UOGA na mnakiumba nyie kutokana na SINTOFAHAMUA,mna sema tunakufuru.,haya nishawafafanulia leteni ushahidi usio na shaka wabuwepobwa kiumbe/nguvu/kitu hicho
Kwanza acha kuwasemea watu wote. Hayo maneno hapo kwenye nyekundu mimi na mkuu wangu MUNGU SI MZUNGU hatujayasema popote kwenye huu uzi.

Pili hapo kwenye bluu, soma tena huu uzi hususani comments zangu na za MUNGU SI MZUNGU. Kuna maswali nimekuuliza kwenye comment yangu namba #261, umekimbia bila kujibu. Tatizo lako husomi ukaelewa, bali unasoma ili ubishane na unaleta ujuaji mwingi na kutafuta kushinda. Kama unatafuta kushinda, unatupotezea muda. Mtu akitoa hoja, soma uelewe halafu ujibu kwa hoja, sio kupindisha pindisha ili ushinde.
 
Hawakusema hivyo simply kwa sababu hawakutumwa, waliotumwa walisema. Ngoja nikupe mfano mdogo sana. Hebu chukulia nchi kama Tanzania na raisi wake (Mh JK), kwa kufuata hoja yako ni sawa na kusema kwa kuwa wapo watu wanaofanya mambo bila kuagizwa na rais basi hata wale walioagizwa nao pia hawakuagizwa?? This is very flawed logic. Huwezi kusema kwa kuwa Gandhi, wewe na mimi hatujasema kuwa ni mitume basi wale wote waliosema ni waongo. Wewe ulitakaje, wote tuwe mitume???!!!!



Mimi nimejiuliza na siogopi, ninayakini, swali ni je kwanini uwe na uhakika sana wakati haka kadunia kenyewe kanakushinda?? Hivi wewe kama ubongo wako ulionao uwezo wa kuelewa kila kilichomo katika dunia huna halafu leo hii unataka kusema una uelewa mkubwa sana kiasi cha kuwa na uhakika wa 100% kuwa Mungu hayupo!!! Ni afadhali wale jamaa wanaojiita "agnostic", wao wanasema hawana uhakika. Tukirudi kwenye suala la uoga, hivi ni kwanini uoga umfanye mtu amtengeneze Mungu katika akili yake??!!! Kwanini "idea" ya Mungu imsaidie binadamu kiasi hicho. Kwanini kwa uoga huohuo binadamu asiamue kuwa hakuna Mungu??!! Wewe kinachokufanya ufikiri kuwa mtu akipatwa na woga anapata idea ya kuwepo Mungu ni nini??!! Kuna uhusiano gani wa kisayansi kati ya uoga na uwepo wa Mungu??



Hapa hujajibu swali, jibu swali ni nani aliyekwambia kuwa mitume wote wametoka mashariki ya kati??!!

kwanza swal lako sio #261 ,bali #262 , na linauliza hivi""jibu swali ni nani aliyekwambia kuwa mitume wote wametoka mashariki ya kati??!""

Nakujibu,hapa
Mitume wote kutoka Mashatiki ya kati hiyo iko waz haiitaji kuambiwa,mtaje mtume mmoja tu aliyetoka tofuti na mashariki ya kati
 
kwanza swal lako sio #261 ,bali #262 , na linauliza hivi""jibu swali ni nani aliyekwambia kuwa mitume wote wametoka mashariki ya kati??!""

Nakujibu,hapa
Mitume wote kutoka Mashatiki ya kati hiyo iko waz haiitaji kuambiwa,mtaje mtume mmoja tu aliyetoka tofuti na mashariki ya kati
Iko wazi kwa mujibu wa nani?!! Yaani hapa ndio unaona umejibu hoja?!! Kwa hiyo mimi nikisema wajinga wote wanatokea Australia, ndio inakuwa ukweli??!!!

Wewe unasema kuwa kutokujua kwetu tumetokea wapi hakuhalalishi uwepo wa Mungu, hiyo unaona sawa kabisa. Ila nashindwa kuelewa kwa nini reasoning hiyo huitumii kwenye suala la mitume. Yaani kwa kuwa humjui mtume yeyote asiyetokea mashariki ya kati basi kwako umeamua kuwa hakuna??!!! You can do better than this.
 
