Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

Jesus is not God but he is the Messiah and for us Christians we believe He is the son of (GOD), who was send to redeem the human kind. So don't confuse btn God and Jesus.
 
Stop changing the subject, we all know we will die. Why does you "loving" god bring innocent children to this world only to watch them suffer? Why torture innocent beings?

This world is not our home my friend, God loves us on his own way. Just follow his commands and you wont suffer on heaven. These are just trials to find out if we r truly patient to leave life he has chosen for us in the world.
 
This world is not our home my friend, God loves us on his own way. Just follow his commands and you wont suffer on heaven. These are just trials to find out if we r truly patient to leave life he has chosen for us in the world.

very nice
 
Kwanza acha kuwasemea watu wote. Hayo maneno hapo kwenye nyekundu mimi na mkuu wangu MUNGU SI MZUNGU hatujayasema popote kwenye huu uzi.

Pili hapo kwenye bluu, soma tena huu uzi hususani comments zangu na za MUNGU SI MZUNGU. Kuna maswali nimekuuliza kwenye comment yangu namba #261, umekimbia bila kujibu. Tatizo lako husomi ukaelewa, bali unasoma ili ubishane na unaleta ujuaji mwingi na kutafuta kushinda. Kama unatafuta kushinda, unatupotezea muda. Mtu akitoa hoja, soma uelewe halafu ujibu kwa hoja, sio kupindisha pindisha ili ushinde.

Mkuu, hilo jambo la UBISHI kutoka kwa huyo Free ideas nimeligundua muda mrefu sana.

Unampa point, badala ya kuleta valid argument, yeye na twist words ili kuondoa maana ya ile point uliompa.
Na watu kama hwa kujadili nao jambo muhimu km hili ni kupoteza wakati tu!
Nimeendelea kimjibu KWA FAIDA YA WASOMAJI WENGINE TU!
otherwise ningeachana nae muda mirefu.

Na tabia za hawa Atheists zinafanana sana.
Hoja muhimu na za mashiko huwa hawa lkn kupindisha mada na kukuwekea maneno mdomoni ambayo HUJASEMA ni mahodari sana.

At the of the day Someone has to go to Hell. Otherwise IT WONT BE Hell fire.
 
Last edited by a moderator:
kwanza swal lako sio #261 ,bali #262 , na linauliza hivi""jibu swali ni nani aliyekwambia kuwa mitume wote wametoka mashariki ya kati??!""

Nakujibu,hapa
Mitume wote kutoka Mashatiki ya kati hiyo iko waz haiitaji kuambiwa,mtaje mtume mmoja tu aliyetoka tofuti na mashariki ya kati

Soma History vizuri utagundua kuwa ADAM ambae alikuwa MTUME WA MWANZO KABISA Aliishi YEYE na Familia yake SRILANKA.

Wahindi kwenye vitabu vyao wameandika kuwa MITUME karibu WATATU wamezaliwa na kuishi kwao.

Kafanye homework kabla ya kuandika vitu mbele ya kadamnasi namna hio.

Labda nikuulize swali Muhimu sana hapa.
Kwa elimu ulionayo JE MITUME ULIOPATA NAFASI YA KUJIFUNZA NI WANGAPI?
(Kuna JUMLA ya MITUME wangapi unao wafahamu wewe)? Wa dini yyt na imani yoyote.
 
Mkuu, hilo jambo la UBISHI kutoka kwa huyo Free ideas nimeligundua muda mrefu sana.

Unampa point, badala ya kuleta valid argument, yeye na twist words ili kuondoa maana ya ile point uliompa.
Na watu kama hwa kujadili nao jambo muhimu km hili ni kupoteza wakati tu!
Nimeendelea kimjibu KWA FAIDA YA WASOMAJI WENGINE TU!
otherwise ningeachana nae muda mirefu.

Na tabia za hawa Atheists zinafanana sana.
Hoja muhimu na za mashiko huwa hawa lkn kupindisha mada na kukuwekea maneno mdomoni ambayo HUJASEMA ni mahodari sana.

