WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

Yaani!tatizo letu waafrika kila tatizo linalotukabili , tunamsingizia mzungu!!wakati matatizo mengi chanzo ni sisi wenyewe, tunajiamini tuna wasomi wengi, barani afrika, wameshindwa kuungana, kwa kupata ufadhiri wa nchi za kiafrika, na kutafuta chanjo ya ukimwi!!?
Mkuu naomba niongezee kidogo. Suala la Malaria linafahamika. Chanzo na kuenea kwake na madhara yake kunaeleweka vizuri tu. Hatuhukui tahadhari wala hatahangaiki kupambana nao ni pale tu Wazungu wanapotoa misaada. Watu wamegaiwa neti wao wanakwenda kuzungushia kwenye mboga zao dhidi ya kuku. Yaani mboga ni muhimu na ni kipaumbele chao kuliko afya zao. Wengine wamefunga neti lkn wavivu kuzishusha. Mambo ni mengi ktk hilo lkn eti Phd holder wa Sayansi anajitokeza hadharani kulalama juu ya uwepo wa Malaria. Mlitaka Wazungu waje wawashushie au kuwafugia neti usiku mlale?? Kwa hawa wenzetu walishatokomeza Malaria kwa miaka mingi.

Viongozi wetu wamejawa na uroho wa Madaraka na wala hawana hata chembe ya Uzalendo ila hutumia neno lile ili kuwalaghai raia waweze kuwatawala.

Viongozi wengi wa Kiafrika hununua silaha za kivita kwa Wazungu siyo kwasababu kuna vita bali kuwaangamiza raia wao wenyewe ili waendelee kuwanyonya halafu wanakimbilia kuwalaumu Wazungu.

Shule hadi leo hazina madawati na tunajigamba tuna misitu ya kutosha lkn hatuhangaiki kujitatulia tatizo hilo kwasabu Viongozi wetu wanataka magogo yauzwe nje ili wanunue slaha za kuwalinda na kuwaangamiza Wakosoaji wao. Upuuzi huu tunawasukumia Wazungu kuwa ni Wanyonyaji.
 
Na kila mwenye akili timamu akuelewe.
Kuna chanjo inaitwa BCG ambayo ni chanjo ya kifua kikuu na watoto wachanga wote wanachanjwa... au TB na kifua kikuu ni tofauti?
Njia kujikinga na malaria zinajulikana na pia inatiba...
 
Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?
Kweli Trump hakukosea alipowaambia waafrica mnachojua ni kuzaa tu,yaani everything mnakihusisha na chini?
 
Sizonje yuko sahihi tatizo jinsi ya kuwakilisha hoja
Hivi ile dawa ya madagascar iligawiwa kwenye hospital gani,usikute huyu ndugu yako yeye kishachanjwa,don't play na watu waongo waongo
 
Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?
Majibu ya wataalamu wala waasomi huwezi kupata TBC hebu shindaneni na hoja hizi za kisomi
Screenshot_20210129-070716.jpg
 
Wanaongangania chanjo waende China tayari Kuna namna imetafutwa ya kuchanja watu.

Kila la kheri wakuu.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Kuna chanjo inaitwa BCG ambayo ni chanjo ya kifua kikuu na watoto wachanga wote wanachanjwa... au TB na kifua kikuu ni tofauti?
Njia kujikinga na malaria zinajulikana na pia inatiba....
Bado unakubaliana na mawazo ya Rais Magufuli, Kama lengo la kweli ni kutokomeza magonjwa yote duniani basi Ukimwi ungekuwa historia,TB nayo na hata Malaria.

Ukweli unabaki kuwa kweli, Lazima tuwe makini na kila kinachofanyika na wenzetu na ukizingatia kuwa kila ukanda na chanjo yake hili ni la kufikirisha zaidi, Iwapo Rais wa 45 wa Marekani Donald Trump aliituhumu WHO sembuse sisi makapuku?

Tuwe makini.
 
Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!

Katika kutekeleza Sera yao ni lazima waue nguvu kazi ya wanyonge wao lzm waue uwezo wa kufikiria wa wanyonge wao ni lzma watengeneze mazingira nyonyaji kwa wanyonge wao

Ndio maana sasa Ukimwi hautakaaa uishe malaria Tb nk lengo to control our reproductive potential
Hebu somenii kwa makini Ndio mtajua Rais ni boya mwenye PhD ya kugushi
IMG_20210129_083820.jpg
IMG_20210129_084234.jpg
 
Kuna chanjo inaitwa BCG ambayo ni chanjo ya kifua kikuu na watoto wachanga wote wanachanjwa... au TB na kifua kikuu ni tofauti?
Njia kujikinga na malaria zinajulikana na pia inatiba...
Mkuu hawa watu ni wajinga tu achana nao,eti wanataka hoja zao za kijinga zijibiwe,ukiwauliza wao wamefanya nini cha maana katika kupambana na gonjwa hili they will tell you nothing zaidi sana wameamua kujitoa ufahamu na kuwatoa ufahamu watanzania wanyonge ili wafe kimya kimya
 
Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?
Kwa hio unataka kufananisha ukimwi na corona?
 