Iko wazi kwa mujibu wa nani?!! Yaani hapa ndio unaona umejibu hoja?!! Kwa hiyo mimi nikisema wajinga wote wanatokea Australia, ndio inakuwa ukweli??!!!

Wewe unasema kuwa kutokujua kwetu tumetokea wapi hakuhalalishi uwepo wa Mungu, hiyo unaona sawa kabisa. Ila nashindwa kuelewa kwa nini reasoning hiyo huitumii kwenye suala la mitume. Yaani kwa kuwa humjui mtume yeyote asiyetokea mashariki ya kati basi kwako umeamua kuwa hakuna??!!! You can do better than this.

Mbona unajifunga na kukubali hoja zangu indirect!,

Uwezo nilionao wa kuwajua mitume +Historia inaonesha mitume wote wanatoka MIDDLE EAST ,wewe kwa kuwa unafaham zaidi nikakuuliza kwamba mtaje hata mmoja ambaye hatoki ukanda huo,umebaki unajiuma-uma,!,

Naona umekubaliana na mimi kwamba ukisema wajinga wote wanatoka Australia haimaanishi kwamba ni kwel,so hata akili yako inayokutuma kwamba lazim kutakuwa na muumba pia sio lazima iwe kwel
Iko waz kwa mujibu w historia,!,mbona swali langu ni dogo tu ndugu,mtaje mtume hata mmoja umjuaye wewe atokae ukanda tofauti na mashariki ya kati.
 
Mbona unajifunga na kukubali hoja zangu indirect!,

Uwezo nilionao wa kuwajua mitume +Historia inaonesha mitume wote wanatoka MIDDLE EAST ,wewe kwa kuwa unafaham zaidi nikakuuliza kwamba mtaje hata mmoja ambaye hatoki ukanda huo,umebaki unajiuma-uma,!,

Naona umekubaliana na mimi kwamba ukisema wajinga wote wanatoka Australia haimaanishi kwamba ni kwel,so hata akili yako inayokutuma kwamba lazim kutakuwa na muumba pia sio lazima iwe kwel
Iko waz kwa mujibu w historia,!,mbona swali langu ni dogo tu ndugu,mtaje mtume hata mmoja umjuaye wewe atokae ukanda tofauti na mashariki ya kati.
Nimejiuma wapi, kama unakubali kuwa nikisema kuna Muumba sio lazima iwe kweli. Kwa nini unaona ni lazima iwe kweli mitume wote wametokea mashariki ya kati.

Hapo kwenye nyekundu umefanya vizuri kusema. Kwa mujibu wako wewe mwenyewe uwezo ulionao umefikia kikomo hapo, kwa hiyo huwezi kusema kuwa mitume wote wametokea mashariki ya kati kwa kuwa tu uwezo wako umeishia hapo. Ulitakiwa useme, "mitume wote ninaowajua mimi wametokea mashariki ya kati" na sio kujifanya unawajua mitume wote wakati huwajui.

Na kwa taarifa yako hata kama mimi pia simjui mtume yeyote asiyetokea mashariki ya kati, hiyo haitakuwa na maana kuwa hawapo. Jaribu kutofautisha kutokuwajua na kutokuwepo kwao. Hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Nimejiuma wapi, kama unakubali kuwa nikisema kuna Muumba sio lazima iwe kweli. Kwa nini unaona ni lazima iwe kweli mitume wote wametokea mashariki ya kati.

Hapo kwenye nyekundu umefanya vizuri kusema. Kwa mujibu wako wewe mwenyewe uwezo ulionao umefikia kikomo hapo, kwa hiyo huwezi kusema kuwa mitume wote wametokea mashariki ya kati kwa kuwa tu uwezo wako umeishia hapo. Ulitakiwa useme, "mitume wote ninaowajua mimi wametokea mashariki ya kati" na sio kujifanya unawajua mitume wote wakati huwajui.