At the of the day Someone has to go to Hell. Otherwise IT WONT BE Hell fire.

Hauko sahihi,huwa naamini katika kile ninachoandika hapa,huwa sifuati mwingine kaandika nn.Napenda pia mtu aandike yeye kama yeye sio kwa kwa kufuata mkumbo.
Kama sijaelewa swali ama mada lazima niulize nipate uhakika kwanza kabla sijajibu,na hapo ndipo nijuapo nini umemaanisha ndo nikujibu.,wakati mwingine najibu kwa maswali kwa kuwa hoja /maswali mengine huwa nimeshayajibu pia.
ubishi mnaunzisha nyie mnapotaka nijibu maswal ambayo ni wajibu wenu kujibu
 
Last edited by a moderator:
Where is the justice and equality in this? Where is your "loving" god?

c0e87bf8c03055d6a61fe97e4f8e6f38-grande.jpg

Is islam the true religion or is christianity?

Are you here to claim that gods exist or are you here to declare that allah is the true god?
Mekatilili You are all over the place!
I am struggling to understand your points here.!
Do you REJECT the Existence of GOD because you think HE IS NOT JUSTICE!? or because According to urself there is evidence for that.

Secondly, why do you care if those who call themselves BELIEVERS whether they worship ALLAH. or NOT!

What is that got to do with an ATHEIST? ?

Open up! So we can understand your arguments! Cause to be honest I DO NOT understand you at all.
 
Last edited by a moderator:
Soma History vizuri utagundua kuwa ADAM ambae alikuwa MTUME WA MWANZO KABISA Aliishi YEYE na Familia yake SRILANKA.

Wahindi kwenye vitabu vyao wameandika kuwa MITUME karibu WATATU wamezaliwa na kuishi kwao.

Kafanye homework kabla ya kuandika vitu mbele ya kadamnasi namna hio.

Labda nikuulize swali Muhimu sana hapa.
Kwa elimu ulionayo JE MITUME ULIOPATA NAFASI YA KUJIFUNZA NI WANGAPI?
(Kuna JUMLA ya MITUME wangapi unao wafahamu wewe)? Wa dini yyt na imani yoyote.

Hapa unaibua udhaifu mwingine wa kile mbachokiami,kumbe Adam aliishi SRILANKA?,,Kumbe unatambua umuhimu wa kusoma vitabu mbalimbali!,
sasa nakushaur na wewe kasome vitabu mbalimbali (sio vya dini tu),ambavo vimeandikwa enzi sawa n vitabu vya dini,utajifunza kitu.
Kutokana na hii post yako, Nikiendelea kujadili na wewe hatutapata muafaka,maana unavitabu vya dini tu kichwan.Ambavo vinakulimit katika mawazo ya kidini dini tu na uoga na hofu kuu.Jaribu kupata maarifa katika vitabu vingine vikongwe.kisha utapata kitu
 
kwanza swal lako sio #261 ,bali #262 , na linauliza hivi""jibu swali ni nani aliyekwambia kuwa mitume wote wametoka mashariki ya kati??!""

Nakujibu,hapa
Mitume wote kutoka Mashatiki ya kati hiyo iko waz haiitaji kuambiwa,mtaje mtume mmoja tu aliyetoka tofuti na mashariki ya kati

Soma History vizuri utagundua kuwa ADAM ambae alikuwa MTUME WA MWANZO KABISA Aliishi YEYE na Familia yake SRILANKA.

Wahindi kwenye vitabu vyao wameandika kuwa MITUME karibu WATATU wamezaliwa na kuishi kwao.

Kafanye homework kabla ya kuandika vitu mbele ya kadamnasi namna hio.

Labda nikuulize swali Muhimu sana hapa.
Kwa elimu ulionayo JE MITUME ULIOPATA NAFASI YA KUJIFUNZA NI WANGAPI?
(Kuna JUMLA ya MITUME wangapi unao wafahamu wewe)? Wa dini yyt na imani yoyote.

