Jipige kifuani kisha useme mimi nigra..
Ni LIPUMBAVU.
Ivi watoto wanavyopewa Chanjo za BCG, OPV, IPV, PCV, ROTA, MR ,PENTA, HEP-B n.k
Izo ni Chanjo au mkundu wako???
Na km ni chanjo, na lengo liwe kuua, kwann wasiue kupitia izo chanjo???.
Unajua kama sio Chanjo, ugonjwa wa Surua ungekuapo mpaka sasa???
Hujiulizi kwann wale watu wenye ulemavu sa viungo, unakuta mtu vimiguu havifany kazi, mikono kajaa, au mikoni haifanyi kazi, kwann siku hizi hawapo ????... Yote haya nisababu ya Chanjo.
Alafu mnakaa nakuamin kila jambo analosema Bwanaenu ???.
Yeye kama ana Ukimwi aache kua na hasira za kijinga.
Mpaka sasa Ukimwi hauna Chanjo.TULIENI.
Unajua BCG kazi yake nn???