Na kwa taarifa yako hata kama mimi pia simjui mtume yeyote asiyetokea mashariki ya kati, hiyo haitakuwa na maana kuwa hawapo. Jaribu kutofautisha kutokuwajua na kutokuwepo kwao. Hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa.

Huu ni muendelezo wa kale kaugonjwa mlionako wengi ka kuashum,yaan hujui ila unahisi na kuumba picha flani kichwani

Hapa nikisema hata huyo MUNGU(mnaemng,ang,ania),mnamuumba wenyewe vichwan mwenu mnabisha!,.

Ngoja nikupe maarifa ndugu.,
Mtu ambaye hajawahi kimuona kiranga/Free ideas akisema #kiranga ,ama #Free ideas ni mwanaume,hapo atakuwa ameashum kutokana na hisia zake anavodhani na kufikiri kichwani,.Kwama lazima atakuwa mwanaume,tena anampa na umri kabisa kwa emotions zake zimtumavo kichwani.Lakini hiyo hai confirm kwamba #kiranga /Free ideas ni mwanaume.(sijui kwa unanielewa ama umeamua kutoelewa kwa makusudi.)

Mfano mwingine,mtoto mdogo ambaye hajawahi kuliona bomu kwa macho,akiambiwa na kusimuliwa sifa za bomu(na mtu ambaye pia hajawahi kuliona ila analiskia tu),mtoto huyu ataanza kujenga picha kichwani kwamba bomu likoje.Hii inatokna tu na masimulizi aliyopata.,mtoto atalipa bom rangi,ukubwa,mwonekano na nguvu pia.Lakini hii haitamaanisha kwamba kwel kuna bomu na lina sifa zile.

Tukija upande wa mungu wenu,ni dhahili kabisa kwamba mnamuumba kutokana na masimulizi ya vitabu na machapisho ya zamni.Kuna mwenzako humu niliwahi kumuuliza maana ya neno#MUNGU ASIYEONEKANA,na kama anaufaham wowote kwa nn anaitwa asiyeonekana,alikimbia kimoja.Wengi hamuna maarifa ya mambo haya ispokuwa mnafanya utamaduni na mazoea kwa kuwa mmezaliwa mkakuta hivo.Hamjui hata Falsafa ya MUNGU ASIYEONEKANA IIilivoanza ,ama kabla ya hapo aliitwaje.Ndo matatizo ya kusoma Biblia na Msaafu pekee mnakosa ulinganifu ambao utawapa maarifa.
 
We naye unataka kuleta mada nyingine. God does not make scientific error. Ukianza kukubali suala kama hilo, huwezi kuwa na hoja mwingine akiamua kusema mti ni Mungu. Hivi utamjibu nini? Maana simply atakwambia kumbuka yeye ni Mungu hivyo anaweza kuwa mti. Mungu gani afanye scientific error halafu na wewe unajitahidi kuilazimisha akili yako kumeza bila hata kuchambua.

Mimi nimekutana na atheists kadhaa, wote ni ex-christians (kumbuka ni hao niliokutana nao mimi) na mojawapo ya hoja kubwa wanaoitumia ni kusema kuwa Mungu hawezi kuwa white man on the cross (it just doesn't make sense) na wapo wengi wamemkubali Mungu baada ya kumsoma Mungu wa Qu'ran.