Hauko sahihi,huwa naamini katika kile ninachoandika hapa,huwa sifuati mwingine kaandika nn.Napenda pia mtu aandike yeye kama yeye sio kwa kwa kufuata mkumbo.
Kama sijaelewa swali ama mada lazima niulize nipate uhakika kwanza kabla sijajibu,na hapo ndipo nijuapo nini umemaanisha ndo nikujibu.,wakati mwingine najibu kwa maswali kwa kuwa hoja /maswali mengine huwa nimeshayajibu pia.
ubishi mnaunzisha nyie mnapotaka nijibu maswal ambayo ni wajibu wenu kujibu

Hapo juu umeiliza swali la mitume MIMI NIMEKUPA JIBU.
Nimekuuliza swali wewe, lkn naona kama ilivyo kawaida yako unakwepa kwa kuleta maneno mengi.
Nakuuliza tena.

Kwa elimu ulionaoyo UNAWEZA KUNIPA IDADI YA MITUME UNAOWAFAHAMU WEWE!?

Manake hapo juu Umesema kuwa MITUME WOTE WAMETOKA MASHARIKI YA KATI.

NASUBIRI JIBU. sio stori
 
Hapa unaibua udhaifu mwingine wa kile mbachokiami,kumbe Adam aliishi SRILANKA?,,Kumbe unatambua umuhimu wa kusoma vitabu mbalimbali!,
sasa nakushaur na wewe kasome vitabu mbalimbali (sio vya dini tu),ambavo vimeandikwa enzi sawa n vitabu vya dini,utajifunza kitu.
Kutokana na hii post yako, Nikiendelea kujadili na wewe hatutapata muafaka,maana unavitabu vya dini tu kichwan.Ambavo vinakulimit katika mawazo ya kidini dini tu na uoga na hofu kuu.Jaribu kupata maarifa katika vitabu vingine vikongwe.kisha utapata kitu

We kijana usikose nidhamu ya kuni judge mimi.

Kwa ufahamu kazi niifanyayo mimi ni kusaidia kuokoa maisha ya wanadamu. ( take a wild guess).

Na sina haja ya kukwambia hili ili nijikweze kwako kwa sababu sipati faida yyt.

Wewe hunijui wala mimi sikujui.
Unaposema kichwa changu kimejaa udini Unakosa adabu ya mjadala na utasababisha watu wavunjiane heshima hapa.
Na hii pia ni moja ya tabia ya wale wanaijifanya wanajua kumbe hawajui.

Si wewe uliyesema Mitume wote wametoka Mashariki ya kati.

Sasa mimi kukukosoa imekuwa kichwa changu kimejaa udini.

Nilidhani najadili na muungwana kumbe huna maana yyt.

Siku njema.
 
Jesus is not God but he is the Messiah and for us Christians we believe He is the son of (GOD), who was send to redeem the human kind. So don't confuse btn God and Jesus.

Ndugu soma biblia vema na uelewe Yesu ni Mungu hilo halina upinza waache wabwatebwate ila atabaki kuwa Mungu tu..hakuna binadamu hawezae kubadilisha hili hata siku moja..!!
 
We kijana usikose nidhamu ya kuni judge mimi.

Kwa ufahamu kazi niifanyayo mimi ni kusaidia kuokoa maisha ya wanadamu. ( take a wild guess).

Na sina haja ya kukwambia hili ili nijikweze kwako kwa sababu sipati faida yyt.

Wewe hunijui wala mimi sikujui.
Unaposema kichwa changu kimejaa udini Unakosa adabu ya mjadala na utasababisha watu wavunjiane heshima hapa.
Na hii pia ni moja ya tabia ya wale wanaijifanya wanajua kumbe hawajui.

Si wewe uliyesema Mitume wote wametoka Mashariki ya kati.

Sasa mimi kukukosoa imekuwa kichwa changu kimejaa udini.