Bado unakubaliana na mawazo ya Rais Magufuli, Kama lengo la kweli ni kutokomeza magonjwa yote duniani basi Ukimwi ungekuwa historia,TB nayo na hata Malaria, Ukweli unabaki kuwa kweli, Lazima tuwe makini na kila kinachofanyika na wenzetu na ukizingatia kuwa kila ukanda na chanjo yake hili ni la kufikirisha zaidi, Iwapo Rais wa 45 wa Marekani Donald Trump aliituhumu WHO sembuse sisi makapuku?
Tuwe makini.
Acha upunguani, alafu mlivyo majinga sasa

Kwan chanjo ya Covid-19 ni ya wazungu tu??

Mbona ya russia Sputnik-V pia imeonyesha 100% ubora.

Wachina

Wahindi

Hawa wote lengo ni waafrika, tena wabongo?

Mzungu akitaka kukuaa, sianakunyima tu ARVs, madawa n.k

Una watoto? Mke wako alikua hawapeleki kliniki? Huko kilinik walikua wanapewa nn kama sio Chanjo?

Napoona mtumiaji wa JF anayejionyesha msomi na bado ana maujinga kama hivi, huwa nawashangaa sana.

Jiwe ana Bipolar Disorder
 
muwe mnafanya tafiti kabla hamjakurupuka kumtetea mtu ambaye amefyatuka bila kufanya tafiti.

Chanjo ya malaria ipo na inafanyiwa majaribio Tanzania Morogoro.
 
Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!
Mkuu marekani kuna malaria? Sasa kama hawana kwann wewe mwenye malaria usitengeneze chanjo?
 
inawezekana kuna jambo jema lakini pia kuna uharibifu pia kama waliweza kuwapa vioo vya kujiangalizia sura mababu halafu wao wachukue dhahabu tafakari chukua hatua 🙄
 
Moja ya nguzo tano za medical ethics ni ‘autonomous’ haki ya mgonjwa kuchagua aina ya matibabu given the options...
Magufuli ni msomi mwenye PhD hazungunzi bure lazima ameifanyia research hio vaccination
 
Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!

Katika kutekeleza Sera yao ni lazima waue nguvu kazi ya wanyonge wao lzm waue uwezo wa kufikiria wa wanyonge wao ni lzma watengeneze mazingira nyonyaji kwa wanyonge wao

Ndio maana sasa Ukimwi hautakaaa uishe malaria Tb nk lengo to control our reproductive potential
Mkuu,unafikiri vaccine zinachapwa kama noti?Unafikiri kwamba kwa sababu hakuna vaccine ya magonjwa uliyotaja basi tusiijali hii ya covid 19?Unafikiri kwamba kwa sababu hawajatengeneza vaccine basi wanataka tukufe wote?Kama unafikiri hivo pole sana maana pamoja na hayo yote bado hatujakufa wote?

Unachopaswa kujua ni kwamba hio vaccine ili itengenezwe inahitaji fiancial resources na intellectual resources.Katika hilo ni lazima ujue kwamba faida tu sio kuokoa maisha kwani kufa tutakufa tu bali kuna factors nyingine za kuangalia hivyo basi unapaswa ufahamu kwamba it is not profitable enough to invest invaccine development for a disease which does no attract enough ROI for investors in the production of vaccines.

Hivyo basi suala sio wazungu kutaka waafrika tutumie pia vaccine ya covid 19 hapana.Ukweli ni kwamba wanataka tutumie hio vaccine kwa faida yao wenyewe maana kama tusipotumia tutakuwa tunaendelea kuulea ugonjwa na utaendelea kuwatesa'which hata sisi tusingependa iwe hivyo'Kauli aliyotoa JPM ni ya kijinga na kishamba hasa ukizingatia kwamba yeye ni MSOMI wa PHD ambaye anaelewa kabisa kwamba kuna scientific procedures.KAULI ZAKE ZINAENDELEA KUTHIBITISHA KWAMBA HIO PHD YAKE NI FEKI kwani kwa mtu mwenye PHD tena ya Chemistry hawezi kubeza kanuni za kisayansi bila evidence ya kisayansi.

Angalia hata kwenye kipimo aliposema kwamba amepeleka oil,maji ya papai etc.That is very unscientific kwa mtu ambaye amesoma CHEMIA kwa ngazi ya PHD.Katika hili RAIS wangu amejidhalilisha na kutudhalilisha kama TAIFA.SHAME ON HIM
 
T.B na MALARIA ni "Epidemics" wakati CORONA ni "Pandemic"

●EPIDEMIC ni ugonjwa ambao huathiri idadi kubwa ya watu ndani ya jamii ya eneo fulani mfano malaria ni "TROPICAL DISEASE" ... (Some parts of AFRICA,ASIA and LATIN AMERICA).
●PANDEMIC ni janga ambalo linaenea katika nchi nyingi au mabara...mfano CORONA imesambaa duniani kote,takwimu zinaonyesha Marekani na Ulaya wameathirika zaidi hapo ndipo mpambano unapokuwa mkali kulikabili janga hilo.
 
Back
Top Bottom