Naungana na mdau hapo juu kuwa mnaosema yesu ni Mungu ndio mnazidi kabisa kuwavuruga hawa atheists. Hata mimi ningepata shida sana kuuamini "supposedly" uungu wa aina ya Yesu.
Bwana Mjasiria pole sana... kwani hao waliokudanganya kuwa Mungu wa Quran ndie wa ukweli tena umefikia kuwapa ukuu wa x-christian hahaha.... kwa imani yangu mimi niliyesoma kiasi vitabu vya dini na baadhi vya historia za mitume walivyoanzia na mambo kadhaa kadhaa ya upatikanaji wa baadhi ya vitabu vilivyomo kwenye bible na kuhusu uislam wao wameweka wazi kuwa Koran imeshushwa japo haiingii akilini kwa mtu yeyote yule kiufasaha labda tu endapo kalazimishwa au kafanya sandakalawe na akaangukia kwenye uislam ndio anaweza amini Koran imeshushwa.. Historia ya koran tu inaonesha Shetwain alihusika au anahusika kwa asilimia mia kuwepo na koran na hiyo koran imecopy almost Torat aliyokuwa nayo Mtume wa YAHWH Mussa Myahudi ambapo Dini ya Kale kabisa yasemekana ni Ujahudi hadi leo hii bado ipo hadi Yesu katika maisha yake ya hapa Duniani aliifuata na akaiacha iendelee na alisema kabisa amekuja kuitimiliza Torat japo baada ya kuondoka kwake Duniani zikaja story zake kutoka kwa aina ya watu mbali mbali yalitokea mabishano mengi yasiyoisha hadi Tawala za wakati huo zikaweka baadhi ya ubishani kuwa ndio ufuatwe kilazima hadi ile Sabato ikabadilishwa na walianza kufuata baada ya kuunganisha dini za Miungu iliyokuwepo baadae na kuchanganya mambo ya Yesu na ya kwao siku za Ibada zikawa Neutral yaani Jumapili alimradi kila mtu asione amependelewa au kuonewa nchi zikawa na amani tena...Sasa huyo Mungu unayedai wa Waislam yeye mwenyewe alikili kuwa si Mungu huyo Allah... sasa wewe au nani anayeweza kubadilisha hayo maneno yake ati amegundua Allah ndie Mungu wa kweli???? wajua Alaah ni Sanamu? tena linafanana na lile la Farao.. usidanganywe kilahisi nawe ukayachukua na kuyatawanya utaingia mkumbo wa Mwamedi makosa aliyofanya yanaendelea kusababisha maovu vifo ubakaji hadi misikitini n.k ikiwemo kulazimisha watu waingie uislam kinguvu.. Waislam wanaombwa kila siku wamswalie kwa Allah Mwamedi ambaye hajuii Huyo Allah atamfanyia nini siku ya Kiama.... haya yote yameandikwa kwa waislam... sibuni ... ndio maana nasema tafuta ukweli ili upate kuwa upande ulio sawia...

Waislam ukiweweka wazi wanakuja juu sana kwani wengi hawajui hata ile alama ya Mwezi juu ya Misikiti inamuwakilisha Mungu Mwezi Allah...

Yesu katika mambo ya Unabii kabla ya kuzaliwa kwake manabii walifahamu na na yale yote yaliyoandikwa ndio yalitokea kama Mungu alivyopanga Yeye alijiita ni Mwana wa Mungu sasa kwa Kiswahili au akili zetu zinatuweka tuelewe kuwa Mwana wa Mungu ni Mungu na kwakuwa yeye alisema ni Mwana hivyo Mungu Mwenyewe yupo na ndie aliyemtuma na kwa sababu yeye alisema Muombe kwa Mungu(YAHWH) kupitia kwake Yesu (Yah-shua) kitafsiri kwa lugha ya Kiyahudi Yah-shua ni Mungu pamoja nanyi... sasa mtu akipinga si tatizo kwake... kwani Yesu ni Upendo hata alijitolea afe ili muamini na mkibatizwa muokoke...
 
That is what most pro-God people have been doing all along in this thread. Why don't go through the thread again and If you don't want to see the proof, then may be you are not worth my time.

You are yet to present an ounce of evidence. Additionally, I have asked you the question, do not pass it along.

I will repeat.
Can you prove that life was "created" by your god?
 
hasara hii huo mfano,haupo correspondent science and religion brought nature?Think big

I apologize but I do not understand what you are trying to say. Please reconstruct the sentence.
 
Ulizia hao wanaotengeneza Mungu wao ,ila muumba wa Mbingu na Dunia usicheze nae utapotea Kama Malaysia airline .

I do not entertain the idea of a celestial dictator

Religion as a whole relies on threats and negative conditioning.

Where was god when this happened? What did the young kid ever do to deserve his wrath?

c0e87bf8c03055d6a61fe97e4f8e6f38-grande.jpg
 
I do not entertain the idea of a celestial dictator

Religion as a whole relies on threats and negative conditioning.