Nilidhani najadili na muungwana kumbe huna maana yyt.

Siku njema.

hujaelewa nilichopost,na hili ni tatizo kwa wengi wenu,sijawahi na ditawahi kumkosea mtu heshima humu.Niliposema umesoma vitabu vya dini tu sikumaanisha kwamba ni tusi.Ni mtazamo wangu kutokana na kile ulichopost.

maana umesema hata wahindi wanadai mitume watatu aliishi kwao,nikawa nakuchallenge kwamba je umewahi pia kusoma vitabu ambavo vimeandikwa miaka ile ile ambapo Biblia na Quran ziliangikwa??

Hiyo ndo hoja ya msingi
 
Ndugu soma biblia vema na uelewe Yesu ni Mungu hilo halina upinza waache wabwatebwate ila atabaki kuwa Mungu tu..hakuna binadamu hawezae kubadilisha hili hata siku moja..!!

Thibitisha umungu wake!
 
Ndugu soma biblia vema na uelewe Yesu ni Mungu hilo halina upinza waache wabwatebwate ila atabaki kuwa Mungu tu..hakuna binadamu hawezae kubadilisha hili hata siku moja..!!

Huo ni mtazamo wako yesu ni nabii wa allah katika miujiza mitatu ya dunia mungu alioifanya ni hilo la kupulizia mimba ya nabii issa(yesu) la pili ni kumuumba binadabu kwa. Udongo la tatu kumtoa mwanamke kwenye ubavu wa adam je mungu anasulubiwa waislamu tunamwamini yesu (nabii isa) kama mitume mingine iliyopita yeye akiwa wa tatu kama sikosei kisha wa mwisho muhammad kubali au kataa ukweli ndio huo
 
sasa hapa wakristo wamekukosea nini? si uwaache na ubabaishaji wao?

wapo pia wanaoamini mungu ameumbwa na binadamu na wapo pia wanaoamini uislamu ni dini ya shetani, sasa kwa nini wewe ujione bora unachoamini kuliko wengine?

na usisahamu wapo wanaoamini kwamba dini ni uongo na ulaghai unaoelekea kupitwa na wakati.

akili za kiccm zimeharibu ubongo wako hadi umeoza.

kutajwa wakristo tu kamasi zinakutoka, je angetajwa nanihii ingekuwaje.
 
This world is not our home my friend, God loves us on his own way. Just follow his commands and you wont suffer on heaven. These are just trials to find out if we r truly patient to leave life he has chosen for us in the world.

There is no god and this the only home we have.

Go and tell the millions of innocent victims of war, poverty crime and natural disasters that "it is just a trial."
 
Mekatilili You are all over the place!
I am struggling to understand your points here.!
Do you REJECT the Existence of GOD because you think HE IS NOT JUSTICE!? or because According to urself there is evidence for that.

Secondly, why do you care if those who call themselves BELIEVERS whether they worship ALLAH. or NOT!

What is that got to do with an ATHEIST? ?

Open up! So we can understand your arguments! Cause to be honest I DO NOT understand you at all.

That question was meant for Mjasira, not you.

Do not get defensive, it is an open forum for a reason, do not try to stifle the conversation.


 
Hapo juu umeiliza swali la mitume MIMI NIMEKUPA JIBU.
Nimekuuliza swali wewe, lkn naona kama ilivyo kawaida yako unakwepa kwa kuleta maneno mengi.
Nakuuliza tena.

Kwa elimu ulionaoyo UNAWEZA KUNIPA IDADI YA MITUME UNAOWAFAHAMU WEWE!?

Manake hapo juu Umesema kuwa MITUME WOTE WAMETOKA MASHARIKI YA KATI.

NASUBIRI JIBU. sio stori
Mkuu huyu kilaza mi nimeamua kumpotezea. Maswali anashindwa kujibu, badala yake anaibua ibua mambo na kuwajazia watu maneno kinywani.
 
Back
Top Bottom