Hujajibu swali bado.
Hivi kipofu akisema kuwa hakuna jua wewe utakubali? Mthibitishie kipofu kuwa kuna jua.
Haaaaaaa,naona unakimbia hoja,nini maana ya kipofu?what if na mimi ni kipofu,kama kipofu ni upofu wa macho kwa tafsiri yako, basi ulichouliza hakina mashiko,jua linaweza kuthibitishwa bla ya kuhitaji macho,kwani jua ndiye mungu wako?