Where was god when this happened? What did the young kid ever do to deserve his wrath?

c0e87bf8c03055d6a61fe97e4f8e6f38-grande.jpg

Huyo ndo wanamuita mungu mwenye upendo mkuu na Huuma yote,ambaye hata usawa kashindwa kuuweka katika dunia aliyoiumba
 
Alhamdullah,at least you have one Answer Correct .Allah said living things are made from water,and a cell contains 66 to 80 percentage of water.Allahuakbar.This is what you previously rejected.

1.Please do not lie! The quran DOES NOT state that "living things contain" water. The quran Does not mention a "cell" and the quran DOES NOT state that living things contain "66 to 80 percent" of water. Those are 3 lies!

The quran says humans are made of water. In another verse it says humans are made of congealed blood and in a third verse it says humans are made of clay. It is a contradiction of gigantic proportions.

Do not take credit for knowledge that existed before muhammad. Next you will be claiming that allah predicted the coming of the iPhone 5s.

In the second question you have nothing to show how those scholars proved or wrote on "living thing are made from water", than just listing them and years when when they excisted.

The following books were written between 2000 and 4000 years before muhammad

Ayurvedic
1. Charaka Samhita
2.
Shushruta Samhita
3.
Bower Manuscript

Hippocrates
1. Corpus Hippocraticum: These collection was written over 1500 years before muhammad and the advance the idea of humors.

Aristotle, Galen and Dioscorides: All wrote books over 900 years before muhammad advancing the idea that the human was made of water.



Please answer the last question since you said the Quraan repeated what other scholars wrote.

Note that Quraan is not a laboratory.Its a book of Signs

You cannot claim that the quran is a scientific text and then try to wiggle out of the tight spot by claiming that it is a book of "signs."

Remember the quran borrowed heavily from the bible, the torah and other texts that were doing the rounds at that time. Do not retrofit the verses to support your argument!

Lastly, and I do not know why you are ignoring this, "living things" are not made of water.
It is for that reason that I find it necessary to introduce you to a cell.
generalized_cell.jpg

 
Huyo ndo wanamuita mungu mwenye upendo mkuu na Huuma yote,ambaye hata usawa kashindwa kuuweka katika dunia aliyoiumba

Exactly! Where is the gracious god when billions of blameless children are living in dire conditions? Why they "created" to suffer in order to amuse the celestial dictator?
 
Huyo ndo wanamuita mungu mwenye upendo mkuu na Huuma yote,ambaye hata usawa kashindwa kuuweka katika dunia aliyoiumba

Mungu hajakosea kwa kila jambo unaloliona,usawa upo maana kila mtu ataonja umauti. Kungekuwa hakuna kifo mngekuwa mpo sahihi na huo mnaoita usawa.
 
Iko wazi kwa mujibu wa nani?!! Yaani hapa ndio unaona umejibu hoja?!! Kwa hiyo mimi nikisema wajinga wote wanatokea Australia, ndio inakuwa ukweli??!!!

Is islam the true religion or is christianity?

Are you here to claim that gods exist or are you here to declare that allah is the true god?
 
Mungu hajakosea kwa kila jambo unaloliona,usawa upo maana kila mtu ataonja umauti. Kungekuwa hakuna kifo mngekuwa mpo sahihi na huo mnaoita usawa.

Where is the justice and equality in this? Where is your "loving" god?

c0e87bf8c03055d6a61fe97e4f8e6f38-grande.jpg
 
Where is the justice and equality in this? Where is your "loving" god?

c0e87bf8c03055d6a61fe97e4f8e6f38-grande.jpg

At the end of the day No One will escape death . We r all going to bite the dust someday that s the equality. But justice will be dealt on the judgement day.
 
At the end of the day No One will escape death . We r all going to bite the dust someday that s the equality. But justice will be dealt on the judgement day.

Stop changing the subject, we all know we will die. Why does your "loving" god bring innocent children to this world only to watch them suffer? Why torture innocent beings?
 
Back
Top Bottom