Who created God? Who made him? Where did he come from?

Hujajibu swali bado.

Hivi kipofu akisema kuwa hakuna jua wewe utakubali? Mthibitishie kipofu kuwa kuna jua.

Haaaaaaa,naona unakimbia hoja,nini maana ya kipofu?what if na mimi ni kipofu,kama kipofu ni upofu wa macho kwa tafsiri yako, basi ulichouliza hakina mashiko,jua linaweza kuthibitishwa bla ya kuhitaji macho,kwani jua ndiye mungu wako?
 
Haaaaaaa,naona unakimbia hoja,nini maana ya kipofu?what if na mimi ni kipofu,kama kipofu ni upofu wa macho kwa tafsiri yako, basi ulichouliza hakina mashiko,jua linaweza kuthibitishwa bla ya kuhitaji macho,kwani jua ndiye mungu wako?

Kwahiyo huwezi kujibu maswali yangu? Mtafute mungu wako charles darwin aje hapa kukusaidia.

Hujajibu swali bado.

Hivi kipofu akisema kuwa hakuna jua wewe utakubali? Mthibitishie kipofu kuwa kuna jua.
 
Poa ucjali mi cku hizi nina muda ndo mana waniona humu napambana na jamaa zako,ila najua tutaenda sawa tu

Kuhusu PM hakuna shida karibu
 
1701 Hawa jamaa niliwauliza jana swali kama hili,kwamba waniambie japo matatizo matatu Tu ambayo dini imehawahi kusovu katika hii dunia.,Nikawauliza kama vile vipaza sauti pale Mecca na Vatican vilitoka kwake,Wakakimbia kimoja hakuna aliyejibu.HOJA ya mungu ni dhaifu sana
 
Last edited by a moderator:

wakija hapa wanakimbia kutoka kwenye hoja,mungu huyu huyu kaifanya marekani iwe vle na somalia hivi,mungu huyu ni ngumu kumeza,kuna binadamu wengine wako perfect kuliko yesu
 
Last edited by a moderator:
wakija hapa wanakimbia kutoka kwenye hoja,mungu huyu huyu kaifanya marekani iwe vle na somalia hivi,mungu huyu ni ngumu kumeza,kuna binadamu wengine wako perfect kuliko yesu

Niliwaambia wathibitishe uwepo wa Mungu nje ya Faith wakasepa kimoja,Ama wanambie evidences kwamba yesu alitoka kwa mungu/ama ni mungu, wakakimbia kimoja
 
Hajui Fanya research usishadadie na kushabikia hoja Kama ni mpira uwepo wa mungu....soma theology
 
Niliwaambia wathibitishe uwepo wa Mungu nje ya Faith wakasepa kimoja,Ama wanambie evidences kwamba yesu alitoka kwa mungu/ama ni mungu, wakakimbia kimoja

Hakuna mtu atakaye bishana na wewe kwanza biblia inakataza mtumishi wa Mungu kuingia katika malumbano 2Tim 2:23-25
 
Poa ucjali mi cku hizi nina muda ndo mana waniona humu napambana na jamaa zako,ila najua tutaenda sawa tu

Kuhusu PM hakuna shida karibu
Kumbe wewe ni wa militia non theism. I see
 
Niliwaambia wathibitishe uwepo wa Mungu nje ya Faith wakasepa kimoja,Ama wanambie evidences kwamba yesu alitoka kwa mungu/ama ni mungu, wakakimbia kimoja
Acha Uongo wewe, nimekujibu kule kwenye thread yako ya nihilo ex nihilo.

Jifunze kusema ukweli angalau once a day.
 
Ndo anavoita hivyo,Afu ukimwambia Mungu ni Uoaga ama idea anafura
Msaidie ndugu yako hapa:

Hivi kipofu akisema kuwa hakuna jua wewe utakubali? Mthibitishie kipofu kuwa kuna jua.
 

You are making the claim, provide the evidence! It is that simple! EVIDENCE!
 
You are making the claim, provide the evidence! It is that simple! EVIDENCE!

nadhani kumjua mungu, yupo ama hayupo ni swali gumu nje ya imani. Maana Mungu hutamkwa ktk Imani, uwepo wake sio wa hadharani, ni mpaka uwe na imani Fulani ndio ujue yupo.

Lakini huwa najiuliza maswali marahisi lakini nakosa jibu,

Mfano, Nani alimfundisha mwanadamu kufanya mapenzi? Nani alivumbua Uke unaleta rahaa ukiingia na kutoa uume?

Nani alikuwa mwanadamu wa kwanza kushika mimba, walijuaje kuwa alikuwa ni mtoto tumboni? Walifundishwa na nanani kuwa mtoto hutokea alipoingia?

Tuyajibu haya marahisi Kisha tusonge mbele ktk kufahamu uwepo wa mungu.
 

kwa hiyo hayo yasipojibika yanahusiana vipi na mungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…